kubwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    As Vita rasmi wamekiri Simba ni team ngumu kubwa isiyozuilika

    Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010 (linalofanana na team ya 74 kwa ubora afrika mbaya zaidi bila aibu sportspesa wanatoa pesa sawa kwa...
  2. Rais Samia Suluhu naona katua Dar leo. Tetesi zinasema atafanya ziara kwenye taasisi kubwa mbili hivi karibuni

    Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka. Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize. Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
  3. D

    Wakristu tumebipiwa na shetani naomba tumpigie kwa sherehe kubwa tufufuke na kristo

    Mwenyezi Mungu ni mwingi wa rehema! Kipindi cha kwaresma huwa ni kipindi cha kuyatafakari matendo makuu ya Mungu! Wapo wanadamu wanaothubutu kujitwalia utukufu wa Mungu! Lakini kamwe Mungu atabaki kuwa Mungu na wala hachunguziki! Skukuu ya pasaka ni siku ya furaha kubwa ya ufufuo wa Yesu...
  4. CCM lipo tatizo kwa sasa, tena kubwa sana. Hawamkubali Mama?

    Hii tabia ya baadhi ya watu kujisahau katika mamlaka kutaka kujimilikisha chama kutokujali kwamba vyeo ni dhamana ndio tatizo. Nimeshangaa sana CCM ya JPM kila kilichofanyika walikua wanapongeza na kusifia hata mzee akitukana, Kwa sasa watu wale wale wamekua wanarudi kama Yanga(Jokes)...
  5. Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

    Wakuu naomba kutangaza kwamba ninayo maslahi kwenye suala hili maana mimi ni mfanyabiashara wa ndani na nje ya nchi , ni mlipa kodi Kwa takribani miaka sita sasa Sisi wafanyabiashara wa nchi hii tunahenya , makadirio ya kodi kubwa , vitendea kazi tunavyoagiza kutoka nje ya nchi zikiwemo matirio...
  6. Kesho Lissu asipotulia tena yatamkuta yale yaliomkuta 2019 mbele ya Masilingi

    Kesho Lissu yupo Straight talk Africa na gwiji la kupinga ufisadi Afrika PLO Lumumba, mada ni legacy aliyoiacha shujaa wa Afrika, JPM. Tuungane. Lissu kampeni yake ya kuzunguka dunia nzima kupakaza matope taifa letu iliisha ile siku aliyokutana na balozi Wilson Masilingi. Lissu alirushwarushwa...
  7. Rais Samia Suluhu hakikisha unawapa Watanzania Katiba mpya. Itakupa heshima kubwa sana

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan(SSH), awali ya yote na kwa moyo wa dhati kabisa nikupongeze kwa kuapishwa kuwa Rais wa 6 wa JMT. Watz wanajua huu ni mpanho wa Mungu. Wewe ndiye ulikuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba,(BMK) mkiwa na marehemu Samwel Sitta. Mchakato ulifanyika, tukapata...
  8. Huwa tunaambiwa ulipo tupo huwa nashangaa tuhuma hizi za ubadhirifu kubwa wa fedha za umma unatokeaje kama ulipo tupo wapo?

    Nimejiuliza sana swali hili, tunaambiwa ulipo tupo wapo kila mahali kwa maana ya kwamba usalama wa taifa, na tunaaminishwa kwamba usalama wa taifa ni waaminifu sana kwa Rais. Sasa inakuwaje hadi watu wanafanya wizi mkubwa namna hiii? Je, Hao ulipo tupo hawahusiki na kutoa taarifa za ubadhirifu...
  9. Tonge dogo laelekea kuchachisha tonge kubwa

    Jaman habari za wakati, Kwanza wote polen na kuondokewa na kiongozi wa Kitaifa. Mimi Nina mchumba kabisa kabisa. Ila wandugu yamenikuta leo. Nimevusha kadogodogo furani na nikafanikiwa kukimbiza mwenge mbio moja nikiwa ktk hatua nyingine ya kuwasha kiki ili niondoke nje ya nchi, gafla mlango wa...
  10. Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan

    Naomba kuwapa pole Watanzania wenzangu kufuatia msiba huu mkubwa wa Taifa letu. Kifo cha Rais John J. P. Magufuli kumeacha ombwe na pia mafunzo kwa maisha yetu sote. Nimepokea kwa masikitiko makubwa msiba huu. Vyovyote vile ilivyo, kama nilivyowahi kusema huko nyuma hakuna ombwe la uongozi...
  11. Mtazamo, Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Serikali na Wananchi kuhusu Ugonjwa wa Corona - COVID-19

