kilimanjaro

Mount Kilimanjaro () is a dormant volcano in Tanzania. It has three volcanic cones: Kibo, Mawenzi and Shira. It is the highest mountain in Africa and the highest single free-standing mountain in the world: 5,895 metres (19,341 ft) above sea level and about 4,900 metres (16,100 ft) above its plateau base.
Kilimanjaro is the fourth most topographically prominent peak on Earth. The first people known to have reached the summit were Hans Meyer and Ludwig Purtscheller, in 1889. It is part of Kilimanjaro National Park and is a major climbing destination. Because of its shrinking glaciers and disappearing ice fields, it has been the subject of many scientific studies.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    Wizi wa bodaboda watikisa Kilimanjaro

    Wizi wa pikipiki zinazosafirishwa kwenda kuuzwa nchi jirani umeutikisa Mkoa wa Kilimanjaro. Wizi huo umekithiri zaidi katika wilaya za Moshi na Rombo pamoja na Mji wa Mirerani. Chama cha Wamiliki na Waendesha Bajaji Mkoa wa Kilimanjaro (CWBK) kinakadiria wastani wa pikipiki 100 huibwa kila...
  2. Magari ya Biashara

    House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu

    Nyumba ipo Mbezi beach upande wa chini Ina vyumba vitatu kimoja master Jiko, sebule, dinning na public toilet Ina eneo lenye ukubwa wa sqm 1000 Hati miliki mkononi Wahi sasa BEI ni milioni 200 Tu Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283 Mawasiliano 0677 818283...
  3. Kibukuasili

    Kampuni ya kupandisha watalii Mlima Kilimanjaro

    Nafikiria kuanzisha kampuni ya kupandisha wageni mlima kilimanjaro. Kwa sasa ninachojua ni kwamba. Lazima uwe na kampuni iliyosajiliwa BRELA na TRA. Sio lazima kuwa na gari. Magari ya kuwachukua airport kwenda hotelini na kwenye geti la kuanzia/kumalizia unaweza kukodisha. Nguo za kupanda...
  4. Victor Mlaki

    Upekee wa Mlima Kilimanjaro

    Mlima Kilimanjaro ni miongoni mwa milima yenye vilele virefu zaidi Duniani. Mlima huu una sifa nyingi zinazoutofautisha na milima mingine, sifa hizo ni pamoja na: 1. Ni miongoni mwa milima saba enye vilele virefu zaidi Duniani. Lakini pamoja na kuwa hivyo bado ni mlima rahisi kupandwa...
  5. Jamii Opportunities

    Sales Executive at Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited

    The Kilimanjaro International Leather Industries Company Limited (KLICL) previously known as Karanga Leather Industries Company Limited is established as a Joint Venture company between PSSSF and Tanzania Prisons Service through its Company known as Prisons Corporation Sole. The Company was...
  6. Idugunde

    Same: Watu 11 wafariki kwa ajali ya gari

    Moshi, Same. Watu 10 wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea kijiji cha Kirinjiko Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro. Baadhi ya waliofariki katika ajali hiyo iliyotokea leo jioni Jumanne Aprili 13, 2021 baada ya gari aina ya Toyota Alphard kugongana uso kwa uso na gari jingine aina ya Toyota...
  7. Idugunde

    Takukuru Kilimanjaro yamfikisha mahakani wakili Emanuel Mlaki, je mawakili huomba rushwa?

    TAARIFA: Takukuru Mkoa wa Kilimanjaro, imemfikisha mahakamani, Wakili Emmanuel Mlaki akituhumiwa kuomba na kupokea rushwa ya Sh.300,000.
  8. Shadow7

    Kilimanjaro: Mkulima awamiminia risasi mke na mtoto wake, sababu zaelezwa

    Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Alson Shangali (61) mkulima na mkazi wa Kijiji cha Kimashuku kata ya mnadani katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro anatajwa kuwajeruhi kwa kuwapiga risasi mke wake Magret Shangali (51) na mwanae Albert Shangali (28). Chanzo Bongo five
  9. Ngamanya Kitangalala

    Kwanini Wakenya wengi wanasema mlima Kilimanjaro uko nchini kwao?

    Kwa miaka mingi kumekuwepo na baadhi ya Wakenya wamekuwa wakisema na kutangaza huko duniani kuwa Mlima Kilimanjaro unapatikana ndani ya nchi yao. Ni jambo ambalo limekuwa likiendelea kwa muda mrefu sana,mpaka kufikia kwa baadhi ya wageni( watalii) kutoka nchi mbalimbali duniani, kuamini kuwa...
  10. Melubo Letema

    Zaidi ya Milioni 40 za Washindi Kilimanjaro Marathon 2021 Kizungumkuti

    Washindi wote 40 wa Mbio za Kilimanjaro Marathon hawajalipwa fedha zao hadi leo. Washindi hao ni wa Kilomita 42 na Kilomita 21 ambao ni kumi bora kwa Wanawake na Wanaume. Wanariadha wamewasiliana na Race Director, John Bayo ambaye pia ni Makamu wa Rais wa RT bila majibu ya kuridhisha...
  11. Analogia Malenga

    Watakaopata daraja la 4 na sifuri elimu ya sekondari watashtakiwa kwa uhujumu uchumi

    Afisa Elimu wa Mkoa Kilimanjaro, Paulina Mkwama amesema watakaopata chini ya Division 3 wajiandae kushtakiwa kwa uhujumi Uchumi. Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Umbwe walipokuwa katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Gerald Mweri...
  12. Geza Ulole

    Apparent JKIA does not have traffic control system, aircraft rely on Kilimanjaro Airport's traffic control system!

