kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Makirita Amani

    Kitabu Kipya: Mwongozo wa Maisha ya Mafanikio

    Rafiki yangu mpendwa, Huwezi kutoka nyumbani kwako na kwenda popote kama huna mwongozo unaoufuata. Hata kama haujauandika mahali, unajua kabisa utapita wapi na wapi ndiyo ufike kule unakotaka. Na hata unapokuwa njiani na kukutana na njia nyingine, hutahangaika nazo kwa sababu unajua njia...
  2. Civilian Coin

    Mwanamuziki Mashonda (Marekani) ndio Mwanaharakati wa kwanza kutoa Kitabu Cha Talaka baada ndoa.Na kuachika, leo Ni Mpweke.

    Kitabu chake Mashonda tifrere Mwanamuziki wa kike Nchini Marekani, kimejikita zaidi katika changamoto za ndoa na jinsi ya kutuliza nafsi unapopewa Talaka ndani ya ndoa. Nimetambulisha video yenye sura yàke. Kitabu Ni Kama unavyoona kava. Nitakiwasilisha TANZANIA.
  3. Ileje

    Kwa nini ofisi zote za ma-RPC na OCD mezani kuna kitabu cha Ilani ya CCM na hakuna PGO?

    Nimeingia ofisi nyingi za ma-RPC na OCD hapa nchini, kitu utakachokiona kwa haraka na uwazi kabisa juu ya meza zao ni Ilani ya CCM. PGO ambayo ndiyo inayotoa mwongozo wa utendaji wao wa kazi za kila siku utaiona kwenye shelf. Ni kwa bahati mbaya au kutokujua kwa viongozi hawa wa askari kuwa...
  4. Erythrocyte

    Kitabu alichoonesha Freeman Mbowe alipokuwa anaingia Mahakamani kina ujumbe gani?

    Mwenye kufahamu atujuze ili twende sawa
  5. Lycaon pictus

    Kitabu: Simba wa Tsavo

    kitabu hiki kiliandikwa mwaka 1907 na JH Patterson kikiitwa The man-eaters of Tsavo. kilitafsiriwa kwa kiswahili miaka ya 1960's kikiitwa Simba wa Tsavo. Unaweza kukisoma bure ndani ya Maktaba app(by pictuss), app hiyo ipo playstore. SURA YA I KUFIKA KWANGU TSAVO SIKU HIYO, ikapata...
  6. Mohamed Said

    The Torch on Kilimanjaro: kitabu cha watoto kuhusu Historia ya Baba wa Taifa

    "THE TORCH ON KILIMANJARO" KITABU CHA WATOTO KUHUSU HISTORIA YA BABA WA TAIFA Miujiza ya Mwenyezi Mungu haiishi. Maofisa kutoka CCM Dodoma walikuwa wamemaliza mazungumzo na mimi kuhusu mengi katika historia ya Mwalimu Nyerere, TANU na mambo mengi yaliyotokea wakati wa kupigania uhuru wa...
  7. P

    INAUZWA Ofa ya kitabu cha Think & Grow Rich toleo la Kiswahili 2021

    Pata vitabu 2 kikiwemo kitabu cha FIKIRI NA UTAJIRIKE (THINK & GROW RICH-SWAHILI EDITION) kwa shilingi elfu 10 tu, Kitabu cha 2 ni, MICHANGANUO YA BIASHARA NA UJASIRIAMALI, Offa hii haihusishi nakala ngumu Za vitabu hivyo. JINSI YA KUVIPATA Fikiri na Utajirike utakipakua kwenye mtandao wa...
  8. MWEMZUNDU

    INAUZWA Kwa wanaotaka kufanya biashara ya madini, kitabu kinapatikana

  9. comte

    Jenerali Ulimwengu katuandikia kitabu- Rai ya Jenerali

    Judge Joseph Sinde Warioba at the launch of the RAI YA JENERALI book on 06. 08. 2021.
  10. comte

    Hayati Mkapa hakuhoji uhalali wa tume ya uchaguzi kwenye kitabu chake. Wanaomnukuu hivyo wanapotosha

    An objective and fair electoral commission, which is acceptable to all parties is an essential pillar in the evolving democratic culture on the African continent. The composition of the electoral commission is often disputed in African countries, yet someone must appoint them. Then you must have...
  11. Red Giant

    Niccolo Machiavelli na kitabu chake The Prince (Of principality). Kwa kiswahili; kuhusu Uongozi. Tusome na kujadili

