kifo

Mwisho wa uhai, mwili kutokuwa na uhai.
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Pemba: Anusurika kifo baada ya kupigwa mapanga mwili mzima na ndugu yake

    Waswahili husema kikulacho ki nguoni mwako, mkulima mmoja kutoka Kisiwani Pemba, alinusurika kifo baada ya kupigwa na mapanga mwili mzima na ndugu yake ambaye alimkuta akimuibia ndizi shambani kwake. Bwana Issa ni mkulima mdogo kisiwani Pemba wakati wa tukio hilo, aliigiza kama amekufa ili...
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Iran imemhukumu kifo mtu aliyetuhumiwa kupeleka taarifa za kiusalama kwa wamarekani

    Mahmoud Mousavi Majd amehukumiwa kufa kwa tuhuma za kupeleka taarifa za kiusalama za Iran kwa wamarekani na kufanikisha mpango wa kumuua Qassem Soleimani. Majd ameuawa Julai 20, kwa amri ya mahakama. Mahakama ilisema kuwa Majd alikuwa na uhusiano na Shirika la kijasusi la kimarekani, CIA, na la...
  3. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania JaJi Bongole Afariki Dunia akiwa Kazini: Umejifunza nini kwenye kifo chake?

    Jaji Mkuu wa Tanzania aliyewekwa kwenye uangalizi kabla ya kuwa confirmed baada ya mwaka mzima, yaani kwa mara ya kwanza duniani kusikia kitu kinaitwa "kaimu jaji mkuu" Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma anasikitika kutangaza kifo cha Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Tabora Mhe...
  4. Behind the camera

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuwa Usalama wa Taifa?

    Narudia tena kusema ‘MFICHA MARADHI, KIFO HUMUUMBUA’ Habari za muda huu ndugu zangu, waungwana wenzangu. BIla shaka afya zenu ni njema na mnaendelea vema kabisa na majukumu ya kulijenga taifa letu la Tanzania. HONGERENI SANA Waswahili walisema “Mficha maradhi, mauti humuumbua” Kauli hii ina...
  5. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania MAREKANI: Kifo Cha Malcom X na Kufukuzwa kwenye Chama Cha Umoja Wa Waislam (NOI)

    NA AnonymousAfrica #Twitreporter Nimeandika hii, kwaajili ya kuwapatia watu picha kamili kwa lengo la kukujuza / kuelimisha / Kwa wengine ni burudani pia. Sina lengo la kuchonganisha, wala kubagua Kuuliwa kwa Malcolm X Mnamo Februari 21, 1965, Malcolm X aliuawa wakati akitoa hotuba katika...
  6. the kind

    JamiiForums Tanzania Kifo kabla ya wakati /muda, hili jambo lina ukweli ama ni uzushi/uongo?

    Amani iwe nanyi World average life span,katika kila nchi duniani kunakua na umri wa ukomo wa kuishi mfano kwa hapa kwetu Tanzania ni kuanzia miaka 60 means kwamba ukifika miaka 60 basi kwamba kifo ndio hatua inayofuata Lakini pia wazungu wanaamini kua ikitokea mtu amekufa chini ya muda wa...
  7. mgt software

    JamiiForums Tanzania Dkt. Sebi kielelezo cha Waafrika kukataliwa Tiba zao. Alikufa kifo chenye utata baada ya ugunduzi wa Dawa ya UKIMWI

    WanaJF, Mfahamu Dr. Sebi: Mwafrika Aliyetibu Ukimwi Wazungu Wakamla Kichwa! Alfredo Bowman maarufu kama Dr. Sebi, hakutibu ukimwi tu, alitibu hadi kansa na kisukari biashara za watu, wakamfugulia jumla ya kesi 2,781 akashinda zote, akaja kubambikiziwa zengwe la utakatishaji fedha, akatupwa...
  8. anonymousafrica

    JamiiForums Tanzania Mk-ultra: Mkakati wa uchunguzi wa CIA na kifo cha John Lenon (Mwanamuziki kikundi cha The Beatles)

    KIFO CHA JOHN LENON 8 December 1980 Watu waliotumika kufanya mauwaji ya watu wakubwa , wengi wao ukiwafuatilia wanakua walipata mafunzo ya kijeshi. Au mafunzo na kufanyiwa unyama huu wa Mk-ultra. Kama umetazama movie za James Bond au Jason Bourne USIDHANI yameisha kwenye movie tu, haya mambo...
  9. F

    JamiiForums Tanzania Alinusurika kifo kwa kudra ya Mwenyezi Mungu

    Hili ni tukio la kweli kabisa lililotekea mwaka 1988, kuna Jamaa mmoja alitokea Tanzania kwenda Msumbiji kwa kupitia border mmoja inaitwa Congress au mkenda.kipindi hicho haikuwa njia rasmi sababu kulikuwa hakuna ofisi za uhamiaji kwa pande zote mbili yaani TZ na MOZ. Jamaa alikuwa anaenda...
  10. Requal

    JamiiForums Tanzania TPDC kuanzisha vituo vyake vya mafuta kwa kasi kila wilaya, Je tutarajie anguko na kifo cha GPSA katika kumiliki vituo vya mafuta?

