Natafuta kijana mwenzangu programmer tusaidiane

localdev

Member
Dec 12, 2021
7
13
Hili si tangazo la kazi bali natafuta kijana mwenzangu ambae ni programer na yupo kwenye app & web dev.

Nimegraduate last year, computer science, hata kama huna degree ya computer science na wewe ni self taught hii inakuhusu

Lengo ni kujiajiri, itakuwa vyema zaidi aki cover backend, Software development became such a big field that there is no/less possibility for someone to be such thing as full stack developer, There are just too many things going on in all of those fields to keep up with all of them.

So nimeona siwezi kuwa full stack dev, inawezekana lakini ni kazi ngumu, binafsi kufahamu php,html,css, na javascript sichukulii kama ni full stack ambapo inabidi uwe specilist wa front end na back end.

Nimeona ni ta risk afya hasa kutumia muda mwingi kwenye screen kusoma na kufanya kazi endapo nikiwa full stack dev, kwa maana kusoma kwenye programming hakuishi, kila siku kuna kuja teknolojia mpya.
pia nimeona ubunifu na ufanisi wa kazi utakuwa mdogo kwa sababu ya kufanya kazi kwa masaa mengi, pia huwezi jua vitu kwa undani tokana ni kichwa kimoja inabidi ufanye kazi nyingi per given time.

Nisiongee sana
Nahitaji mtu tuwe kama team, ili tusaidizane kufanya kazi za web and app dev.
kikubwa ni mtu awe na passion na asiyechoka kujifunza.

Source za material ninazo almost courses nyingi sana hasa udemy naweza zipata so nakutumia tu kwenye google drive pia vitabu vinapatikana.

Sio lazima awe na uelewa mkubwa wa back end dev, naamini kwenye kujifunza zaidi atakuwa vizuri ukizingatia anakuwa specialist wa back end.

Kama kuna mtu yupo tayari anicheki inbox, nataka tuanze from scratch kutengeneza portfolio na kutafuta kazi.

Tunaona kuna mambo mengi sasa kuna static site generatrs, kuna library za frnt end kama react, kuna mambo kama server side rendering kama nextjs, kuna css frameworks kama tailwind na bootstrap n.k

Kwenye back end pia kuna mambo mengi siwezi orodhesha yote.
kikubwa nahitaji kijana mwenzangu ambae ana passion na hiki kitu, uwezo mkubwa wa kujifunza kwa haraka na mwenye ubunifu, sijali kama hajawahi fanya project yeyote.

Mimi sio mwajiri bali natafuta mtu ili tujiajiri, atakayetuajiri ni wateja tutakaopata.

Baada ya makubaliano kutengeneza team, tutajadili mambo mengi kuweka vitu sawa, pia kama atahitaji naweza msubiri kwa muda walau mwezi ili ajiweke vizuri zaidi tayari kuingia kwenye hii field.

Tutajadili mambo mengi ya kufanya na kubadilishana mawazo mbali mbali.

Ni team so tutafanya kazi remotely kwa maana kuna tools nyingi mno kuwezesha hili, kikubwa mawasiliano.

Kutakuwa na ubunifu mkubwa na ubora wa kazi, pia kutumia muda mdogo hasa mkigawana majukumu, inakuwa ngumu kwa mtu mmoja.

Nachohitaji, mimi tayari nina knowledge ya front end na basics za backend, pia awe na knowledge deep kwenye back end na basics front end, hapo tutafanya vitu vizuri sana.

Langauge hasa php kwa maana bado ina soko japo kwa sababu umeamua kuwa back end dev itakuwa rahisi kusoma na nodejs kwa maana vitu vinarandana kuliko back end ku deal tena front end.

Hata wordpress sasa ina lipa vizuri hasa ukiwa deep, mfano plugin dev, na unaeza fanya maintenance n.k, wanao design wamekua wengi na hawapo deep.

