kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Magazetini

    Rais Magufuli azindua Kiwanda cha bidhaa za ngozi Kilimanjaro, aitaka mifuko ya hifadhi kuwekeza kwenye viwanda badala ya majengo

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli anazindua kiwanda cha bidhaa za ngozi kilichopo mkoani Kilimanjaro. Rais ameshafika na kwa sasa ni wimbo wa Taifa kabla ya kuanza shughuli Rasmi. Kuwa nami. ====== TAARIFA FUPI YA MRADI Mkurugenzi PSSF: Ujenzi wa mradi huu ni utekelezaji...
  2. Securelens

    GE2020 Dkt. Magufuli aivunja ngome ya CHADEMA Kilimanjaro

    Watanzania tumeshuhudia kwa macho yetu jinsi Mhe Rais Magufuli alivyopokelewa na nyomi kubwa Kilimanjaro. Haijawahi kutokea. Taarifa za ndani kutoka mkoa huo ni kwamba Mheshimiwa Rais Magufuli amevunja kabisa ngome ya Chadema Kilimanjaro. Wanakilimanjaro wameguswa sana na maendeleo yaliyofanywa...
  3. Motheroftwo

    Naombeni msaada wakujuzwa kama TAESA kwa mkoa wa Kilimanjaro ipo na inapatikana maeneo gani

    Ndugu zanguni naombeni msaada mnijuze TAESA kwa Kilimanjaro kama ipo na iko maeneo gani na mimi niende nikapeleke huko vyeti huku mambo mengine ya kupambana kutafuta ajira sehemu mbalimbali yakiendelea.
  4. UKWELIYAKINIFU

    GE2020 Ziara ya Dkt. Magufuli Kilimanjaro imebeba ajenda za msingi

    Na Thadei Ole Mushi. Watu wa Kilimanjaro sio wajinga kiasi hicho, watamchagua Rais Magufuli kwa Kura nyingi Sana kuliko wagombea wengine wa uraisi. Twende sawa na agenda zetu.... 1. Kilimanjaro ina makabila mawili makubwa, Wachaga na wapare. Kwa silka ya makabila haya yapo profit oriented...
  5. J

    GE2020 Msajili amwandikia barua Maalim Seif akimtaka ajieleze kwanini kapanda jukwaa moja na Tundu Lissu kule Kilimanjaro!

    Msajili wa vyama vya siasa amemtaka mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Maalim Seif ajieleze kwanini alisafiri hadi Kilimanjaro na kupanda jukwaa moja na Tundu Lissu wa CHADEMA kumpigia kampeni. Kiongozi wa chama Zitto Kabwe amesema wanatarajia na mwenyekiti wa TLP mzee Mrema atajieleza pia...
  6. Erythrocyte

    GE2020 Yanayojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

    Zikiwa zimesalia siku 7 tu kukamilisha muda wa kampeni , leo tena yule Mgombea wenu Jasiri Tundu Lissu anaendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa yenu , ambapo atamaliza kazi kwenye baadhi ya majimbo ya Kilimanjaro na baadaye kuingia Tanga. Kama kawaida yetu tutakuwepo hewani tena kuwaletea...
  7. BAK

    Askofu Mwamakula afikisha sauti ya haki Kilimanjaro

    ASKOFU AFIKISHA SAUTI YA HAKI KILIMANJARO Tarehe 19 Oktoba 2020. Nikiwa na Mheshimiwa Freeman Mbowe (Mwenyekiti CHADEMA), Mheshimiwa Tundu Lissu (Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA), na Mheshimiwa Seif Sharif Hamad (Mgombea Urais Zanzibar kupitia ACT Wazalendo). Ninaendelea na 'Missio...
  8. M

    GE2020 Yaliyojiri katika mapokezi ya Tundu Lissu leo Oktoba 19 mikoa ya Kilimanjaro na Arusha

    Mgombea wa Urais CHADEMA Tundu Lissu leo ataendelea na Kampeni zake katika mikoa ya Kanda ya Kaskazini. Arusha na Kilimanjaro ngome Kuu za CHADEMA tangu mfumo wa vyama vingi uanze wanatarajiwa kufanya mapokezi ya kufuru kwa Mgombea huyo ambaye tathmini zote zinaonyesha atapata ushindi wa zaidi...
  9. The Sheriff

    Kilimanjaro: Waliochoma shule wilayani Hai shule wakamatwa

    Vyombo vya Dola wilayani Hai vimefanikiwa kukamatwa kwa watu watatu kwa tuhuma za kuchoma moto bweni la kulia chakula la wanafunzi wa Madrasa lililopo ndani ya Msikiti wilayani Humo mkoani Kilimanjaro. Bweni hilo liliungua kwa moto siku mbili zilizopita Ikiwa ni tukio la pili baada ya mabweni...
  10. Analogia Malenga