    KIONGOZI (nimeonelea ndiyo iwe title) Sasa kitabu hiki kinapatikana ndani ya maktaba app (by pictuss). Inapatikana playstore. Kimeandikwa na: Niccolo Machiaveli, 1513. Kimetafsiriwa na: Pictuss, 2021. Email: Pictuspublishers@gmail.com. ©Pictuss2021 Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu...
  12. B

    Nauza kitabu Cha UJASUSI yanayoendelea kuhusu COVID 19

    Hello guys, Nauza kitabu hicho kimeandikwa kwa koswahili kabisa..,njoo inbox (Bei Ni tshs 5000 tu) ujipatie., Na weekend yako iwe mujarabu huku ukijikinga na COVID 19 Pata dondoo kidogo hapo SEHEMU YA KWANZA Taharuki kubwa ilitanda katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere...
  13. Mtoto wa Nyerere

    Somo la 'Historia ya Tanzania' alilotaka Magufuli lasitishwa

    Hayati Magufuli naona kaangukia pua tena Somo la historia ya Tanzania lasitishwa Katibu mkuu wizara ya elimu amesema syllabus hiyo imesitishwa haraka na haitafundishwa kokote. Source ITV news ============== Waziri wa elimu Prof. Ndalichako amesitisha maboresho ya mtaala wa somo historia...
  14. Lycaon pictus

    Natafuta kitabu Someni kwa furaha 2B. 15,000 ipo hapa.

    Natafuta hiki kitabu chenye hadithi ya bulicheka. Kama unacho kiscan na kunitumia. Nina 15,000 ya shukrani.
  15. Ugumu wangu

    Kitabu gani umeshakisoma Cha wainjilist Hawa Billy Graham na Rehnard Bonke

    Mimi Sasa najisomea hiki Ila nimesoma zaidi 12 vya Hawa wainjilist
  16. C

    Kitabu: "The Lost Books of the Bible and the Forgotten Books of Eden (1926)"

    Nafikiri wengi wenu mnajua mfalme Constantine na kanisa Katoliki hawakuweka almost vitabu 14 wakati wana assemble Biblia, hii imetunyima mengi kujua kuhusu kwa mfano the book of Enoch, the book of Og lile jitu refu kabisa. Cha kusikitisha ni kwamba wakati sisi hizo knowledge hatuna wao kwenye...
  17. Mr Dudumizi

    UZINDUZI WA KITABU: Lissu asuswa na kupuuzwa na wanaharakati wenzake

    Nawasalimu kwa jina la jamhuri. Ama baada ya salam sasa niende kwenye mada husika. Kama ilivyozoeleka huko nyuma, swala la uzinduzi wa vitabu hasa kwa viongozi wetu lilikuwa ni la uwazi, ambapo kila mtu bila kujali vyama alilifatilia mwanzo mwisho. Wakati wa uzinduzi wa kitabu cha hayati mzee...
  18. mtwa mkulu

    Abunuwasi na Wagagagigikoko

    mimi mutwa mukulu nawakilisha kizazi cha dot com. nikiwa shule ya msingi ilembula njombe kwa mzee nyimbo, nilibahatika kusoma baadhi ya vitabu vya zamani kwani kijiji kile watu walianza kusoma mwaa 1945. nilipata kusoma kitabu cha abunuwasi, kisiwa chenye hazina na jamaa hodari kisiwani...
  19. C

    Married to the Mossad: kitabu kilicholeta utata Mossad

    Kitabu ukikisoma unaweza ukadhani ni fiction hapana ni non fiction hata kama kuna sehemu imefichwafichwa na kupakwa rangi ila ni inspired by true events,kilipotoka kilikuwa the best seller huko israel Kitabu hiki kilikaa miaka kumi ndipo kikachapishwa kwani mume wa mwanamama Shalva Hessel...
  20. Red Giant

    Kitabu: Shamba la wanyama. Tusome na kujadili

    Umewahi kusoma hiki kitabu? Kimeandikwa na: George Orwell, 1945. Kimetafsiriwa na: Pictuss Email: Pictuspublishers@gmail.com. ©Pictuss2021 Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu yoyote ya tafsiri hii inayoweza kunakiliwa, kutolewa kivuli(photocopy), kuhamishwa, kurekodiwa au kutolewa kwa...
Back
Top Bottom