Kwa mgawanyo huu ni dhahiri app na web apps itakuwa na urahisi kufanya, so tutatengeneza pesa nzuri tu tokana na research niliyofanya

Mimi huku nita deal na front end libraries, ui designing, web dev, app ui designing & dev n.k, so kila mmoja atakuwa muhimu kwenye field yake, wewe una deal na hosting, servers, mambo ya heroku na digital oceans, amazon servers, ku code backend n.k hayo ni juu yako kikubwa kazi ikamilike.

Kwa maswali zaidi njoo inbox, au kama upo interested pls usisite kuja inbox.

Mimi pia ni mtafutaji kama wewe, tutaanza hatua ya kwanza pamoja, japo nimefanya kazi chache nikalipwa ambazo ni local, siwezi sema ni expert.

Kama umevtiwa na hii idea pls usisite kunicheki pm.

ahsante.
 
Acc yako ipo private mzee mim nina interest ila still ni beginner najifunzea mwenyew naona itakua ngumu sana kuweza kuanza kufanya project kwa pamoja mda huu ila mbelen sawa mim pia natafuta developer ambao wana passion ntapata mda mwing nijifunze zaidi na kuweza kushare idea.
 
Tatizo la kuwa team ni kutoaminiana na kuibiana hakuna uaminifu hata kidogo kwenye haya mambo.

Ni vizuri kuajiri mtu then wewe ndio unakuwa na maamuzi.
si kweli mkuu, utapeli hata kwenye kuajiri mtu upo, kuna watu wengi tu wanafanya kazi kwa agency na kwa uaminifu mkubwa na kila kitu kinakuwa sawa, kwa nini umtapeli mtu kwenye kazi moja hali ya kuwa ni team na mnategemea kupata kazi nyingi.
 
Acc yako ipo private mzee mim nina interest ila still ni beginner najifunzea mwenyew naona itakua ngumu sana kuweza kuanza kufanya project kwa pamoja mda huu ila mbelen sawa mim pia natafuta developer ambao wana passion ntapata mda mwing nijifunze zaidi na kuweza kushare idea.
mkuu sipo private nicheki inbox tuwasilaine zaidi, thanks.
 
Uta risk Afya yako kwa kuwa Full Stack Developer?

Hutaki kutazama mda mrefu screen ya computer yako?

Programming ina vitu vingi vya kujifunza kila siku, kwa hio itakua vigumu kwako ku keep up na kila kitu so unahitaji Team mate?

Ningekua beginner ninayetafuta partner ningechukulia hizo points 3 kama Red Flags
 
Uta risk Afya yako kwa kuwa Full Stack Developer?

Hutaki kutazama mda mrefu screen ya computer yako?

Programming ina vitu vingi vya kujifunza kila siku, kwa hio itakua vigumu kwako ku keep up na kila kitu so unahitaji Team mate?

Ningekua beginner ninayetafuta partner ningechukulia hizo points 3 kama Red Flags
mkuu ipo hivi
programmer wa kisasa, sio sawa na programmer wa mwaka 2008, mambo yamebadilika mkuu.
mfano mimi hapa inapaswa nitengeneze front end za mobile apps na websites, ikitokea project ya kutengeneza app na ku code front na back ni lazima utumie muda mwingi.

Ukisimama sasa hivi kama dev wa 2022 na ukasema ni full stack naamini lazima uegemee upande mmoja zaidi.
mfano mimi kama front end dev napaswa kujua:
css styling
positioning
flexbox/css grid/float-alignment
transition and animations
media queries-responsive designs nakadhalika
sass

usome pia css frameworks mfano tailwind na bootstrap



Ufahamu pia kuhusu UI Design i mean ufahamu vitu kama

Adobe Xd/figma au software nzuri ya designing.

masuala ya color and contrast

typography

Visual Hierachy

nakadhalika



Usome javascript na uilewe vyema

DOM na styling

JSON

HTTPRequest



UJue pia version control kama Git na repo managers kama github n.k

ufahamu kuhusu masuala ya domain names, email hostingl, SSL Certificate



Angalau ufahamu pia hata front end framework moja
mfano react



Ufahamu masuala ya server side rendering mfano Next.js ni nzuri sana kwa SEO

Ufahamu static site generators mfano gatsby



Ufahamu Headless CMS mfano strapi au wordpress cause now wana REST API

ukifahamu pia kuhusu JamStack sio mbaya

uweze kuunga front end na third party API.