    ECONOMY New Sh346 million air traffic control system to boost JKIA safety WEDNESDAY MARCH 10 2021 Terminal 1A at Jomo Kenyatta International Airport. FILE PHOTO | NMG The Kenya Civil Aviation Authority (KCAA) will install a new Sh346 million air traffic control system at the Jomo Kenyatta...
  13. M

    Serikali lawamani kuruhusu Mkusanyiko wa Maelfu kwenye Kilimanjaro Marathon wakati Taifa linapambana na Virusi vya Korona

    Watu walikuwa wengi kwelikweli, ni maelfu ya watu wamekusanyika kwa ajili ya kushiriki mashindano ya Kilimanjaro Marathon. Miongoni mwao wapo ambao hawakuvaa barakoa kabisa, na wamo amabao walizivaa na kuzivua. Mkusanyiko wa mahali hapo ulikuwa ni mkubwa kiasi kwamba kaa kuna wstu wana virusi...
  14. 2019

    Vita ya Serikali na nzige yapamba moto huko Siha Kilimanjaro, Serikali inaweza kushindwa

    Hiyo ni wilaya ya Siha Kilimanjaro bado wanachanja mbuga wametokea Arusha hao. Tutapona njaa kweli?
  15. J

    Zoezi la kumwaga sumu ya kuua nzige kuendelea kesho Kilimanjaro, rubani aliyetelekeza ndege na kurudi Kenya kufuatiliwa!

    Waziri wa kilimo Prof Mkenda ameagiza zoezi la kuua nzige waliovamia mkoa wa Kilimanjaro liendelee kesho baada ya leo kusimama kwa sababu pilot wa ndege ya kumwaga sumu aliiacha ndege na kurejea Kenya. Prof Mkenda amesema atamfuatilia pilot huyo kupitia mamlaka zake za juu na kwamba kesho...
  16. chiwanga11

    Nzige Wavamia Kilimanjaro

    Mkoa wa Kilimanjaro eneo la Siha, Nzige wa Jangwani wamevamia. Si mchezo ni wengi balaa. -----+ Kundi la Nzige waharibifu wa jangwani limeingia wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro Kaskazini mwa Tanzania na kuibua hofu ya uharibifu wa mazao ya chakula. Wilaya hiyo inazalisha mazao mbali mbali ya...
  17. Cannabis

    RC Mghwira: Misiba mingi Kilimanjaro inatoka maeneo mengine nchini. Si kweli kuwa watu wanafariki dunia kutokana na Covid 19

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira amesema misiba mingi iliyopo mkoani humo inatoka maeneo mengine na si kweli kuwa watu wanafariki dunia kutokana na ugonjwa wa Covid 19 unaosababishwa na virusi vya corona. Amesema Mkoa huo upo salama na kuwataka wananchi kupuuza taarifa hizo kwa kuwa...
  18. J

    Wenyeji 60 wa mkoa wa Kilimanjaro wakamatwa na mitambo ya kutengeneza pombe haramu ya gongo

    Wenyeji 60 wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro wamekamatwa na madumu yenye pombe haramu aina ya gongo na mitambo ya kutengenezea pombe hiyo. Kamanda wa polisi wilayani Rombo amesema msako mkali unaendelea katika harakati za kukomesha uhalifu huo. Chanzo: ITV habari My take; Wenyeji wa Rombo...
  19. J

    TANZIA Mfanyabiashara maarufu Velani Mkomba ajulikanae kama Vigu Co aka Kilimanjaro Lembeni Kwetu afariki dunia

    Mfanyabiashara Velani Mkomba aka Kilimanjaro Mwanga Lembeni Kwetu mwenye makazi yake huko Salasala amefariki kwa matatizo ya kubanwa pumzi. Rip Velani
  20. Kibosho1

    Isiye waterfalls: Sehemu mpya ya kitalii Moshi

    Katika mkoa wenye vivutio vingi vya kitalii basi ni mkoa wa Kilimanjaro. Hii inatokana na uwepo wa mlima,ukiachilia mbali mlima huu kuwa kivutio,kuna mito inayotoka mlimani inayoteremka na baadae kuwa mto mmoja yani mto Pangani ambao unamwaga maji yake kwenye bahari ya Hindi. Uwepo wa mito...
Back
Top Bottom