kifo

Mwisho wa uhai, mwili kutokuwa na uhai.
  1. Sky Eclat

    Urais Afrika

  2. beth

    Sudani: Waziri Mkuu Abdalla Hamdok anusurika kifo

    Waziri Mkuu wa Sudan, Abdalla Hamdok amenusurika kifo kufuatia jaribio la mauaji lililotekelezwa mapema leo asubuhi katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum. Taarifa kutoka shirika la habari la Taifa hilo imeeleza kuwa Hamdok amepelekwa kwenye eneo salama baada ya mlipuko huo uliolenga msafara...
  3. Matanga

    Kifo cha Mtakatifu Perpetua na Felista

    Perpetua alizaliwa huko Tunis (Mji mkuu wa Tunisia) Afrika ya Kaskazini mwaka unaokadiriwa kuwa wa 182, alizaliwa katika familia ya kitajiri, yenye kuheshimika sana, baba yake alikuwa ni mpagani, lakini Perpetua aliupokea Ukristo na kuwa mfuata kamili wa Kristo, japo historia haionyeshi ni...
  4. Suley2019

    Polisi wanamsaka binti wa miaka 13 kufuatia kifo cha mtoto wa miaka 5

    Wapelelezi wa kaunti ya Kitui wanamtafuta binti wa miaka 13 wakimhusisha na mauaji ya kijana wa miaka 5 ambaye mwili wake ulikutwa ukiwa umetupwa kwenye kichaka kilicho karibu na mto Mutendea. Taarifa zinaeleza kuwa siku ya ijumaa wawili hao walikwenda kuchota maji katika mto uliopo karibu na...
  5. beth

    Rwanda: Human Rights Watch yataka kifo cha Kizito Mihigo kuchunguzwa

    Shirika la kutetea Haki za Binadamu, Human Rights Watch linataka uchunguzi ufanywe kubaini chanzo cha kifo cha mwanamuziki maarufu wa nyimbo za injili nchini Rwanda, Kizito Mihigo. Mkurugenzi wa shirika hilo katika kanda ya Afrika ya kati Lewis Mudge, ameiambia BBC kuwa shirika hilo linatilia...
  6. Victor Mlaki

    Mambo 7 yanayopelekea kufa taratibu kabla ya kifo halisi

    Binadamu ameumbwa katika hali ya kuwajibika kipekee sana kwa ajili ya maisha yake kuliko viumbe wengine wengi tunaowaona katika uso wa Dunia. Kuna mambo mengi mno ambayo binadamu akiyafanya yanamuua taratibutaratibu na mara nyingi zaidi kabla ya kifo halisi. Siyo jambo la kushangaza kukutana...
  7. Victor Mlaki

    Jinsi mtu aliyekata roho anavyoweza kurudi kwenye mwili wake

    Jamii zetu za Kiafrika na Tanzania kwa upekee wamekuwa wakifanya sayansi hii ingawa miaka ya karibuni umeonekana kumezwa na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Ipo hivi.." Mtu anapokata roho hufa taratibu na kwa hatua na kwa yeyote aliyewahi kuona wakati mtu anakata roho anaweza kubaini hatua...
  8. Y

    Bodaboda uliyekwapua simu yangu maeneo ya Urafiki ukatubu la sivyo kifo chako hakiko mbali

    Wasalaam wana JF. Leo nimekwapuliwa simu na bodaboda maeneo ya urafiki karibu na stendi ya Kilimanjaro Express. Issue ilikuwa hivi. Nilikwenda kupokea mgeni wangu hapo stendi mida ya saa 3 usiku huu. Katika kuwasiliana na mgeni wangu kumbe bodaboda kanilia mingo. Nimeshtukia simu imekwapuliwa...
  9. L

    Data centre: Kifo ninachoenda kuua benki za kigeni nchini

    Habari za muda, Naomba nichukue fursa hii niyaseme machache sana ambayo naona kama hayataangaliwa kwa kina kirefu kuna hatari sana ya Banks nyingi sana kufunga biashara zake hapa nchini. Nadhani kwa wale wanaofatilia, siku za nyuma Benki Kuu ilitoa maelekezo kwa Commercial Banks zote nchini...
  10. technically

    Kifo cha Man U

    Manu inatia huruma haina tena mvuto mashabiki wake wengine wamejificha kwenye timu zingine. timu yenye thamani kuliko timu zote duniani, timu yenye mashabiki kuliko timu zote duniani inakufa nini kifanyike kuinusuru? Binafsi mimi ni shabiki wa manchester ila ukweli hii timu imeoza imeoza...
  11. Bonde la Baraka

    UKIMWI umemfyekelea mbali dogo msherati wa kutupwa wa miaka 22, sasa hana tumaini tena anasubiri kifo tu

    Huyu mtoto nimemfahamu mwaka jana alipokuja Dar kwa mjomba wake. Anaishi Dodoma, hana pesa wala uhandsome ila ni hatari. Wiki mbili tu alizoishi hapa Dar kwa mjomba wake kawatafuna sana mabinti. Kwa umri wake wa miaka 22 ana watoto 2 na mabinti 2 wanatazamia kujifungua watoto wake. Miezi...
  12. Miss Zomboko

