kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    Senior Procurement Officer at Norwegian Refugee Council

    Position: Senior Procurement Officer (Tanzania National ) Tanzania, Norwegian Refugee Council NRC Tanzania is looking for Senior Procurement Officer base at Kibondo, Kigoma The purpose of the Senior Procurement Officer position is to manage the day to day implementation of the procurement...
  2. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Sokoine University of Agriculture (SUA)

    Overview The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitable qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for three (3) positions at the SACIDS Foundation for One Health. The Postdoctoral Research Fellow in...
  3. Kaluluma

    Naomba ufafanuzi kuhusu kazi za vituo vya kuuza mafuta

    Habari za leo wakuu, Ninahitaji kujua kuhusu utaratibu wa kupata kazi katika sheli za mafuta nikimaanisha kuuza mafuta. Ikiwezekana niambie kuhusu utaratibu wa kuomba kazi, vigezo, mshahara n.k Nina elimu ya kidato cha nne na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria, napatikana Dodoma. Natanguliza...
  4. Pdidy

    DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

    Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule. Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster. Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
  5. Chagu wa Malunde

    Wabunge wa CHADEMA wamekengeuka, wanajifanya hawaoni kazi nzuri ya uletaji maendeleo ndani ya miaka minne

    Hii ni kwa sababu uchaguzi umekaribia na mwezi Juni tarehe 31 Bunge litavunjwa. Sasa wabunge wa Chadema wamekumbwa na kiholo. Wanajiuliza wataenda kuwaambia nini wananchi? Maana walizoea siasa za kupakana matope, na wananchi wamebadilika wanataka siasa za kuletewa maendeleo. Muda wote wamekuwa...
  6. matokeotz

    Tengeneza Resume yako ya kirahisi hapa!

    Resume/CV Maker | Curriculum Vitae - Apps on Google Play
  7. Determinantor

    Corona: Fumigation ni Bonge la Fursa, njoo tupige kazi

    Kila janga huja na Neema zake, poleni wote mnaouguliwa na kuuguza! Kwa sasa uhitaji wa Fumigation hauepukiki! Maofisi yanatakiwa kuwa fumigated, mabasi, nyumba za Wageni, mahotel na kwingine. Si kila dawa inafaa kutumika kwa fumigation, tupia uzoefu wako. Kizuri kula na nduguyo! Karibuni
  8. L

    Tanzania ya Viwanda: Zaidi ya wafanyakazi 90% wafutwa kazi kwenye kiwanda cha Mihogo kwa Nape

    Wassalam wana-JF, Mwezi Machi mwaka 2019, waziri Mkuu wa JMT Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa alizindua kikubwa na inawezekana cha pekee Mkoani Lindi maeneo ya Mbalala jimboni Mtama kinachojulikana kwa jina la CASSAVA STARCH OF TANZANIA CORPORATION. Kiwanda ambacho kinajishughulisha na uzalishaji...
  9. Richard

    Kwenye kampeni mwaka 2015 huko Monduli Magufuli aliahidi kufanya kazi kama hayati Edward Sokoine,-Video

    Mwezi April tarehe 12 mwaka 1984 majira ya jioni, watanzania tulitangaziwa habari mbaya za kifo cha Edward Moringe Sokoine ambae alikuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtangazaji wa habari hizo alikuwa ni hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere. Leo ni miaka 36 imepita...
  10. Kichupa Steven

    Naomba ufafanuzi wa Sheria ya kazi na mahusiano Kazini

    Habari Kiongozi, Ilikuwa mapema mwaka 2014 ndg yangu aliajiliwa kama Mwalimu katika Halmashauri moja hapa nchini hata hivyo alifanya kazi kw muda wa miezi nane Pekee na kuamua kumwandikia Mkurugenzi wake wa Wakati huo Barua ya kusudi la Kuacha kazi lakini hakujibiwa Badala yake Mwaka 2015 June...
  11. Jamii Opportunities

    Public Health Specialist-Epidemics at Save the children - Dar es Salaam

    Position: Public Health Specialist-Epidemics – Tanzania Country Office TEAM/PROGRAMME: Humanitarian Response Team LOCATION: Dar es Salaam with frequent travel to the field GRADE: Grade 2 CONTRACT LENGTH: Six months Child Safeguarding: Level 3: the post holder will have contact with children...
  12. cantona55

    Wataalamu wa graphcs design, tunadesign logo, posters stickers na vipeperushi kwa bei sawa na bure

    habari zenu wakuu, kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na yakuvutia... pia ukiitaji POSTERS zenye kuvutia wasomaji tunadesign kwa 20,000 tu...na pia ukiitaji...
  13. J

    Corona: CHADEMA yaamua watendaji wake kufanyia kazi nyumbani isipokuwa wakuu wa idara, yasimamisha vikao visivyo na ulazima

    Naibu katibu mkuu wa Chadema Benson Kigaila amesema chama chake kimepunguza sana vikao na kuagiza watendaji wa HQ pale Ufipa st kufanyia kazi kutokea nyumbani ili kupunguza msongamano. Wakuu wa idara na viongozi wa juu wa chama ndio wataendelea kufanyia kazi ofisini kwa sasa. Pia Kigaila...
  14. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Palladium

    HP+ Tanzania Consultant— Formulation of a Population and Development Narrative Job Summary Palladium is seeking a qualified Tanzania-based consultant to support creating a sound, holistic and evidence-based narrative on “population and development linkages” in Tanzania. The development domains...
  15. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Startimes

    About us: StarTimes,also as a branding name of Star Media(Tanzania) Limited, is a Technology company that was established in 1988 in China. Pioneer and key player in digital television solution in China and Africa, where we have acquired over 7 million subscribers. We are currently operating in...
  16. J

    Madereva na Makondakta wa daladala kusajiliwa na serikali baada ya kuingizwa darasani na kupatiwa mafunzo ya kazi

    Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Injinia Isack Kamwelwe amesema serikali iko mbioni kuwasajili madereva na makondakta wa daladala ili kuboresha Huduma hiyo hapa nchini. Mh Kamwelwe amesema kabla ya kusajiliwa watendaji hao wa kwenye daladala watalazimika kupelekwa darasani na kupatiwa...
  17. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi THSTDA. TCB, IJA,

    Ref.No.EA.7/96/01/K/181 6th April, 2020 VACANCY ANNOUNCEMENT On behalf of the Tanzania Smallholder Tea Development Agency (TSHTDA), Tanzania Coffee Board (TCB) and the Institute of Judicial Administration Lushoto...
  18. J

    Makonda: Wazururaji hawataenda gerezani bali watafanya kazi za kuzibua mitaro, kufyeka nyasi na kusafisha barabara

    Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda amesema watu watakaokamatwa wakizurura jijini Dar watawajibishwa kwa kuzibua mifereji, kufyeka nyasi, kufagia barabara na kufanya kazi nyingine za usafi. Makonda amesema hatawaweka mahabusu wazururaji kwa ajili ya kuepusha msongamano wakati huu wa Corona. Hivyo...
  19. Jamii Opportunities

    Data Manager at THPS

    Overview Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and...
  20. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi, Deputy Human Resources Manager

    Position: DEPUTY HUMAN RESOURCES MANAGER( Nduta Camp - Kibondo) Médecins Sans Frontières (MSF) Job Summary Implement general administrative procedures in order to ensure documentary traceability as well as compliance with local labour and fiscal regulations, under the Project Finance & Human...
Back
Top Bottom