G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,864
Muda mfupi uliopita Rais ametua Dar na inasemekana ana lake jambo baada ya mapumziko ya Pasaka.
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!
Zipo taasisi kubwa mbili za umma zitapigwa suprize.
Yani kapita shaaaa ila hakuna ule mgari uliojazwa machumachuma yanayoangalia kwa juu. Sijui ulibaki wapi!