Hongera Dkt. Bashiru na Komredi Polepole, Tuandikieni kitabu kama zawadi

Team JPM

JF-Expert Member
Nov 11, 2018
1,074
1,608
Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi.

Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania kupitia chama hicho tawala.

Utatu wa Dkt. Magufuli, Dkt. Bashiru na Dkt (Katika Mchakato) Polepole uliashiria mabadiliko ya dhati na kukirejesha chama mikononi mwa wananchi.

Mmepitia mengi, mmeona mengi katika utumishi wenu kwenye Chama, mkiyaandika yatakisaidia chama, vyama vingine, Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mifano IPO dhahiri kwamba:

Viongozi wa chama katika ngazi zote waliwajibika kwa wananchi na wanachama wa kawaida ili kuwaletea maendeleo.

Utatu huu, ulirejesha nguvu ya mabalozi katika vikao vya maamuzi na nidhamu ya chama ilirejea.

Uongozi katika chama au kuomba ridhaa ya chama haikukuwa tena nguvu ya pesa au unasaba kwa viongozi bali uzalendo, uwajibikaji na utumishi uliotukuka.

Mapato ya chama yalifanyika katika kukiendeleza chama badala ya watu binafsi kuhodhi Mali na miradi ya chama

Mvuto wa chama kwa wananchi uliingezeka hadi wanachama wakaona fahari kuvaa sare za chama hadhani tofauti na kipindi cha 2010-2015 ambapo sare za CCM zilivaliwa kwa uoga, hofu na kificho.

Popote Mwenyekiti, Katibu na Katibu wa Itikati walipokiongelea Chama, walihubiri Umoja, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji.

Kazi mliyoifanya katika Chama ni kubwa, ngumu na yenye manufaa kwa Chama, Taifa na Watanzania kwa Ujumla.

Uwajibikaji, Uzalendo na Uchapakazi wenu ulikuwa chukizo kwa wana CCM na watanzania wanaokitumia chama kwa maslahi binafsi
Ni dhahiri kwamba, Kinga yenu ilikuwa ni Mwenyekiti vinginevyo msingeweza kufanikisha mliyokifanyia chama na Taifa.

Hongereni sana kwa kuweka Historia kwa uwajibikaji wenu, ikiwapendeza Mtuandikie Kitabu kwa pamoja, kiwe zawadi na kumbukumbu kwa Chama, wananchi na Taifa vizazi na vizazi.

Ahsanteni kwa Utumishi wenu kwenye Chama, Kazi yenu tumeiona na tumeikubali.
 
Pole sana na hao wajamaa uchwara wako ambao wametuhari
bia nchi yetu kwa kasi ya ajabu!

Hawa ni wasomi uchwala ambao wamesoma lakini hawakuelimika.

Wanasiasa wanafiki waongowaongo ambao hawaaminiki.

Madikteta ambao wameingia madarakani kwa mlango wa demokrasia halafu wakajaribu kuuziba kwa zege ili usitumike tena.
 
Do mungu mwema ACHA nihishi nisome mengi ,kwamba tangu TANU, ASP and then ccm ,polepole, BASHIRU ndo wamekua watumishi waliotukuka ccm hata Kama sio chama changu? Why mwajitoa ufaham,eti watungiwe kitabu KWA lipi?

Hawa wametufunza ni KWA namna gani watu ugeuka mungu mtu wapatapo vyeo, ukiacha ulimbukeni wa madaraka, kwamba mtu anajivunia viongonzi wa chama tembelea v8 , wakati watu wanakufa njaa, kwenye majanga mnawatukana,hamkuleta tetemeko, hamtoi chakula kwenye njaa, wakati huo,
Baraza la mawaziri lipo,
Bunge lipo,
Makam ccm yupo
Mwenezi ,katibu taifa wa chama
Wazaee wa chama ,wastahafu wapo
Ccm awamu ya tano mlipolifikisha taifa Hili mkatubu mungu bado yupo na hasira na nyie KWA kutesa watu wake
 
Ukisoma jamii forum unaweza fikiri Polepole hapendwi kumbe Hapendwi na kakundi kavijamaa vichache kazi kuvizia post yeyote ya watenda haki kuwachafua, ili hali kwa wananchi wa kawaida wanapendwa mno.

kundi la jamii forum ndo lilimpotosha Lissu kuwa atashinda,alijua ndo wapiga kura,kumbe wapiga kura halisi waliowengi hawamo hata Jamii forum,kilicho mpata anajuta kuwafahamu.
Akaita maandamano wakamuunga mikono kwenye mitandao,siku ya kuandamana hata yeye mwenyewe hakujitokeza ahahahaha.
 
