Kifo kabla ya wakati /muda, hili jambo lina ukweli ama ni uzushi/uongo?

the kind

JF-Expert Member
Nov 6, 2019
775
573
Amani iwe nanyi


World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata

Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa kuishi kulingana na mahali husika basi kuna makosa ambayo yamefanyika hapo katikati ndio imepelekea/sababisha kifo kama vile uzembe/ajali,maradhi na sababu nyingine nyingi

Pia baadhi ya vitabu vitakatifu vinasema kua kila mwanadamu ana umri ambao amepangiwa kuishi hapa duniani na pindi umri huo ukifika basi haitopingua wala kuongezwa saa wala dakika

SWALI,JE NI kweli kifo kinaweza kua kabla ya wakati ama kila kifo kinatokea kwa wakati sahihi?
 
Mimi naamini wabongo wengi tunakufa kabla ya wakati wetu kwa sababu mbalimbali ,hebu tuangalie haya

AJALI
Uzembe wa madereva unasababisha vifo vingi vya ndugu zetu kabla muda wao.

MAGONJWA
Hapa kuna tabia ya wengi wetu kutopima afya zetu mara kwa mara hali inayopelekea kugundua maradhi yakiwa katka hatua mbaya zaidi,Pia baadhi ya wauguzi hawapambani kuokoa maisha zaidi ya kuendekeza rushwa ndipo upate huduma.

UMASKINI
Kushndwa kumudu gharama za matibabu,Ulaji mbovu

WIVU WA MAPENZI
Mke kumuua mume,Mume kumuua mke.

Hayo yote yanasababisha vifo kabla ya wakati,wale wazee sana wanaokufa usingizini ndio hufa kwa muda uliopangwa.
 
Amani iwe nanyi


World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata

Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa kuishi kulingana na mahali husika basi kuna makosa ambayo yamefanyika hapo katikati ndio imepelekea/sababisha kifo kama vile uzembe/ajali,maradhi na sababu nyingine nyingi

Pia baadhi ya vitabu vitakatifu vinasema kua kila mwanadamu ana umri ambao amepangiwa kuishi hapa duniani na pindi umri huo ukifika basi haitopingua wala kuongezwa saa wala dakika

SWALI,JE NI kweli kifo kinaweza kua kabla ya wakati ama kila kifo kinatokea kwa wakati sahihi?


Ndiyo kifo kinaweza kutokea kabla ya wakati.
 
Amani iwe nanyi


World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata

Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa kuishi kulingana na mahali husika basi kuna makosa ambayo yamefanyika hapo katikati ndio imepelekea/sababisha kifo kama vile uzembe/ajali,maradhi na sababu nyingine nyingi

Pia baadhi ya vitabu vitakatifu vinasema kua kila mwanadamu ana umri ambao amepangiwa kuishi hapa duniani na pindi umri huo ukifika basi haitopingua wala kuongezwa saa wala dakika

SWALI,JE NI kweli kifo kinaweza kua kabla ya wakati ama kila kifo kinatokea kwa wakati sahihi?
It's tragedy when a person die before his or her time.
 
Amani iwe nanyi


World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata

Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa kuishi kulingana na mahali husika basi kuna makosa ambayo yamefanyika hapo katikati ndio imepelekea/sababisha kifo kama vile uzembe/ajali,maradhi na sababu nyingine nyingi

Pia baadhi ya vitabu vitakatifu vinasema kua kila mwanadamu ana umri ambao amepangiwa kuishi hapa duniani na pindi umri huo ukifika basi haitopingua wala kuongezwa saa wala dakika

SWALI,JE NI kweli kifo kinaweza kua kabla ya wakati ama kila kifo kinatokea kwa wakati sahihi?

Na demu aliyebeba mimba akiwa shule na kujaribu kufanya abortion hatimaye umauti ukamfika, naye amepangiwa kuishi kwa umri huo?
 
Amani iwe nanyi


World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata

Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa kuishi kulingana na mahali husika basi kuna makosa ambayo yamefanyika hapo katikati ndio imepelekea/sababisha kifo kama vile uzembe/ajali,maradhi na sababu nyingine nyingi

Pia baadhi ya vitabu vitakatifu vinasema kua kila mwanadamu ana umri ambao amepangiwa kuishi hapa duniani na pindi umri huo ukifika basi haitopingua wala kuongezwa saa wala dakika

SWALI,JE NI kweli kifo kinaweza kua kabla ya wakati ama kila kifo kinatokea kwa wakati sahihi?

Na yule aliyeweka dumu la petrol ndani ya nyumba kisha usiku akawasha kiberiti ili avute sigara na hatimaye moto kuzuka na kusababisha kifo chake naye tutasema kifo chake kilitokea wakati sahihi?
 
Biblia inatuambia wapo watu wanaopunguza umri wa kuishi kwa wangine.
Zaman wazee wakifa walikuwa wanazikwa na watoto wao na wajukuu, Kuna Ibrahim, Yakobo nk walizikwa na watoto wao
Ila sasa mambo yamebadilika wazee wanazika watoto wao
 



Kuna vifo vya aina mbili, kifo cha kawaida ambacho kinahusisha uzee au ugonjwa na kifo kisicho cha kawaida ambacho kinahusisha vifo tofauti na hivyo vifo viwili (uzee na ugonjwa) mfano ajali, kuuawa, kujiua nk.

Mtu akifa kifo kisicho cha kawaida husemwa kafa nje ya muda wake.
 
Back
Top Bottom