kuomba

  1. J

    JamiiForums Tanzania Chadema wafanye maridhiano na wabunge na madiwani wao waliomwandikia barua Dr. Bashiru kuomba kuhamia CCM

    Binafsi naona kuna tatizo kubwa la kuhamahama kwa viongozi wa Chadema pasi na sababu za kueleweka na kuaminika. Juzi kaondoka mzee Sumaye na kabla ya hapo Dr Bashiru akiwa Zanzibar City alisema ana barua nyingi tu za wabunge na madiwani wa Chadema wanaoomba kuhamia CCM. Ni vema basi Chadema...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: ACT itaendelea kumheshimu mzee Sumaye na hawatasita kuomba ushauri wake itakapolazimu

    Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo mh Zitto Kabwe amesema chama chake hakijafanya mazungumzo yoyote na mzee Sumaye kuhusu Waziri mkuu mstaafu huyo kujiunga na chama chao. Zitto amesema mzee Sumaye ameweka wazi msimamo wake wa kupumzika siasa za vyama na kwamba atabakia kuwa mshauri kwa vyama vyote...
  3. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rais wa Ufaransa agoma kuomba msamaha baada ya kuitusi NATO

    PARIS, UFARANSA RAIS Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema kuwa kauli yake kwamba Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) limepatwa na kifo cha ubongo ilipiga kengele ya hatari kwa nchi wanachama na kwamba hataomba radhi kwa kutoa matamshi hayo. Matamshi hayo makali ya Rais Ufaransa...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Kwanini watu wanaogopa kuomba msaada?

    Ni matarajio au matamanio ya kila mtu kusaidiwa kukamilisha jambo fulani. Iwe kazini au kwenye shughuli yoyote ya kijamii, utahitaji watu wenye ujuzi na maarifa tofauti tofauti kufanikisha malengo yako. Mfano, wachezaji wakiwa uwanjani wanacheza kwa kusaidiana kila mmoja katika nafasi yake ili...
  5. Victor Mlaki

    JamiiForums Tanzania Wajibu wa Kanisa ni kuomba na sio kulalamika

    Kanisa lililoanzishwa na Mungu msingi wake ni kuomba ili kutawala maamuzi yote katika ulimwengu wa roho kabla hayajatokea kama majibu katika ulimwengu wa mwili. Mwakasege (2013,uk.88) katika kitabu cha Ujue Ulimwengu wa Roho Ili Kufanikiwa Katika Maombi Yako alisema "Dalili ya Kanisa lisiloomba...
  6. N

    JamiiForums Tanzania Utekaji Hai ,Lema kuhitaji viza kwenda hai ni figisu za kawaida,Dc sabaya ni shujaa wa awamu ya tano,millard ayo alikosea kuomba radhi

    Haina haja ya kulialia sana hata waziri Jafo alisema figisu katika chaguzi ni vitu vya kawaida sana hata Israel na Marekani vipo cha muhimu ni vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu na kujiongeza kama walivyofanya Renamo au Unita Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na...
  7. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa kuombana msamaha

    Habari wana familia ya JF, unajua kwenye wengi pana mengi, na humu ndani hua watu wanapishna kwa hoja mpaka kujibizana vibaya . Sasa nimeona nianzishe uzi huu ili kila memba ambaye anajua kwa namna moja ama nyingine amesha mkosea mtu iwe kwa makusudi au kwa bahati mbaya. Basi ili kujenga...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Zahera Mwinyi , Mayaula Mayoni alifirisiwa hadi nauli na mashangingi wa Magomeni , nenda kwenu kabla hujaanza kuomba nauli

    Huu ni ushauri tu ninaokupa ndugu yangu , nafahamu ulivyochanganyikiwa na kutimuliwa Yanga kwa kutupiwa mfuko wako wa Rambo , hata mimi nakuhurumia , lakini jiangalie usije kushangaa mjini hadi uanze kutuomba nauli ya kurudi kwenu . Mizunguko uliyoifanya kwenye vyombo vya habari inatosha sasa .
Back
Top Bottom