kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    JamiiForums Tanzania Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

    Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani. Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia azindua Kitabu cha Maisha ya Rais wa Tanzania wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

    Mama Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anategewa kuwa mgeni rasmi siku ya uzinduzi wa kitabu Cha maisha ya rais wa awamu ya pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi al maaruf Mzee Rukhsa. ======== Rais wa Tanzania Samia Suluhu anatarajia kuwa Mgeni rasmi kesho May 08, 2021...
  3. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Hayati Mzee Mkapa katika kitabu chake alikiri kuteleza katika Ubinafsishaji. Nategemea Mzee Mwinyi atakiri kuteleza katika Rushwa

    Nisipokuta sehemu yoyote ile katika Kitabu anachoenda Kukizindua Keshokutwa (Jumamosi tarehe 8 May, 2021) Rais Mstaafu Mzee Mwinyi amekiri kuwa Awamu yake ndiyo 'Baba wa Rushwa' nchini Tanzania sitokinunua na nitakipuuza pia. Mwenzake Rais Mstaafu (sasa Hayati) Mzee Mkapa nae katika Kitabu...
  4. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

    Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe . ==== Inaonekana Spika Ndugai alisoma kitabu cha Animal Farm! Bunge chini ya uongozi wake halikumpa Tundu Lissu nafasi ya kusikilizwa na kujitetea, lakini alihoji akiwa katika Bunge hilo...
  5. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Mzee Mwinyi ametoa kitabu' ':- Mzee Ruksa: Safari ya Maisha Yangu

  6. T

    JamiiForums Tanzania Hongera Dkt. Bashiru na Komredi Polepole, Tuandikieni kitabu kama zawadi

    Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi. Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania...
  7. Makirita Amani

    JamiiForums Tanzania Kitabu Kipya; Tabia za kitajiri za kuishi kila siku ili kufika kwenye utajiri mkubwa

    Rafiki yangu mpendwa, Ninayo furaha kubwa kukutaarifu kwamba kitabu kipya cha TABIA ZA KITAJIRI; Tabia Za Kuishi Kila Siku Ili Kupata Utajiri, Mafanikio Na Furaha kimekamilika na kiko tayari kwa ajili yako kusoma. Hiki ni kitabu ambacho kimebeba matokeo ya tafiti mbalimbali zilizofanywa kwa...
  8. E

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitabu kinachoelezea utamaduni wa kitanzania (Tanzanians Culture values and Traditions) naomba anisaidie

    Habari za leo ndugu zangu, Naomba mwenye kitabu kinacho elezea utamaduni wa kitanzania anisaidieni. Maana nasearch mtandaoni kwakweli sioni yeyote aliye andika mambo ya maana kuhusu utamaduni wetu. Mwenye kitabu kinachoelezea utamaduni wa kitanzania (Tanzanians Culture values and Traditions)...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mwenye kitabu cha " Kipigo cha Dunia" sterling mzee Meko na Bob Mazishi tuwasiliane!

    Ni kitabu cha miaka ya 80s kikiwa katika mtindo wa picha za kuchora yaani katuni. Aliyebahatika kuwa nacho hata sasa nakihitaji kwa ajili ya kujikumbusha mambo fulani ili kuepukana na matapeli ambao bado wapo hata sasa. Ramadhan Kareem!
  10. Gordian Anduru

    JamiiForums Tanzania Viongozi wetu someni kitabu hiki kitaikomboa nchi nchi yetu

    Why Nations Fail: A Summary Why Nations Fail: The Origins of Power, Prosperity and Poverty (2013) by D. Acemoglu and J.A. Robinson. Overall Summary… Developed countries are wealthy because of ‘inclusive economic institutions’ – Basically a combination of the state and the free market in which...
  11. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Umewahi kusoma kitabu, The Richest Man In Babylon? Ulijifunza nini? Kinasaidia?