    Wiki 1 ya kifo cha Kamanda Soleiman: Kiongozi wa Hezbollah aapa kuwarudisha wanajeshi wa Marekani nchini kwao wakiwa kwenye majeneza

    Kiongozi wa Hezbollah Hassan Nasrallah amesema kutakuwa na operesheni mbalimbali dhidi ya vikosi vya Marekani katika kanda ya mashariki ya kati, ili kulipiza kisasi Marekani kuwaua makamanda wa Iran na Iraq mapema mwezi huu. Bw. Nasrallah ameyasema hayo katika hotuba ya televisheni kwa ajili ya...
  13. Influenza

    Mahakama nchini Sudan imewahukumu Maafisa Usalama kifo kwa kumtesa na kumuua mwalimu

    Ahmad al-Khair, 36, alikufa wakati ameshikiliwa na maafisa hao baada ya kukamatwa wakati wa maandamano ya kumtoa Rais Omar al-Bashir madarakani. hii ni moja ya kuhumu za mwanzo kabisa kutolewa mara baada ya machafuko ya kuleta utawala wa demokrasia nchini Sudan. Hakimu anasema kuwa hukumu hizo...
  14. Bushmamy

    Kifo cha mwanamama (Marie Fredriksson) wa Roxette

    Jana nimejiskia vibaya mbaya kabisa huyu mama kaenda jamani 😴😴 Songi lake la "It must have been in love, nikimkumbuka roho Yauma eti RIP mamilooo
  15. Nyenyere

    Aibu kuu kwa nchi yangu Tanzania huko Saudi Arabia: Bondia apigwa kipigo cha mbwa koko

    Wakuu, nasikitika sana kuona jinsi hao mabondia Wabongo (kweli mimi nawaita panya road) wanavyogongwa knock out nyepesi tu. Hivi wametoka wapi hawa? Huyo wa pili karibu afe ulingoni round ya kwanza tu. Kweli kwenye mapambano muhimu kama haya yanayotazamwa duniani kote tunapeleka mabondia wa...
  16. GENTAMYCINE

    Kwa tabia hizi za ‘mfiwa‘ akiwa msibani nyumbani kwake ‘tukihisi' labda amehusika na ‘kifo‘ cha marehemu tutakosea?

    Ni Mama Mzazi ambaye 'amefiwa' na Mwanae (Bintinye) ndiyo ameonyesha hizi tabia Kuu Saba (7) tajwa hapa chini. 1. Muda mwingi anaagiza apigwe picha 2. Muda mwingi anachati na simu yake 3. Muda mwingi sura ya huzuni inaadimika nyagoni/usoni mwake 4. Muda mwingi machozi unayatafuta kwa tochi...
  17. FRANC THE GREAT

    EURO 2020: Kundi la kifo, Kundi F kuzikutanisha Ufaransa, Ujerumani na Ureno

    Habari! Tayari baadhi ya timu zimekwisha kupangwa katika makundi kwa ajili ya mashindano ya 'UEFA EURO 2020', droo iliyofanyika mjini Bucharest nchini Romania ingawa bado haijakamilika huku Kundi 'F' likitajwa kama "Kundi la Kifo" litakaloyakutanisha mataifa matatu 'vigogo' wa soka barani Ulaya...
  18. N

    Al Bashir akabiliwa na hukumu ya kifo kwa kupindisha taratibu za kidemokrasia

    Kufuatia mapinduzi ya mwaka 1989 yaliyomweka madarakani rais wa Sudan aliyeondolewa madarakani Al Bashir, sasa atashtakiwa kwa makosa ya kuhujumu mfumo wa kidemokrasia. Endapo atatiwa hatiani, basi hukumu yake ni kifo au kifungo cha maisha jela. Hii ni taa nyekundu kwa CCM wanaovuruga mfumo wa...
  19. Miss Zomboko

    Abiria wanusurika kifo baada ya kulishwa biskuti zenye dawa za kulevya

    Lindi. Abiria wawili waliokuwa wakisafiri na basi la Buti la Zungu kutoka Dar es Salaam kwenda Mtwara nchini Tanzania wamenusurika kifo baada kula biskuti zinazodaiwa kuwa na dawa za kulevya wakiwa ndani ya basi hilo. Abiria hao ni Dadi Rashid (49) ambaye ni ofisa elimu taaluma Utete wilaya ya...
  20. Mlenge

    Huzuni ya Kufiwa Huja Kama Mawimbi

    Kifo hakizoeleki. Kila mmoja anayo namna yake ya kuonyesha huzuni yake baada ya kufiwa; kwa mfano, wengine hulia kwa kupiga kelele, japo wengine hukaa kimya. Huzuni ni kitu kisichoonekana kwa macho, na mara nyingi huwaweka wahuzunikao kwenye hatari ya kupata sononi na madhara mengine ya...
Back
Top Bottom