hayo ni baadhi tu kama front end dev wa kisasa, na soko lina ushindani mkubwa mkuu, sasa kama unafahamu html, css na javascript wewe ni foundational front dev tu.

nikija kwenye back end:
kwanza uwe na lugha unayoitumia na uwe na uelewa nao mzuri mfano ni nodejs au php, python n.k

server side frameworks mfano express., laravel n.k



Database mfano PostgresSQL, MySQL, MongoDB n.k

pia ufahamu kuhusu graphQL(si lazima)

Socket.io
Wordpress REST API

kufanya hosting mfano Heroku, Digital Ocean, amazon n.k

Kutumia severs mfano NGINIX na mambo mengine mengi siwezi orodhesha yote mkuu.


so mimi sio complicator, siwezi fanya kazi masaa 12 nimekaa kwenye kiti, nikimaliza nipumzike dk 20 niendelee na kazi hio sio healthy in long run.

ninaposema kufahamu ni kufahamu vitu kwa undani, so kama unataka ufahamu vitu kwa undani vyote inabidi utenge muda mwingi kujifunza na kufanya kazi.

hata kampuni kubwa huwezi ona wanaajiri mtu anaitwa full stack dev, wao wanalenga specialist kwenye field moja, ubunifu unakuwa mkubwa na watu wanapata muda wa kupumzika na kufanya majukumu mengine kama kukaa na familia n.k.

mafanikio huja kwa kupenda unachofanya.
tazama hata UI/UX designing za miaka hii, zipo advanced mno, mpaka unajiuliza designer wa hiki kitu ametumia tech gani?

sema mkuu tunatofautiana yawezekana mmoja akawa na uwezo mkubwa zaidi kuliko mwingine, so kama unaona unaweza kuwa full stack dev siwezi kukupinga mkuu wangu, mi mwenyewe naweza vizuri kutengeneza web kuanzia front end mpaka back end lakini kwa soko la hivi sasa nimeona nipo nyuma mkuu. Na sijihesabu mimi ni full stack dev.

Thanks
 
mkuu ipo hivi
programmer wa kisasa, sio sawa na programmer wa mwaka 2008, mambo yamebadilika mkuu.
mfano mimi hapa inapaswa nitengeneze front end za mobile apps na websites, ikitokea project ya kutengeneza app na ku code front na back ni lazima utumie muda mwingi.

Ukisimama sasa hivi kama dev wa 2022 na ukasema ni full stack naamini lazima uegemee upande mmoja zaidi.
mfano mimi kama front end dev napaswa kujua:
css styling
positioning
flexbox/css grid/float-alignment
transition and animations
media queries-responsive designs nakadhalika
sass

usome pia css frameworks mfano tailwind na bootstrap



Ufahamu pia kuhusu UI Design i mean ufahamu vitu kama

Adobe Xd/figma au software nzuri ya designing.

masuala ya color and contrast

typography

Visual Hierachy

nakadhalika



Usome javascript na uilewe vyema

DOM na styling

JSON

HTTPRequest



UJue pia version control kama Git na repo managers kama github n.k

ufahamu kuhusu masuala ya domain names, email hostingl, SSL Certificate



Angalau ufahamu pia hata front end framework moja
mfano react



Ufahamu masuala ya server side rendering mfano Next.js ni nzuri sana kwa SEO

Ufahamu static site generators mfano gatsby



Ufahamu Headless CMS mfano strapi au wordpress cause now wana REST API

ukifahamu pia kuhusu JamStack sio mbaya

uweze kuunga front end na third party API.

hayo ni baadhi tu kama front end dev wa kisasa, na soko lina ushindani mkubwa mkuu, sasa kama unafahamu html, css na javascript wewe ni foundational front dev tu.

