Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,562
217,882
Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe .

====

Inaonekana Spika Ndugai alisoma kitabu cha Animal Farm! Bunge chini ya uongozi wake halikumpa Tundu Lissu nafasi ya kusikilizwa na kujitetea, lakini alihoji akiwa katika Bunge hilo hilo chini ya uongozi wake kama kumi na kenda wa CHADEMA walipewa muda wa kusikilizwa na kujitetea!

Instagram_post_by_No_Hate_No_Fear_•_May_3,_2021_at_3:18pm_UTC%22_.jpg
 
Hivi huyo anayejiita Askofu anahubiri dini au anafanya siasa? Achague moja, au ni msemaji wa CHADEMA?
Ukiangalia historia ya kupata uhuru wa mtu mweusi, Viongozi wa dini walikuwa activist wa kutetea haki za raia, Kiongozi wa dini anatakiwa ahubiri haki. Hii ni tofauti na huku kwetu ambapo viongozi wa dini wana side na watawala.

Hata hivyo tuna bahati kuwapata watu kama Askofu Mwamakula, Sheikh Ponda na wengine kama hao.
 
Ukiangalia historia ya kupata uhuru wa mtu mweusi, Viongozi wa dini walikuwa activist wa kutetea haki za raia, Kiongozi wa dini anatakiwa ahubiri haki. Hii ni tofauti na huku kwetu ambapo viongozi wa dini wana side na watawala.

Hata hivyo tuna bahati kuwapata watu kama Askofu Mwamakula, Sheikh Ponda na wengine kama hao.
"Umebarikiwa Kuliko wañawake wote"
 
Tuweke itikadi za vyama pembeni, kiukweli Job Ndugai ni mwehu. Taifa halijawahi kuwa na Speaker Wa Bunge kigeugeu na mvunjaji wa katiba kama Job Ndugai.

Haendeshi bunge kisomi kama Speaker, anaendesha bunge kama kiranja wa darasa la tatu.
Ukigoogle side effects za madawa fulani ya kurefusha siku haya yametamkwa! Ugonjwa umekimbilia juu...kuna mbaba miaka ya 2000's alikua anatembea na mahotpot...(serious) ugonjwa ulimpanda kichwani
 
Je mliokisoma kitabu hicho mliona nini kwenye maandishi yake ? hebu tusimulieni na sisi wengine tuelewe .

View attachment 1772482

Animal Farm is an allegorical novella by George Orwell, first published in England on 17 August 1945.[1][2] The book tells the story of a group of farm animals who rebel against their human farmer, hoping to create a society where the animals can be equal, free, and happy. Ultimately, however, the rebellion is betrayed, and the farm ends up in a state as bad as it was before, under the dictatorship of a pig named Napoleon.
 
Animal Farm is an allegorical novella by George Orwell, first published in England on 17 August 1945.[1][2] The book tells the story of a group of farm animals who rebel against their human farmer, hoping to create a society where the animals can be equal, free, and happy. Ultimately, however, the rebellion is betrayed, and the farm ends up in a state as bad as it was before, under the dictatorship of a pig named Napoleon.
Mkuu tunakushukuru sana
 
Back
Top Bottom