Narudia tena kusema ‘MFICHA MARADHI, KIFO HUMUUMBUA’
Habari za muda huu ndugu zangu, waungwana wenzangu. BIla shaka afya zenu ni njema na mnaendelea vema kabisa na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania.
HONGERENI SANA
Waswahili walisema “Mficha maradhi, mauti humuumbua”
Kauli hii ina...