nikija kwenye back end:
kwanza uwe na lugha unayoitumia na uwe na uelewa nao mzuri mfano ni nodejs au php, python n.k

server side frameworks mfano express., laravel n.k



Database mfano PostgresSQL, MySQL, MongoDB n.k

pia ufahamu kuhusu graphQL(si lazima)

Socket.io
Wordpress REST API

kufanya hosting mfano Heroku, Digital Ocean, amazon n.k

Kutumia severs mfano NGINIX na mambo mengine mengi siwezi orodhesha yote mkuu.


so mimi sio complicator, siwezi fanya kazi masaa 12 nimekaa kwenye kiti, nikimaliza nipumzike dk 20 niendelee na kazi hio sio healthy in long run.

ninaposema kufahamu ni kufahamu vitu kwa undani, so kama unataka ufahamu vitu kwa undani vyote inabidi utenge muda mwingi kujifunza na kufanya kazi.

hata kampuni kubwa huwezi ona wanaajiri mtu anaitwa full stack dev, wao wanalenga specialist kwenye field moja, ubunifu unakuwa mkubwa na watu wanapata muda wa kupumzika na kufanya majukumu mengine kama kukaa na familia n.k.

mafanikio huja kwa kupenda unachofanya.
tazama hata UI/UX designing za miaka hii, zipo advanced mno, mpaka unajiuliza designer wa hiki kitu ametumia tech gani?

sema mkuu tunatofautiana yawezekana mmoja akawa na uwezo mkubwa zaidi kuliko mwingine, so kama unaona unaweza kuwa full stack dev siwezi kukupinga mkuu wangu, mi mwenyewe naweza vizuri kutengeneza web kuanzia front end mpaka back end lakini kwa soko la hivi sasa nimeona nipo nyuma mkuu. Na sijihesabu mimi ni full stack dev.

Thanks
Mkuu upo sawa.
Binafsi ni msomaji wa 'how the industry operate' .
Katika kusoma vyanzo mbali mbali nimejifunza kuwa IT industry ni team work industry na hata big company zote zilianza kama team kuanzia watu 2 na kuendelea. Mfano ukisoma jinsi GAME company zinavyoendeshwa aisee huwezi anzisha hio kitu bongo ni very complex na multimilion company.

Kwa jinsi nilivyojifunza na kufuatilia wataalamu game company inahitaji team kubwa sana haina tofauti na movie industry, nashangaa watu kupinga team ya a watu 2!!

Watanzania wengi sana tumejikita zaidi katika what the industry want but not how the industry work.
Mtoa mada pamoja na maelezo yako bado kuna gapes nimeziona ambazo ndio wa tz wengi tunazo.
Mfano markert expert hujamko consider kitu ambacho ni namba moja katika industry,
IT markerting expert ni muhimu na ni ujuzi(package) unaohitajika katika IT industry(how the industry work)
Toa nafasi kwa huyo mtu ingawa unaweza usimpate huyo mtu ila unaweza mpata hata nje.
Kuna mengine niyaweke akiba ila
Nakuunga mkono kuwa industry kufanya kazi peke yako ni mawazo ya IT wa mwaka 60,70 na 80.
Miaka 90 na 20+ kila kitu kimebadirika.
Team work skill is very important and a demand skill ndio maana course zote za sayansi wana emphasize kufanya project kama team work ili mkiingia kazini mjue kuwa the world is created by team.

Mi nikushauri uende kusajili kabisa kampuni usifanye kazi locally.
Nitakuongezea vitu inbox japo ni learner of how the industry work and litle bit what the industy need.

I don't qualify in this 21st century industry in which blaack man is struggling to master it!
We as black people we have to learn how to master this industry for sure!
 
mkuu ipo hivi
programmer wa kisasa, sio sawa na programmer wa mwaka 2008, mambo yamebadilika mkuu.
mfano mimi hapa inapaswa nitengeneze front end za mobile apps na websites, ikitokea project ya kutengeneza app na ku code front na back ni lazima utumie muda mwingi.

