Tumepata shida hii tena, lakini bila shaka maisha ya watanzania ni lazima yaendelee pamoja na kuwapoteza wapendwa wetu. Tusilie sana kama vile watu tusiokuwa na matumaini. Tuchanganye yale yote mazuri waliyotuachia Marais wetu Nyerere, Mkapa na sasa Dr. Magufuli kama mtaji katika kuijenga...