    Habari zenu wanabodi. Siku chache zilizopita TPDC ilifungua rasmi kituo cha mafuta cha kisasa kabisa Musoma mjini, na jana wamefungua tena huko Segera mkoani Tanga na katika mahojiano na vyombo vya habari Mkurugenzi mkuu wa TPDC ndugu James Mataragio, Alinukuliwa akisema kwamba lengo lao ni...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Floyd na unafiki wa Waafrika

    Mmarekani mweusi amekandamizwa shingoni kwa dakika nane na kupoteza maisha.Maandamano na ghasia vikaibuka Marekani na nchi zingine.Africa hatukubaki nyuma kulikemea jambo hili.Huu ni unafiki mkubwa kwani kwenye nchi zetu hayo yamefanyika sana na kwa uwazi lakini hatukemei. Kwanza,kitendo hiki...
  12. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Burundi leader Nkurunziza died of Covid-19 — diplomats

    Habari zimethibitishwa kuwa Pierre Nkurunzinza wa Burundi alikuwa muathirika wa gonjwa hatari la COVID19. Tuchukue tahadhari wandugu, gonjwa bado linatesa. --- Burundi’s outgoing President Pierre Nkurunziza died of Covid-19, diplomatic sources in Bujumbura and Nairobi confirmed on Wednesday...
  13. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli atangaza maombolezo ya siku 3, bendera kupepea nusu Mlingoti kufuatia kifo cha Rais wa Burundi, Marehemu Pierre Nkurunziza

  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Bendera yapepea nusu mlingoti kuomboleza kifo cha Pierre Nkurunziza

    Rais Uhuru Kenyatta ameagiza bendera ya Kenya na ya Jumuia ya Afrika kupeperushwa nusu mlingoti kwa heshima ya marehemu Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuanzia kesho Juni 13 hadi siku ya mazishi Rais Pierre Nkurunziza alifariki Juni 9 katika hospitali ya Karusi Fiftieth Anniversary baada ya...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Marekani: Chanjo ya COVID-19 kujaribiwa mara ya tatu na ya mwisho

    Chanjo ya #CoronaVirus iliyogunduliwa na kampuni ya teknolojia ya kibailojia ya nchini Marekani, Mederna, itafanyiwa majaribio ya tatu na ya mwisho mwezi Julai Majaribio hayo yanatarajiwa kuwa na washiriki 30,000. Kampuni hiyo itakuwa na uwezo wa kuzaliwa dosi milioni 500 kwa mwaka Watu wenye...
  16. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Rais Nkurunziza kimepunguza kujiamini kwangu

    Kama nilikuwa nikiamini kuwa CORONA hainiwezi maana ninaye Mungu baba, sasa nimeanza kufikiria tofauti. Kumbe lolote linaweza kutokea kwa yeyote. Rais Nkurunziza sijui kafa kwa ugonjwa gani hasa ila naamini Corona haiwezi kupuuzwa kwenye hili. Tuwe makini bado
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Burundi: Spika ataiongoza nchi baada ya kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

    Burundi yatangaza siku saba za kuomboleza kifo cha Rais Nkurunziza Serikali ya Burundi imetangaza maombolezo ya kitaifa ya siku 7 kufuatia kifo cha rais wake Pierre Nkurunziza, aliyeaga dunia Jumatatu akiwa na umri wa miaka 55 kutokana na mshituko wa moyo. Tangazo la serikali kwenye Redio na...
  18. Nazgur

    JamiiForums Tanzania Ukimya wa Tundu Lisu juu ya kifo cha George Floyd

    Ikiwa zimepita siku kadhaa baada ya kifo cha mmarekani mweusi George Floyd kwa kukandamizwa shingoni na police hadi kupelekea kifo chake huko Marekani, pamoja na maandamano yaliyofanyika katika nchi nyingi na watu kutoa matamko ya usawa lakini mwamba huyu amabaye nae hupenda kulituhumu jeshi la...
  19. JoJiPoJi

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Burundi yatangaza kifo cha Rais Pierre Nkurunziza

    Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aaga dunia. === Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza (55) amefariki dunia. Taarifa ya serikali imeeleza kuwa alikuwa hospitali akisumbuliwa na tatizo la moyo. Serikali ya Burundi imetangaza kifo cha Rais wa nchi hiyo, Pierre Nkurunziza (55). Mshtuko wa moyo...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania tumejifunza nini na kifo George Floyd?

    Dunia imezizima, Africa imezimama na Marekani imezizima. Kifo cha Mmarekani mweusi Mr. George Floyd(48) kimebadilisha kabisa mwelekeo wa siasa za Kibaguzi si Marekani tu baali dunia nzima ikiwemo Tanzania. Siasa za Kibaguzi zipo tu kila sehemu duniani. Kuna watu wanafikiri ubaguzi ni wa rangi...
Back
Top Bottom