Ukisimama sasa hivi kama dev wa 2022 na ukasema ni full stack naamini lazima uegemee upande mmoja zaidi.
mfano mimi kama front end dev napaswa kujua:
css styling
positioning
flexbox/css grid/float-alignment
transition and animations
media queries-responsive designs nakadhalika
sass

usome pia css frameworks mfano tailwind na bootstrap



Ufahamu pia kuhusu UI Design i mean ufahamu vitu kama

Adobe Xd/figma au software nzuri ya designing.

masuala ya color and contrast

typography

Visual Hierachy

nakadhalika



Usome javascript na uilewe vyema

DOM na styling

JSON

HTTPRequest



UJue pia version control kama Git na repo managers kama github n.k

ufahamu kuhusu masuala ya domain names, email hostingl, SSL Certificate



Angalau ufahamu pia hata front end framework moja
mfano react



Ufahamu masuala ya server side rendering mfano Next.js ni nzuri sana kwa SEO

Ufahamu static site generators mfano gatsby



Ufahamu Headless CMS mfano strapi au wordpress cause now wana REST API

ukifahamu pia kuhusu JamStack sio mbaya

uweze kuunga front end na third party API.

hayo ni baadhi tu kama front end dev wa kisasa, na soko lina ushindani mkubwa mkuu, sasa kama unafahamu html, css na javascript wewe ni foundational front dev tu.

nikija kwenye back end:
kwanza uwe na lugha unayoitumia na uwe na uelewa nao mzuri mfano ni nodejs au php, python n.k

server side frameworks mfano express., laravel n.k



Database mfano PostgresSQL, MySQL, MongoDB n.k

pia ufahamu kuhusu graphQL(si lazima)

Socket.io
Wordpress REST API

kufanya hosting mfano Heroku, Digital Ocean, amazon n.k

Kutumia severs mfano NGINIX na mambo mengine mengi siwezi orodhesha yote mkuu.


so mimi sio complicator, siwezi fanya kazi masaa 12 nimekaa kwenye kiti, nikimaliza nipumzike dk 20 niendelee na kazi hio sio healthy in long run.

ninaposema kufahamu ni kufahamu vitu kwa undani, so kama unataka ufahamu vitu kwa undani vyote inabidi utenge muda mwingi kujifunza na kufanya kazi.

hata kampuni kubwa huwezi ona wanaajiri mtu anaitwa full stack dev, wao wanalenga specialist kwenye field moja, ubunifu unakuwa mkubwa na watu wanapata muda wa kupumzika na kufanya majukumu mengine kama kukaa na familia n.k.

mafanikio huja kwa kupenda unachofanya.
tazama hata UI/UX designing za miaka hii, zipo advanced mno, mpaka unajiuliza designer wa hiki kitu ametumia tech gani?

sema mkuu tunatofautiana yawezekana mmoja akawa na uwezo mkubwa zaidi kuliko mwingine, so kama unaona unaweza kuwa full stack dev siwezi kukupinga mkuu wangu, mi mwenyewe naweza vizuri kutengeneza web kuanzia front end mpaka back end lakini kwa soko la hivi sasa nimeona nipo nyuma mkuu. Na sijihesabu mimi ni full stack dev.

Thanks
U said well chief and I agree with you👏👂👂
 
Hili si tangazo la kazi bali natafuta kijana mwenzangu ambae ni programer na yupo kwenye app & web dev.

Nimegraduate last year, computer science, hata kama huna degree ya computer science na wewe ni self taught hii inakuhusu

Lengo ni kujiajiri, itakuwa vyema zaidi aki cover backend, Software development became such a big field that there is no/less possibility for someone to be such thing as full stack developer, There are just too many things going on in all of those fields to keep up with all of them.

So nimeona siwezi kuwa full stack dev, inawezekana lakini ni kazi ngumu, binafsi kufahamu php,html,css, na javascript sichukulii kama ni full stack ambapo inabidi uwe specilist wa front end na back end.

