jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hali ya mambo 2015 ilikuwa ngumu kwa CCM hasa baada ya Mh. Edward Lowassa kuhamia CHADEMA jambo lilolopelekea kura ya hasira dhidi ya CCM.
Mwaka huu ni tofauti kwani Upinzani umekosa mwanaCCM maarufu na mwenye mtandao ndani ya CCM ambaye angeweza kuyumbisha chama.
Wakazi wa Kaskazini wameamua kuachana na siasa za kiuwanaharakati kwani haziwasaidii na badala yake zimepunguza fursa za kimaendeleo.
Ishara ya kuinua Masale kuanzia Moshi, Hai, USA, Arusha jiji n.k ni ishara ya mapatano.
Mwaka huu ni tofauti kwani Upinzani umekosa mwanaCCM maarufu na mwenye mtandao ndani ya CCM ambaye angeweza kuyumbisha chama.
Wakazi wa Kaskazini wameamua kuachana na siasa za kiuwanaharakati kwani haziwasaidii na badala yake zimepunguza fursa za kimaendeleo.
Ishara ya kuinua Masale kuanzia Moshi, Hai, USA, Arusha jiji n.k ni ishara ya mapatano.