Walivyo waongo kama wewe muandishi wa thread hii, eti kwa sura ya mbuzi unathubutu kusema walirudisha matumaini ya CCM. Hebu wewe, Dk Bashiru na Profesa Polepole changanyeni miguu kinyesi kisigande katika ofisini za chama!!!

Kwenye hicho kitabu chao wataandika uongo mtupu na kujitetea kwa ufisadi waliofanya wakati JPM mahututi.

Hao wawili pamoja na magufuli wenu ndio waliotuletea Mawaziri mafisadi hakuna mfano wake. Wakawa wanatumia koti la kuwaita wapinzani maadui wa taifa.

Mfano mzuri wa takataka walizotuletea katika taifa letu ni Paul Makonda, Ole Sabaaya, Ally Hapi na Waziri Kigwangala.


 
Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi.
Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania kupitia chama hicho tawala. Utatu wa Dkt. Magufuli, Dkt. Bashiru na Dkt (Katika Mchakato) Polepole uliashiria mabadiliko ya dhati na kukirejesha chama mikononi mwa wananchi.
Mmepitia mengi, mmeona mengi katika utumishi wenu kwenye Chama, mkiyaandika yatakisaidia chama, vyama vingine, Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mifano IPO dhahiri kwamba:
Viongozi wa chama katika ngazi zote waliwajibika kwa wananchi na wanachama wa kawaida ili kuwaletea maendeleo.
Utatu huu, ulirejesha nguvu ya mabalozi katika vikao vya maamuzi na nidhamu ya chama ilirejea.
Uongozi katika chama au kuomba ridhaa ya chama haikukuwa tena nguvu ya pesa au unasaba kwa viongozi bali uzalendo, uwajibikaji na utumishi uliotukuka.
Mapato ya chama yalifanyika katika kukiendeleza chama badala ya watu binafsi kuhodhi Mali na miradi ya chama
Mvuto wa chama kwa wananchi uliingezeka hadi wanachama wakaona fahari kuvaa sare za chama hadhani tofauti na kipindi cha 2010-2015 ambapo sare za CCM zilivaliwa kwa uoga, hofu na kificho.
Popote Mwenyekiti, Katibu na Katibu wa Itikati walipokiongelea Chama, walihubiri Umoja, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji.
Kazi mliyoifanya katika Chama ni kubwa, ngumu na yenye manufaa kwa Chama, Taifa na Watanzania kwa Ujumla.
Uwajibikaji, Uzalendo na Uchapakazi wenu ulikuwa chukizo kwa wana CCM na watanzania wanaokitumia chama kwa maslahi binafsi
Ni dhahiri kwamba, Kinga yenu ilikuwa ni Mwenyekiti vinginevyo msingeweza kufanikisha mliyokifanyia chama na Taifa.
Hongereni sana kwa kuweka Historia kwa uwajibikaji wenu, ikiwapendeza Mtuandikie Kitabu kwa pamoja, kiwe zawadi na kumbukumbu kwa Chama, wananchi na Taifa vizazi na vizazi.
Ahsanteni kwa Utumishi wenu kwenye Chama, Kazi yenu tumeiona na tumeikubali.
Binafisi siwezi kuwa mnafiki hawa jamaa ni hatari kwa taifa maana walichokuwa wanakisema mbele ya hadhara daima walitenda tofauti sana gizani.Mfano naimani hawa ndo waasisi wa biashara ya utumwa miaka kadhaa. Pili wakati wa uchaguzi Mkuu mwaka Jana walijinasibu kumkata mtu yeyote aliyetoa rushwa wakati wa mchakato lkn kwa bahati mbaya kabisa wakapitisha watu waliohonga wajumbe kwa hiyo hapana
 
Polepole Pamoja na Dr. Bashiru ni zao la matokeo ya ujinga wa kukosa ufahamu wa maana ya chama Cha siasa, Hawa wapuuzi waliamini kabisa kwamba bila Mwendazake basi nchi haiwez kupata maendeleo, waliamini Mwendazake ndiye nchi, walihakikisha wanatekeleza matamko haramu ya Mwendazake,
Hakika Hawa wawili walikuwa wapuuzi wapya katika karne ya Sasa.
 
