Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,671
- 218,175
Ikiwa leo ni siku ya Maombi, Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya Kilimanjaro na Tanga.
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "
=========
Hedaru
Handeni :
SAME :
Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.
Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika
" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "
=========
Hedaru
Handeni :
SAME :