Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kwenye Mikutano ya kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu kwenye Mikoa ya Kilimanjaro na Tanga

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,671
218,175
Ikiwa leo ni siku ya Maombi, Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na kampeni ya kuomba kura za kishindo kwenye baadhi ya maeneo ya Kilimanjaro na Tanga.

Kama kawaida yetu tutaendelea kuwahabarisha kila kinachojiri mahali pote anapopita.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za uhakika

" RAIS MPYA OYEE , TANZANIA MPYA OYEEE "

Subpost 1 - Instagram media - CGx6thpgN2J ( 640 X 640 ).jpg


=========

Hedaru

Subpost 6 - Hedaru Mpoooooooooh... ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Hedaru Mpoooooooooh... ( 640 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Hedaru Mpoooooooooh... ( 640 X 640 ).jpg



Handeni :

Subpost 3 - Handeni Mpoooooo ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Handeni Mpoooooo ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 4 - Handeni Mpoooooo ( 426 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Handeni Mpoooooo ( 426 X 640 ).jpg


SAME :

Same Mashariki - Kilimanjaro ( 564 X 640 ).jpg
Subpost 3 - Ndungu Same Mashariki Mpoooooooo ( 563 X 640 ).jpg
Subpost 2 - Ndungu Same Mashariki Mpoooooooo ( 564 X 640 ).jpg
Subpost 1 - Ndungu Same Mashariki Mpoooooooo ( 564 X 640 ).jpg
 
Mungu mbariki Lissu. Mungu ibariki CHADEMA hatimaye tabasamu lionekane machoni mwa wapenda HAKI
Naamini siyo kwa bahati mbaya hukumalizia kwa kusema au kuandika Mungu ibariki Tanzania ulipenda Bila Shaka kuandika mungu wabariki mabeberu, mungu mbariki Amsterdam
 
Back
Top Bottom