    TANAPA yafanikiwa kuzima moto Mlima Kilimanjaro

    Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limesema kuwa ukaguzi wa anga uliofanywa leo asubuhi katika Mlima Kilimanjaro umebaini kuwa moto wote umedhibitiwa lakini vikosi vya askari vimetawanywa kwa ajili ya tahadhari. Moto huo uliozuka Oktoba 11 mwaka huu umeathiri eneo la kilomita za...
  11. Jesuitdon

    Simuulizi/documentari nzima ya kusisimua kwenye harakati za kuzima moto mlima Kilimanjaro na nilivyoshuhudia kifo mbele yangu lakini nikapona

    #SEHEMU YA KWANZA Naleta full documentary nilivyo husika kwenye janga la moto mlima kilimanjaro Kwanza Mimi nilishapitia mafunzo magumu ya jeshi 843Kj nadhani hii pia ilichangia kuepuka kifo. Stori inaanza asubuhi 13/10/2020 nilivyofika Marangu mtoni sehemu...
  12. Infantry Soldier

    Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania eti; Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro? Sijataka kuongelea kuhusu Kenya kwa maana wadau wataanza...
  13. Miss Zomboko

    Serikali kujaribu kutumia Helikopta ili kuzima Moto unaoendelea kuwaka Mlima Kilimanjaro

    Serikali ya Tanzania inatazamiwa kutuma helikopta na ndege katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania kujaribu kuuzima moto unaendelea kuwaka kwa siku ya saba sasa. Hayo ameyasema Waziri wa utalii nchini humo Dkt Hamis Kigwangala baada ya moto kuendelea kuwaka katika mlima huo. Jana Waziri...
  14. B

    TANAPA, je wanaozima moto Mlima Kilimanjaro mnawajali au mnawapuuza?

    TANAPA ni shirika kubwa sana linakusanya pesa nyingi kupitia Mlima Kilimanjaro ila cha ajabu ni kwamba, waliokwenda kuzima moto mlimani ni waliambiwa wawe watu wa kujitolea ambao walikusanywa Mgambo wa Kilimanjaro na Arusha hawa ni miongoni mwa waliokwenda kusaidiana na wengine kuuzima moto...
  15. TODAYS

    Masaa 48, Mlima Kilimanjaro bado ukiwa unateketea

    Utalii ni sehemu mojawapo inayoingizia mapato nchi yetu na sekta hii ikiwa imetia ajira nyingi kwa watanzania na kuruhusu wageni wengi kuja na kuwekeza mamilioni ya fedha hapa nchini, hali inayofanya mapato kupitia sekta hii kuwa imara kutokana na mambo mbalimbali. Mpaka ninapoandikaada hii ni...
  16. Analogia Malenga

    Wananchi, Wanafunzi na Zimamoto washirikiana kuzima moto Mlima Kilimanjaro

    Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka (CAWMSO) amewaomba wanafunzi waliopo chuoni kushiriki kikamilifu katika kuzima moto katika hifadhi ya Kilimanjaro. Mamlaka za Hifadhi za Taifa ilisema sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro ilianza kuungua tangu jana mchana na waliendelea juhudi za...
  17. hayaland

    BBC, habari za moto Mlima Kilimanjaro anaripoti mwandishi kutoka Kenya, ni sahihi?

    Nilikuwa nafuatilia habari za BBC London katika television. Cha kushangaza habari ya mlima Kilimanjaro na harakati za nchi kuzima moto katika mlima huo mkubwa barani Afrika ameripoti mwandishi Emmanuel Igunza kutoka nchini Kenya. Nimejiuliza sana kwa nini habari za Tanzania aripoti mwandishi...
  18. orturoo

    Angalizo: Jitihada zifanyike mapema kuokoa hifadhi ya msitu unaoteketea kwa moto katika mlima Kilimanjaro

    Kuanzia majira ya saa 12 jioni ya Leo maeneo ya msitu wa mlima Kilimanjaro umeonekana ukiwa na ishara ya kuwaka moto kutoka sehemu ya upande wa mashariki ukiwa unatizama mlima kutokea Moshi Mjini, hivyo kuonekana ukubwa wa moto kuongezeka kadri muda unavyozidi kwenda, inaonekana eneo...
  19. J

    Sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro inaungua moto!

    Sehemu ya msitu wa mlima Kilimanjaro inaungua moto muda huu. Habari kamili itakuja Source ITV habari! ==== Wazima moto nchini Tanzania wanapambana kujaribu kuudhibiti moto unaouteketeza mlima mrefu zaidi barani Afrika, mlima Kilimanjaro. Kulingana na shirika la mbuga za kitaifa Tanzania...
  20. Prof Koboko

    GE2020 IGP Simon Sirro, mchukulie hatua kali OCD wilaya ya Hai

    Ni wazi kabisa kwamba huyu OCD amelichafua na kulidhalilisha kwa kiasi kikubwa sana Jeshi la polisi nchini. Haiwezekani kiongozi ambaye ni well trained kwenye maduka ya kijeshi anaongea ujinga kiasi hicho. Polisi ni kazi ya shurba siku zote, ukitaka kuifanya upendavyo wewe utamaliza watu. Ni...
Back
Top Bottom