Kifo cha Rais Mstaafu wa Serikali ya awamu ya tatu ni moja ya vifo huenda kikazivutia idara nyingi za usalama ktk mataifa makini yanayopenda kulinda uhai wa viongozi wao wakuu wa kitaifa.
Awali ya yote niwape pole nyingi familia ya marehem Benjamin William Mkapa. Nina imani hawakujuwa na hawakutegemea kabisa kifo cha Mzee wetu. Vilevile kwa Watanzania wote nawapa pole nyingi sana.
Naomba sana mada hii isihusishwe na awaye yeyote ila kama idara nyeti za nchi wanaweza isoma na kufanya mabadiliko makubwa katika kulinda afya za viongozi na kuweka taratibu maalumu ktk kulinda afya za wakuu wa nchi basi ningeshukuru. Ni kweli hapa dunian sio kwetu tunapita ila taa ya Mkapa kuzima ni igo kubwa sana ktk siasa za Taifa la Tanzania.
Wastaafu ni hazina kubwa ktk Taifa na ulinzi wa afya za hawa majemedari walioliongoza Taifa ni muhimu sana ili tuweze vuna madini walionayo kwa maslahi mapana ya Taifa. Kifo cha huyu jemedari ni kifo cha kuhuzunisha sana na ni kifo ambacho kama tungekuwa na special unit kuangalia afya za hawa majemedari hakika asingekufa mapema.
Wengine huenda tunajiuliza what is a suddenly cardiac arrest (sca). Hii ni hali mtu moyo wake unasimama ghafla na akikosa support ya wataalam au wasipo detect mapema mgonjwa anakufa.
Kwa maelezo ya msemaji wa Familia SCA ndio iliyochukua uhai wa jemedari huyu wa majeshi yetu ktk awamu ya tatu.
Why nasema uzembe au kutokuwa makini au mazoea yamenyakua uhai wa huyu jemedari wetu wa Taifa?
Nina uhakika Rais Mstaafu alienda hospitali ambayo huenda sio mara ya kwanza kuwenda na huenda kwa aina ya Madaktari na specialists wetu sometimes wanapomuona mtu wanamhudumia kila mara huchukua kama wanajua matatizo yake na kuchukua vipimo as usual while wakimuweka special room but not under special care. Na hapa ndipo nina imani jinamizi lilipounyakuwa uhai wa jemedari wetu.
Ikiwa angekuwa under special care, while anapata huduma wangeweza detect heartbeat before yaliyomkuta. Huenda tangia alipotoka mpaka pale amefika alikuwa anaondoka kidogokidogo na wangewahi kumuweka under special care tungemponya uhai wake.
Mtu aliyekuwa kiongozi mkubwa kama huyu kumuweka mapumziko tu bila kufuatilia afya yake 24 hrs haikuwa afya kwa uhai wake. Tafadhali naomba kama chumba kilikuwa na CCTV angalieni handling yake muone kama hapakuwa na kauzembe fulani ambacho sio cha kukusudia.
Issue ya Malaria nayo ni suala lingine la kufuatilia. Hapa kuna jambo tunahitaji kuangalia, je before hajaanza dawa mwili ulikuwa na status gani katika damu?
Pendekezo
Ni lazima from now onwards kuwe na muongozo wa kiusalama pindi hawa five star wanaumwa. Ni lazima kuwe na aina ya matibabu tofauti na raia wengine; namaanisha akienda anaumwa hata jicho lazima treatment yake iwe same like ICU person yaani level of alert must be high. Nadhani wasomi mmenielewa na Mungu awabariki Sana.
Mzee Mkapa umeondoka ila najua kifo chako kinaenda kubadilisha Sura ya Tanzania ktk mambo mengi Sana. Pumzika Kwa Amani Baba yangu. Amen
Awali ya yote niwape pole nyingi familia ya marehem Benjamin William Mkapa. Nina imani hawakujuwa na hawakutegemea kabisa kifo cha Mzee wetu. Vilevile kwa Watanzania wote nawapa pole nyingi sana.
Naomba sana mada hii isihusishwe na awaye yeyote ila kama idara nyeti za nchi wanaweza isoma na kufanya mabadiliko makubwa katika kulinda afya za viongozi na kuweka taratibu maalumu ktk kulinda afya za wakuu wa nchi basi ningeshukuru. Ni kweli hapa dunian sio kwetu tunapita ila taa ya Mkapa kuzima ni igo kubwa sana ktk siasa za Taifa la Tanzania.
Wastaafu ni hazina kubwa ktk Taifa na ulinzi wa afya za hawa majemedari walioliongoza Taifa ni muhimu sana ili tuweze vuna madini walionayo kwa maslahi mapana ya Taifa. Kifo cha huyu jemedari ni kifo cha kuhuzunisha sana na ni kifo ambacho kama tungekuwa na special unit kuangalia afya za hawa majemedari hakika asingekufa mapema.
Wengine huenda tunajiuliza what is a suddenly cardiac arrest (sca). Hii ni hali mtu moyo wake unasimama ghafla na akikosa support ya wataalam au wasipo detect mapema mgonjwa anakufa.
Kwa maelezo ya msemaji wa Familia SCA ndio iliyochukua uhai wa jemedari huyu wa majeshi yetu ktk awamu ya tatu.
Why nasema uzembe au kutokuwa makini au mazoea yamenyakua uhai wa huyu jemedari wetu wa Taifa?
Nina uhakika Rais Mstaafu alienda hospitali ambayo huenda sio mara ya kwanza kuwenda na huenda kwa aina ya Madaktari na specialists wetu sometimes wanapomuona mtu wanamhudumia kila mara huchukua kama wanajua matatizo yake na kuchukua vipimo as usual while wakimuweka special room but not under special care. Na hapa ndipo nina imani jinamizi lilipounyakuwa uhai wa jemedari wetu.
Ikiwa angekuwa under special care, while anapata huduma wangeweza detect heartbeat before yaliyomkuta. Huenda tangia alipotoka mpaka pale amefika alikuwa anaondoka kidogokidogo na wangewahi kumuweka under special care tungemponya uhai wake.
Mtu aliyekuwa kiongozi mkubwa kama huyu kumuweka mapumziko tu bila kufuatilia afya yake 24 hrs haikuwa afya kwa uhai wake. Tafadhali naomba kama chumba kilikuwa na CCTV angalieni handling yake muone kama hapakuwa na kauzembe fulani ambacho sio cha kukusudia.
Issue ya Malaria nayo ni suala lingine la kufuatilia. Hapa kuna jambo tunahitaji kuangalia, je before hajaanza dawa mwili ulikuwa na status gani katika damu?
Pendekezo
Ni lazima from now onwards kuwe na muongozo wa kiusalama pindi hawa five star wanaumwa. Ni lazima kuwe na aina ya matibabu tofauti na raia wengine; namaanisha akienda anaumwa hata jicho lazima treatment yake iwe same like ICU person yaani level of alert must be high. Nadhani wasomi mmenielewa na Mungu awabariki Sana.
Mzee Mkapa umeondoka ila najua kifo chako kinaenda kubadilisha Sura ya Tanzania ktk mambo mengi Sana. Pumzika Kwa Amani Baba yangu. Amen