Position: Senior Procurement Officer (Tanzania National )
Tanzania, Norwegian Refugee Council
NRC Tanzania is looking for Senior Procurement Officer base at Kibondo, Kigoma
The purpose of the Senior Procurement Officer position is to manage the day to day implementation of the procurement...
Overview
The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitable qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for three (3) positions at the SACIDS Foundation for One Health. The Postdoctoral Research Fellow in...
Habari za leo wakuu,
Ninahitaji kujua kuhusu utaratibu wa kupata kazi katika sheli za mafuta nikimaanisha kuuza mafuta. Ikiwezekana niambie kuhusu utaratibu wa kuomba kazi, vigezo, mshahara n.k
Nina elimu ya kidato cha nne na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria, napatikana Dodoma.
Natanguliza...
Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule.
Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster.
Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
Hii ni kwa sababu uchaguzi umekaribia na mwezi Juni tarehe 31 Bunge litavunjwa. Sasa wabunge wa Chadema wamekumbwa na kiholo. Wanajiuliza wataenda kuwaambia nini wananchi? Maana walizoea siasa za kupakana matope, na wananchi wamebadilika wanataka siasa za kuletewa maendeleo.
Muda wote wamekuwa...
Kila janga huja na Neema zake, poleni wote mnaouguliwa na kuuguza! Kwa sasa uhitaji wa Fumigation hauepukiki!
Maofisi yanatakiwa kuwa fumigated, mabasi, nyumba za Wageni, mahotel na kwingine.
Si kila dawa inafaa kutumika kwa fumigation, tupia uzoefu wako. Kizuri kula na nduguyo! Karibuni
Wassalam wana-JF,
Mwezi Machi mwaka 2019, waziri Mkuu wa JMT Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa alizindua kikubwa na inawezekana cha pekee Mkoani Lindi maeneo ya Mbalala jimboni Mtama kinachojulikana kwa jina la CASSAVA STARCH OF TANZANIA CORPORATION. Kiwanda ambacho kinajishughulisha na uzalishaji...
Mwezi April tarehe 12 mwaka 1984 majira ya jioni, watanzania tulitangaziwa habari mbaya za kifo cha Edward Moringe Sokoine ambae alikuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mtangazaji wa habari hizo alikuwa ni hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Leo ni miaka 36 imepita...
Habari Kiongozi,
Ilikuwa mapema mwaka 2014 ndg yangu aliajiliwa kama Mwalimu katika Halmashauri moja hapa nchini hata hivyo alifanya kazi kw muda wa miezi nane Pekee na kuamua kumwandikia Mkurugenzi wake wa Wakati huo Barua ya kusudi la Kuacha kazi lakini hakujibiwa Badala yake Mwaka 2015 June...
Position: Public Health Specialist-Epidemics – Tanzania Country Office
TEAM/PROGRAMME: Humanitarian Response Team
LOCATION: Dar es Salaam with frequent travel to the field
GRADE: Grade 2
CONTRACT LENGTH: Six months
Child Safeguarding:
Level 3: the post holder will have contact with children...
habari zenu wakuu,
kwa wale wote wanaotaka LOGO kwa ajili ya makampuni, NGO's na mashirika mbal mbali, ukitaka LOGO ya 3D au 2D zote tunadesign kwa 50,000 tu unapata brand logo yako nzuri na yakuvutia...
pia ukiitaji POSTERS zenye kuvutia wasomaji tunadesign kwa 20,000 tu...na pia ukiitaji...
Naibu katibu mkuu wa Chadema Benson Kigaila amesema chama chake kimepunguza sana vikao na kuagiza watendaji wa HQ pale Ufipa st kufanyia kazi kutokea nyumbani ili kupunguza msongamano.
Wakuu wa idara na viongozi wa juu wa chama ndio wataendelea kufanyia kazi ofisini kwa sasa.
Pia Kigaila...
HP+ Tanzania Consultant— Formulation of a Population and Development Narrative
Job Summary
Palladium is seeking a qualified Tanzania-based consultant to support creating a sound, holistic and evidence-based narrative on “population and development linkages” in Tanzania. The development domains...
About us:
StarTimes,also as a branding name of Star Media(Tanzania) Limited, is a Technology company that was established in 1988 in China. Pioneer and key player in digital television solution in China and Africa, where we have acquired over 7 million subscribers.
We are currently operating in...
Waziri wa Ujenzi, uchukuzi na mawasiliano Injinia Isack Kamwelwe amesema serikali iko mbioni kuwasajili madereva na makondakta wa daladala ili kuboresha Huduma hiyo hapa nchini.
Mh Kamwelwe amesema kabla ya kusajiliwa watendaji hao wa kwenye daladala watalazimika kupelekwa darasani na kupatiwa...
Ref.No.EA.7/96/01/K/181 6th April, 2020
VACANCY ANNOUNCEMENT
On behalf of the Tanzania Smallholder Tea Development Agency (TSHTDA), Tanzania Coffee Board (TCB) and the Institute of Judicial Administration Lushoto...
Mkuu wa mkoa wa Dsm Paul Makonda amesema watu watakaokamatwa wakizurura jijini Dar watawajibishwa kwa kuzibua mifereji, kufyeka nyasi, kufagia barabara na kufanya kazi nyingine za usafi.
Makonda amesema hatawaweka mahabusu wazururaji kwa ajili ya kuepusha msongamano wakati huu wa Corona.
Hivyo...
Overview
Tanzania Health Promotion Support (THPS) is an indigenous NGO established under nongovernmental organization act No 24 of 2002 in 2011. THPS works in partnership with the Ministries of Health Community Development Gender Elderly and Children (MoHCDGEC) and Regional Administration and...
Position: DEPUTY HUMAN RESOURCES MANAGER( Nduta Camp - Kibondo)
Médecins Sans Frontières (MSF)
Job Summary
Implement general administrative procedures in order to ensure documentary traceability as well as compliance with local labour and fiscal regulations, under the Project Finance & Human...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.