    Uzi huu ni mrefu. Ukichangia naomba ujikite Zaidi katika kutoa maoni yako lakini kukosoa kunaruhusiwa. Binafsi nadhani maamuzi haya yangechukuliwa mwezi mmoja uliopita pale Waziri Mkuu alipotangaza kuzifunga shule na vyuo, lakini haikuwa hivyo badala yake shule zilifungwa kisha hakukuwa na...
  12. Mwonekano wa Rais Samia Suluhu likiongezwa hili utakuwa babu kubwa

    Kuna clip niliwahi kuisikia ya mh Rais wakati akiwa makamu wa Rais akieleza jinsi alivyopitia hatua mbalimbali mpaka kufika alipokuwa. Moja ya Jambo ktk maongezi yake alilosema ni kuwa kabla ya kwenda kugombea jimbo la Makunduchi, Zanzibar kama mbunge wa jimbo uvaazi wake (dressing code)...
  13. Idadi kubwa ya Waislam (99%) inaweza kuwa kikwazo cha Uturuki kutokuwa mwanachama rasmi wa EU?

    Habari za muda huu ndugu zangu wa JamiiForums Je, idadi kubwa ya waumini wa dini ya kiislam (99%) inaweza kuwa ndio kikwazo kikuu cha nchi ya Uturuki kutokuwa mwanachama kamili/rasmi wa E.U mpaka sasa? Walikubaliwa haraka kujiunga NATO kwa maslahi ya kijeshi kama daraja la Wazungu kuingia...
  14. Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

    SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio...
  15. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatakiwa kuwajibika kwa kudanganya Taifa lililokuwa na taharuki kubwa

    Wanabodi najua kabisa tupo kwenye msiba mkubwa. Msiba ambao umemgusa kila mtu na mpaka sasa kila Mwananchi haamini kilichotokea. Lakini yapata kama wiki moja iliyopita taifa zima lilikumbwa na taharuki kubwa. Kila raia mwenye mapenzi na mkuu wa nchi yetu alitaka kujua kama anaumwa au haumwi...
  16. Tanzania ni kubwa kuliko yeyote, tuwe na matumaini

    Tumepata shida hii tena, lakini bila shaka maisha ya watanzania ni lazima yaendelee pamoja na kuwapoteza wapendwa wetu. Tusilie sana kama vile watu tusiokuwa na matumaini. Tuchanganye yale yote mazuri waliyotuachia Marais wetu Nyerere, Mkapa na sasa Dr. Magufuli kama mtaji katika kuijenga...
  17. Asilimia kubwa ya walio katika nafasi kubwa wamechanganyikiwa, hawajui hatma zao

    Huu mchanganyiko ni mkubwa sana kwa Mawaziri, Manaibu, Makatibu Wakuu, Manaibu, Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Wakurugenzi na Wabunge ambao wanajua hawakuweza kutembea ilibidi wabebwe. Wengi watarudi kwa Waganga na wengine Nyumba za Ibada kuomba Ghofilo kwa yale waliyopata nena na kutenda. Wakiomba...
  18. PUMZI/UHAI: Kitu cha gharama kubwa zaidi kinachothibitisha ukuu wa MUNGU; Tuitumie vizuri hapa duniani

    Ndugu zangu watanzania kwa wanaoamini MUNGU na wasioamini Ni ukweli ulio wazi kuwa, kinachomfanya binadamu awe hai ni PUMZI yake, bila pumzi maana yake hakuna uhai Mtu kufa maana yake pumzi imefikia ukomo, hata wanasayansi pamoja na ujanja wao wote lakini wameshindwa kabisa kutengeneza pumzi...
  19. Kosa kubwa wanalofanya waajiriwa ndio maana wanalipwa mishahara midogo

    NG'ANGANIA KUONGEZA UTAALAMU SIO MSHAHARA Kwa Mkono wa, Robert Heriel Watu wengi wamekuwa wakilalamika mishahara yao ni midogo, hivyo huwashurutisha waajiri wao waongeze mishahara. Tangu ningeli mdogo malalamiko haya yapo, na bila shaka mpaka nitaondoka duniani yataendelea kuwapo dunia...
  20. SAKATA: Hii ndiyo tofauti ya Media za Tanzania na Nje

    Angalau huyu kwa kutumia katuni ameongea kitu kikubwa ambacho mwandishi wa kawaida story yake isingetoka👇🏾. Huyu ni mwandishi wa nje ya Tanzania au ni yule asiye na mipaka, yawezekana yupo hapa nchini ila katumia chombo cha nje, ambapo hapa ndani ni hofu inatawala 👇🏾...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…