Nimeona ni ta risk afya hasa kutumia muda mwingi kwenye screen kusoma na kufanya kazi endapo nikiwa full stack dev, kwa maana kusoma kwenye programming hakuishi, kila siku kuna kuja teknolojia mpya.
pia nimeona ubunifu na ufanisi wa kazi utakuwa mdogo kwa sababu ya kufanya kazi kwa masaa mengi, pia huwezi jua vitu kwa undani tokana ni kichwa kimoja inabidi ufanye kazi nyingi per given time.

Nisiongee sana
Nahitaji mtu tuwe kama team, ili tusaidizane kufanya kazi za web and app dev.
kikubwa ni mtu awe na passion na asiyechoka kujifunza.

Source za material ninazo almost courses nyingi sana hasa udemy naweza zipata so nakutumia tu kwenye google drive pia vitabu vinapatikana.

Sio lazima awe na uelewa mkubwa wa back end dev, naamini kwenye kujifunza zaidi atakuwa vizuri ukizingatia anakuwa specialist wa back end.

Kama kuna mtu yupo tayari anicheki inbox, nataka tuanze from scratch kutengeneza portfolio na kutafuta kazi.

Tunaona kuna mambo mengi sasa kuna static site generatrs, kuna library za frnt end kama react, kuna mambo kama server side rendering kama nextjs, kuna css frameworks kama tailwind na bootstrap n.k

Kwenye back end pia kuna mambo mengi siwezi orodhesha yote.
kikubwa nahitaji kijana mwenzangu ambae ana passion na hiki kitu, uwezo mkubwa wa kujifunza kwa haraka na mwenye ubunifu, sijali kama hajawahi fanya project yeyote.

Mimi sio mwajiri bali natafuta mtu ili tujiajiri, atakayetuajiri ni wateja tutakaopata.

Baada ya makubaliano kutengeneza team, tutajadili mambo mengi kuweka vitu sawa, pia kama atahitaji naweza msubiri kwa muda walau mwezi ili ajiweke vizuri zaidi tayari kuingia kwenye hii field.

Tutajadili mambo mengi ya kufanya na kubadilishana mawazo mbali mbali.

Ni team so tutafanya kazi remotely kwa maana kuna tools nyingi mno kuwezesha hili, kikubwa mawasiliano.

Kutakuwa na ubunifu mkubwa na ubora wa kazi, pia kutumia muda mdogo hasa mkigawana majukumu, inakuwa ngumu kwa mtu mmoja.

Nachohitaji, mimi tayari nina knowledge ya front end na basics za backend, pia awe na knowledge deep kwenye back end na basics front end, hapo tutafanya vitu vizuri sana.

Langauge hasa php kwa maana bado ina soko japo kwa sababu umeamua kuwa back end dev itakuwa rahisi kusoma na nodejs kwa maana vitu vinarandana kuliko back end ku deal tena front end.

Hata wordpress sasa ina lipa vizuri hasa ukiwa deep, mfano plugin dev, na unaeza fanya maintenance n.k, wanao design wamekua wengi na hawapo deep.

Kwa mgawanyo huu ni dhahiri app na web apps itakuwa na urahisi kufanya, so tutatengeneza pesa nzuri tu tokana na research niliyofanya

Mimi huku nita deal na front end libraries, ui designing, web dev, app ui designing & dev n.k, so kila mmoja atakuwa muhimu kwenye field yake, wewe una deal na hosting, servers, mambo ya heroku na digital oceans, amazon servers, ku code backend n.k hayo ni juu yako kikubwa kazi ikamilike.

Kwa maswali zaidi njoo inbox, au kama upo interested pls usisite kuja inbox.

Mimi pia ni mtafutaji kama wewe, tutaanza hatua ya kwanza pamoja, japo nimefanya kazi chache nikalipwa ambazo ni local, siwezi sema ni expert.

Kama umevtiwa na hii idea pls usisite kunicheki pm.

ahsante.
NAmBA Hii #43 DEVOps
 
IMG_0937.png


Nicheck True Service Mobile Devices Repair & Accessories
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom