njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,084
- 8,663
Habari mbaya sana kwa deportivo la utopolo ambao kwa sasa wanalalamika kwa nini team ya 13 kwa ubora Africa ambayo very soon itaingia top 10 imeamua kuachana na yutong la sportspesa la 2010 (linalofanana na team ya 74 kwa ubora afrika mbaya zaidi bila aibu sportspesa wanatoa pesa sawa kwa mnyama mkali simba na li team lililokalia majungu na ujinga mtuupu ) team hiyo inayotisha afrika imeamua kununua brand new model ya tata marcopolo kitu kilichosababisha washabiki wa utopolo kulalamika kwamba tata marcopolo siyo basi zuri.
Embu fikiria washabiki wa vyura vyurani wnaowaonea huruma wachezaji bora afrika wakiawa wanakula blue tooth,screen kila seats kiyoyozi cha kueleweka..daaaa to make matters worse mliowapokea juzi wamekubali mziki wa simba
===
The A.S VITA CLUB left the CAF Champions League prematurely, in front of a strong team of well-engaged Simba S.C, could not resist.
Let's learn lessons to correct mistakes soon, courage 👏🏽 to all VClubians around the world.
.
L’A.S VITA CLUB a quitté la Ligue des Champions de la CAF en prématurité, devant une équipe costaud de Simba S.C bien engagée, n’ont pas pu résister.
Tirons des leçons pour corriger les erreurs prochainement, courage 👏🏽 à tout les VClubiens de partout dans le monde.
Embu fikiria washabiki wa vyura vyurani wnaowaonea huruma wachezaji bora afrika wakiawa wanakula blue tooth,screen kila seats kiyoyozi cha kueleweka..daaaa to make matters worse mliowapokea juzi wamekubali mziki wa simba
===
The A.S VITA CLUB left the CAF Champions League prematurely, in front of a strong team of well-engaged Simba S.C, could not resist.
Let's learn lessons to correct mistakes soon, courage 👏🏽 to all VClubians around the world.
asvitaofficiel
Verified
#SSCASV 4-1 : L’A.S VITA CLUB RENTRE À LA MAISON.
L’A.S VITA CLUB a quitté la Ligue des Champions de la CAF en prématurité, devant une équipe costaud de Simba S.C bien engagée, n’ont pas pu résister.
Tirons des leçons pour corriger les erreurs prochainement, courage 👏🏽 à tout les VClubiens de partout dans le monde.