Uteuzi wa Katibu Mkuu Mpya na Katibu Mwenezi wa CCM Leo jijini Dodoma kumehitimisha utumishi wa Dkt Bashiru na Komredi Polepole katika Utumishi wa chama cha Mapinduzi.

Utezi wa Dkt. Bashiru na Hamphrey Polepole katika kukiongoza Chama cha Mapinduzi ulirejesha matumaini mapya kwa watanzania kupitia chama hicho tawala.

Utatu wa Dkt. Magufuli, Dkt. Bashiru na Dkt (Katika Mchakato) Polepole uliashiria mabadiliko ya dhati na kukirejesha chama mikononi mwa wananchi.

Mmepitia mengi, mmeona mengi katika utumishi wenu kwenye Chama, mkiyaandika yatakisaidia chama, vyama vingine, Watanzania na Taifa kwa ujumla. Mifano IPO dhahiri kwamba:

Viongozi wa chama katika ngazi zote waliwajibika kwa wananchi na wanachama wa kawaida ili kuwaletea maendeleo.

Utatu huu, ulirejesha nguvu ya mabalozi katika vikao vya maamuzi na nidhamu ya chama ilirejea.

Uongozi katika chama au kuomba ridhaa ya chama haikukuwa tena nguvu ya pesa au unasaba kwa viongozi bali uzalendo, uwajibikaji na utumishi uliotukuka.

Mapato ya chama yalifanyika katika kukiendeleza chama badala ya watu binafsi kuhodhi Mali na miradi ya chama

Mvuto wa chama kwa wananchi uliingezeka hadi wanachama wakaona fahari kuvaa sare za chama hadhani tofauti na kipindi cha 2010-2015 ambapo sare za CCM zilivaliwa kwa uoga, hofu na kificho.

Popote Mwenyekiti, Katibu na Katibu wa Itikati walipokiongelea Chama, walihubiri Umoja, Mshikamano, Uzalendo na Uwajibikaji.

Kazi mliyoifanya katika Chama ni kubwa, ngumu na yenye manufaa kwa Chama, Taifa na Watanzania kwa Ujumla.

Uwajibikaji, Uzalendo na Uchapakazi wenu ulikuwa chukizo kwa wana CCM na watanzania wanaokitumia chama kwa maslahi binafsi
Ni dhahiri kwamba, Kinga yenu ilikuwa ni Mwenyekiti vinginevyo msingeweza kufanikisha mliyokifanyia chama na Taifa.

Hongereni sana kwa kuweka Historia kwa uwajibikaji wenu, ikiwapendeza Mtuandikie Kitabu kwa pamoja, kiwe zawadi na kumbukumbu kwa Chama, wananchi na Taifa vizazi na vizazi.

Ahsanteni kwa Utumishi wenu kwenye Chama, Kazi yenu tumeiona na tumeikubali.

Hakuna kipindi ccm ilikuwa chama cha kishenzi kama chini ya Magu na hao wahuni uliowataja. Waandike kitabu lakini hakuna mtu atakuwa na muda wa kusoma hizo hekaya za hicho chama cha majizi ya kura na wauaji.
 
Ukisoma jamii forum unaweza fikiri Polepole hapendwi kumbe Hapendwi na kakundi kavijamaa vichache kazi kuvizia post yeyote ya watenda haki kuwachafua, ili hali kwa wananchi wa kawaida wanapendwa mno.

kundi la jamii forum ndo lilimpotosha Lissu kuwa atashinda,alijua ndo wapiga kura,kumbe wapiga kura halisi waliowengi hawamo hata Jamii forum,kilicho mpata anajuta kuwafahamu.
Akaita maandamano wakamuunga mikono kwenye mitandao,siku ya kuandamana hata yeye mwenyewe hakujitokeza ahahahaha.

Hao wanaompenda Polepole hawawezi kuingia huku mitandaoni waonyeshe upendo wao, au wanaompenda ni wazee kwamba hawajui kutumia mitandao?
 
Back
Top Bottom