Wilhelm Johnny
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,350
- 1,281
Wanajamvi napenda kuwasalimu kwa jina la jamuhuri, na niwatakieni mapumziko mema.
Wakuu kuna dogo kaja Dodoma hapa yuko UDOM hapo anasoma tumempa hifadhi ghetto hapa. Ila vitabia vyake vinaenda kutushinda na tumefikiria kumtimua baada ya kumuonya sana ni hivi tuna kaofisi hapa ambako kanatusaidia kusogeza siku sasa dogo akitoka chuo anakuja tunashinda nae hapa sasa dogo anakatabia ka kumzunguka mtu unaongea na mteja badae na yeye anaenda ongea nae unashangaa dogo ndio anachukua kazi nikitoka kidogo ukirudi unakuta kapatania kazi yako pesa kachukua sasa tumemuonya mara kibao hasikii anafanya kama makusudi.
Huyu mwenzangu alitaka mtimua kitambo nikawa namwambia amwache tuone kama atajirekebisha lakini naona kijana ndio kwanza anakuja kwa kasi ya 5g sasa uvumilivu umetushindwa kweli dogo namuonea imani ila ni kichwa ngumu. Maana mimi binafsi nishapitia msoto Tanga huko nikapewa hifadhi na mshikaji so naelewa venye wanaume tunatakiwa tuishi ila huyu dogo ataturudisha kwenye dhiki.
Anamambo mengi ya ovyo kama kuchukua mademu wa washikaji n.k ila hayo yanavumilika maana unaona kabisa ni balehe inamsumbua ila hadi huku kwenye pesa waungwana.
Kwani tukimwambia aondoke tutakua tumekosea wakuu?
Wakuu kuna dogo kaja Dodoma hapa yuko UDOM hapo anasoma tumempa hifadhi ghetto hapa. Ila vitabia vyake vinaenda kutushinda na tumefikiria kumtimua baada ya kumuonya sana ni hivi tuna kaofisi hapa ambako kanatusaidia kusogeza siku sasa dogo akitoka chuo anakuja tunashinda nae hapa sasa dogo anakatabia ka kumzunguka mtu unaongea na mteja badae na yeye anaenda ongea nae unashangaa dogo ndio anachukua kazi nikitoka kidogo ukirudi unakuta kapatania kazi yako pesa kachukua sasa tumemuonya mara kibao hasikii anafanya kama makusudi.
Huyu mwenzangu alitaka mtimua kitambo nikawa namwambia amwache tuone kama atajirekebisha lakini naona kijana ndio kwanza anakuja kwa kasi ya 5g sasa uvumilivu umetushindwa kweli dogo namuonea imani ila ni kichwa ngumu. Maana mimi binafsi nishapitia msoto Tanga huko nikapewa hifadhi na mshikaji so naelewa venye wanaume tunatakiwa tuishi ila huyu dogo ataturudisha kwenye dhiki.
Anamambo mengi ya ovyo kama kuchukua mademu wa washikaji n.k ila hayo yanavumilika maana unaona kabisa ni balehe inamsumbua ila hadi huku kwenye pesa waungwana.
Kwani tukimwambia aondoke tutakua tumekosea wakuu?