    Sasa hardcopy ya kitabu hiki inapatikana. Wasiliana na Lycaon pictus kuipata. Muandishi: George S. Clason's, 1926. Mtafsiri: Pictuss. Email: pictuspublishers@gmail.com. ©Pictuss2021. Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya tafsiri hii inayoweza kunakiliwa, kutolewa...
  12. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania PLO Lumumba, kusema CCM ni chama kinachopigania kunyanyua maisha ya Watanzania maskini kwa kutumia vizuri rasilimali za Tanzania, unadanganya dunia

    Nimemsikiliza huyu Prof nguli wa sheria toka nchini Kenya akizungumzia juu ya uzalendo wa hayati JPM juu ya kuwa kiongozi aliyekuwa kada wa CCM. Na kwa mujibu wa Prof Lumumba anadai CCM ni chama kinamchomuenzi hayati Julius Nyerere ndio maana kinakuwa kinahakikisha kuwa rasilimali za taifa la...
  13. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ikulu, Dodoma: Makabidhiano ya Ripoti ya CAG - Machi 28, 2021

    Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Edward Kichere leo tarehe 28 Machi, 2021 amemkabidhi Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ripoti za ukaguzi kwa mwaka wa fedha unaoishia tarehe 30 Juni 2020 katika halfa fupi iliyofanyika Ikulu...
  14. Course Coordinator

    JamiiForums Tanzania Katika kitabu chake cha "My life, My Purpose" Marehemu Mzee Mkapa alikiri kuzushiwa kifo akiwa madarakani

    Haya mambo ya kuzushiana ugonjwa na vifo hayajaanza leo, yalikuwepo enzi na enzi. Kuzushiana vifo sio jambo geni katika Ulimwengu huu, kuna mlolongo wa matukio mengi ya watu mashuhuri na watu maarufu waliowahi kuzushiwa kuumwa au vifo. Sababu mojawapo hutokana ama na siasa zenye chuki na uadui...
  15. Grand Master Dulla

    JamiiForums Tanzania Jamani kuna mtu yeyote humu anayekijua kitabu cha SATAAL KHABAR pamoja na matumizi yake kwa ujumla na nini kazi zake??

    Jamani kuna mtu yeyote humu anayekijua kitabu cha SATAAL KHABAR pamoja na matumizi yake kwa ujumla na nini kazi zake??
  16. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania PRESIDENTIAL MEMOIR: Rais Magufuli, baada ya kustaafu, ukipenda kuandika kitabu kama mzee Mkapa, tumia lugha ya wazalendo ya Kiswahili

    Habari zenu JamiiForums. Ninaomba kuanza kwa kunukuu maneno ya Balozi Mkuu wa lugha ya Kiswahili Mh. J.P Magufuli alipokuwa kwenye hafla moja jijini Dodoma. Mheshimiwa Rais alisema hivi “Nimefanya PHD bado wanasema sijui Kiingereza, na nikakaa mwaka mzima Uingereza, sijui nilikuwa nazungumza...
  17. Ellon

    JamiiForums Tanzania Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

    Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili 1)Forex Bible 2)Candlestick Bible Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge. Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi. NB: Sihitaji...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Kila nikisoma Kitabu cha Mkapa namfananisha sana Jah People na Rostam Azim kama nyota wa mechi

    Aina ya siasa alizofanya Rostam Aziz enzi zake hazitofautiani sana na za mzee David Sanga aka Jah people mjukuu wa mganga maarufu pale Makete ambaye aliwapa sana utajiri Wakinga kabla hajaokoka. Ukiona Jah people anatetea jambo fulani ujue pana maslahi binafsi kama ilivyokuwa kwa Aziz...
  19. Dickson Edwin Mgaya

    JamiiForums Tanzania Msaada soft copy ya Kitabu Cha Essentials of Economics 1 Form Five & Six (Ambrose Othiambo)

    Kama kichwa kinavyojieleza ninaomba MSAADA wa kitabu tajwa hapo juu kwa yeyote mwenye nacho in soft copy. Mwandishi ni Mwl. Ambrose Odhiambo wa Bagamoyo.
  20. Red Giant

    JamiiForums Tanzania Wangekuambia andika title ya kitabu ya kushangaza ungeandika nini?

    ATTACH]
Back
Top Bottom