Aisee Kiingg inakuwaje? Huko minjingu kweli misitu imesalia? unachoma bado mkaa?
Hataree sana jombaa. Ila pia minjingu kuna watoto wakalii Sana wakimang'ati. Dah mademu wa kiafrika ndo mademu wazur dunianiHahahaa Minjingu mwendo mpera mpera mchibuyu!! kwasasa nipo mbioni kutengeneza mkaa wa kisasa,najifunza funza kwa wadau!
Hataree sana jombaa. Ila pia minjingu kuna watoto wakati Sana wakimang'ati. Dah mademu wa kiafrika ndo mademu wazur duniani
Kiinggg Nimechoka na haya mazungu hapa. Narudi Homu kusaka demu wa kuoa aisee tena kutoka kijijini ila tatizo ukiwaleta hulu wanabadilikaga SanaThe best women all reside in Africa, and that's real - Hata Ludacris Mnyamwezi Alikiri kwenye Pimpin Around The WOrld.
Kiinggg Nimechoka na haya mazungu hapa. Narudi Homu kusaka demu wa kuoa aisee tena kutoka kijijini ila tatizo ukiwaleta hulu wanabadilikaga Sana
Unamleta halafu uwe mkali usimruhusu mazoea na wanawake wa huko yaani wewe mkeep busy na majukumu ya familia tu. Asifanye kazi maana huko ndio wanaharibikia. Na wenzake wakiona anaishi kimaadili watamtia sumu balaa ili akubadilikie watamtafutia hata mwanaume.Kiinggg Nimechoka na haya mazungu hapa. Narudi Homu kusaka demu wa kuoa aisee tena kutoka kijijini ila tatizo ukiwaleta hulu wanabadilikaga Sana
Mzuka wanajamvi!
Wimbo unaitwa Linny Hoo, umeimbwa na Giddes Chalamanda akimshirikisha kijana Namandingo Bonge la songi linavuta Hisia Sana.
Love Malawi!
Unamleta halafu uwe mkali usimruhusu mazoea na wanawake wa huko yaani wewe mkeep busy na majukumu ya familia tu. Asifanye kazi maana huko ndio wanaharibikia. Na wenzake wakiona anaishi kimaadili watamtia sumu balaa ili akubadilikie watamtafutia hata mwanaume.
Ukitaka awe salama awe na urafiki na wale wanawake wa kilatino, wakihindi au wakiarabu wale waislam washika dini. Ila wazungu na black Americans sio wanawake wa kuwazoea....
Wana akili mbovu sana za kujifanya wao maisha yao wanaamua wanachotaka.
Ndo maana mengi yao yanafika miaka 50+ hayana mtu unasikia umri huo ndo anaanza kudate.
Interesting, funguka zaid mkuu. Ngoja ni Google.Huyo mzee si ndio alikuwa analalamika kwamba Bob Marley na kundi lake la The Wailes wamemuibia wimbo wa "Buffalo Soldier"
Mkuu nimeisoma aisee hata tune ni ileile. Lumber Bobu alikuwa na janjajanja nyingi na kutuingiza wengi chaka?Huyo mzee si ndio alikuwa analalamika kwamba Bob Marley na kundi lake la The Wailes wamemuibia wimbo wa "Buffalo Soldier"
Mzuka wanajamvi!
Wimbo unaitwa Linny Hoo, umeimbwa na Giddes Chalamanda akimshirikisha kijana Namandingo Bonge la songi linavuta Hisia Sana.
Love Malawi!
Hivi wewe jamaa baada ya kulamba uteuzi umeisusia jamiiforumsAisee Kiingg inakuwaje? Huko minjingu kweli misitu imesalia? unachoma bado mkaa?