Ni yeye kakiandika? I mean amehusika na content ya kitabu? Mwinyi amezeeka sana na hana kumbukumbu. Au alikiandika siku za nyuma alipokuwa vizuri?Hongera sana kwake
Mkuu tema mate chini mzee atagonga years amin nakuambiaInnalillaahi wa inna ilayhi Raa' ajiun.
Mzee Machache,Mzee Nkapa ,Mzee Andy Jayantkumal Chandy wote walirest baada ya memoierInnalillaahi wa inna ilayhi Raa' ajiun.
Mzee Machache,Mzee Nkapa ,Mzee Andy Jayantkumal Chandy wote walirest baada ya memoier
Mbona Jiwe amerest ini pisi ilhali hajaandika kitabu chochote! Mungu akikutaka anakuchukua wakati wowote!Mzee Machache,Mzee Nkapa ,Mzee Andy Jayantkumal Chandy wote walirest baada ya memoier
ucpende bure mkuu. watu wauziwe sema bei iwe nzur.Vipi atauza apige hela au atagawa maskini wajisomee?
Sahiv hana kumbukumbu? Sure?Ni yeye kakiandika? I mean amehusika na content ya kitabu? Mwinyi amezeeka sana na hana kumbukumbu. Au alikiandika siku za nyuma alipokuwa vizuri?
Zimepungua sana. Ni uhakika na siyo uzushi.Sahiv hana kumbukumbu? Sure?
Hivi ukizeeka Sana kumbukumbu huwa Zinapotea?
Kuna bibi mmoja tulizika mwaka juzi, kafa na miaka 105, alikuwa nae anapoteza kumbukumbuZimepungua sana. Ni uhakika na siyo uzushi.