Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Lengo la uzi huu ni kupeana changamoto na mikoa mingine ili muwe na hasira ya ku hustle zaidi.
Oneni maendeleo ya makazi ya Kilimanjaro sio kwamba ni serikali imefanya! Ni nguvu za watu,ndio mana hakuna mchaga anaerudi kwao kizembe lazma awe na chochote kitu bila hivyo ni aibu. Sasa ili kutoa aibu lazma ufanye vitu.
Kama upo
Bukoba
Mbeya
Dom
Lindi n.k tuonenesheni picha za mazingira ya kwenu
Kama upo Moshi ruksa kujazia mapicha kama yote ili kukazia uzi huu