Sherehe za ubatizo, ndoa, kifo, mahari,hitma nk sasa kutozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Sherehe za ubatizo, Ndoa, kifo, mahari,hitma nk Sasa zinatozwa kodi hata ukifanyia nyumbani kwako. Hii ni aibu Kubwa kwa Serikali hii.

https://t.co/pDXnXxa4zD

IMG_20200901_193309.jpg
 
Serikali inayowaza mambo madogo kila siku, wanazidi kumkamua mwananchi ambae hawajamuongezea mshahara miaka yote mitano, halafu wanajiita serikali ya wanyonge, sijui wanyonge wa nchi gani.
 
"Naunga mkojo oga"....Tuna mbinu buni (kumradhi) "tuna mbuni binu"
 
Back
Top Bottom