Michael Christopher Kijana Wamalwa (25 November 1944 – 23 August 2003) was a Kenyan politician and, at the time of his death, served as the eighth Vice-President of Kenya.
Duh! Akina dada wamechoka kutumiwa na za kutolea, wameamua kuongoza shughuli kwa mbele
Eng. Veronica Nyambura (right) with Rift Valley Commander George Natembeya (cemter) on Monday, March 21, 2021.
TWITTER
For years, the engineering industry was considered a preserve for the male gender but...
Habari za kazi wakubwa
Biashara ya mkaa Ni biashara ambayo inawez kukutoa kutoka sehemu moja kwenda nyingine ,hivo kwa fursa hyo napenda yeyote ambaye atakuwa vizuri tuwekeze pamoja katika mchanganuo huu lakin kwa upande wangu nitawekeza nguvu zaidi (yaani Sina mtaji).
Update:
Biashara yetu...
IN SUMMARY
Grace Chacha (67), mkazi wa kijiji cha Guta Wilaya ya Bunda mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga na mwanaye wa kambo, Matiku Chacha akidaiwa ni mchawi.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Mara, Daniel Shillah amethibitisha kutokea kwa tukio hilo huku akiahidi kutoa taarifa...
Habari zenu wana JF
Wanahitajika vijana wawili wa kiume wachapa kazi hodari na waaminifu wakazi wa Dsm.
Umri usizidi miaka 25.
Lakini pia hata akipatikana wa kike sio mbaya kama atashirikiana na wa kiume jumla yake wapatikane wawili tu.
Kuna kijiwe changu cha kuuzia Ashua (mbupu za Ng'ombe...
Vazi lenyewe linatumia nishati ya jua kuchaji simu, hongereni sana vijana, mnakokwenda kunafaa......
Ruuj Caflon a University of Nairobi (UoN) graduate is the founder of Caflon design, a company that designs clothes that can charge phones and produce lights.
He was taking an electrical...
Kiufupi ni hamna kitu pale zaidi ya kelele nyingi wala huelewi mtu huyu anasema nini. Amejitahidi kiasi chake kufanya hii remix ya wimbo wa Awilo wa miaka mingi ya zamani ila asikate tamaa akazane atafika.
Nimetafakari Sana Mahusiano ya watu tajwa hapo juu, Yan kabla ya kijana kuoa na baada ya kijana kuoa.
Katika uchunguzi wangu mdogo familia nyingi kabla ya kijana kuoa zinakuwaga na utulivu amani na upendo baina ya kijana, Mama wa kijana na (ma)dada wa Kijana.
Lakini baada ya kijana kuoa na...
Mtangazaji wa tv nguli nchini Tanzania na Afrika Mashariki, Aloyce Nyanda amesema DC Kasesela wa Iringa alitafsiriwa vibaya na hakuwa na nia ya kutukana.
Nyanda amesema baada ya kuiona ile clip aliwasiliana na DC Kasesela ndipo akaelezwa tukio zima lilivyotokea.
Nyanda anasema watu wote...
Nimekutana na mtoto Exaud (ana miaka 12, darasa la 5) pale Mbalamwezi,mbele kidogo ya (Mafinga) Nyololo, njia ya Iringa -Mbeya.
Nimefurahia ubunifu wake na jinsi ambavyo Neno la Mungu limemkaa.
KILA MWENYE PUMZI AMUSIFU BWANA
Kizuri zaidi ni namba plate liyoiokota barabarani na "kusajili"...
Polisi wa Chicago wametoa picha za afisa aliyempiga risasi mtoto wa miaka 13 kwenye uchochoro wa giza.
Video hiyo inaonesha polisi huyo akipiga kelele “dondosha” kabla ya kumpiga risasi Adam Toledo mara moja kifuani tarehe 29 mwezi Machi.
Mvulana haonekani kuwa ameshika silaha katika sekunde ya...
Katika hali ya kawaida inaonekana ni vigumu girl kuomba mapigo toka kwa kijana barobaro, lakini hutokea kwa trick flani hivi.
Mfano mimi nakumbuka nilikuwaga na mahusiano na mdada mmoja Mwananyamala alikuwa ana style yake ya kuomba mapigo, ananipigia simu akidai anaumwa sanaa, basi kidume...
Habari zenu?
Mashoga wengi huku Temeke wanavaa pensi za jinzi .
Mara nyingi hizi pensi zao zinakuwa na sifa zifuatazo;
- Fupi (hazivuki magoti)
- Zinabana mwili
- Zimetoboka au kuchanika mapajani.
Sasa Mimi nimeanza kuconclude kuwa kila kijana ninayekutana naye barabarani amevaa hivi najua ni...
Naam! Nawaletea neno la siku; tupo likizo kidogo.
1. KUWA NA MARAFIKI AMBAO WANA FAIDA KATIKA MAISHA YAKO: Unaweza kuta mtu katika simu yake ana marafiki zaidi ya 200 lakini hawa wote anapopata tatizo au shida akianza kuomba msaada katika hao marafiki hata shilingi laki 5 haifiki, sasa kuna...
Habari zenu wana JF,
Niende kwenye mada moja kwa moja
Mimi sio mgeni humu ila nimetumia ID mpya so niwatoe hofu ya hiyo username yangu.
Mara nyingi vijana hawatambui ni vitu gani wanapaswa kufanya na kwa wakati gani.
Kijana tambua kuwa muda unaoutumia sasa una matokeo mbeleni Ujana una...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.