Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1480341
Ni teknolojia inayomwezesha msoma hotuba/habari kuweza kusoma hotuba/ habari yake bila kuangalia kwenye karatasi, hotuba hiyo inakuwa imeandaliwa nakuingizwa kwenye kamera maalum ambayo inasafirisha maandishi hayo Kwenda kwenye hivyo vioo au screen iliyozibwa na podium ili aweze kusoma bila watazamazi kuona hayo maandishi.
Teknolojia hiyo inaitwa “Teleprompter” inatumiwa sana na viongozi wa kitaifa ( Kama Rais) wakati wa kuhutubia na pia hata wasomaji wa taarifa ya habari kwenye luninga hutumia teknolojia hiyo wakati wa kusoma habari.
View attachment 1480341
Ni teknolojia inayomwezesha msoma hotuba/habari kuweza kusoma hotuba/ habari yake bila kuangalia kwenye karatasi, hotuba hiyo inakuwa imeandaliwa nakuingizwa kwenye kamera maalum ambayo inasafirisha maandishi hayo Kwenda kwenye hivyo vioo au screen iliyozibwa na podium ili aweze kusoma bila watazamazi kuona hayo maandishi.
Teknolojia hiyo inaitwa “Teleprompter” inatumiwa sana na viongozi wa kitaifa ( Kama Rais) wakati wa kuhutubia na pia hata wasomaji wa taarifa ya habari kwenye luninga hutumia teknolojia hiyo wakati wa kusoma habari.
JK na Mkapa waliitumia.Hii safi sanaa, naona mkulu ameamua kuwa modern sasa.
Inaitwa teleprompter ndipo hotuba yake anapoisoma inakuwa kama screenNipo hapa naangalia hotuba ya Mweshimiwa Rais, sasa kuna kitu kinanitatiza kuna vioo viwili vipo mbele ya Mweshimiwa Rais mbele sijaelewa ni vitu gani vile?
Kuna kada mmoja hapa alikua anabisha anadai maguful anatoa kichwani zile data. Imemchukua muda sana kuelewa.Inaitwa teleprompter ndipo hotuba yake anapoisoma inakuwa kama screen
View attachment 1480410View attachment 1480411
Yaani hautaki kuappreciate kuwa Jpm nae kaitumia, umeona ucrash tu. dah, hizi chuki!JK na Mkapa waliitumia.
Asante sana mkuu shukraniView attachment 1480341
Ni teknolojia inayomwezesha msoma hotuba/habari kuweza kusoma hotuba/ habari yake bila kuangalia kwenye karatasi, hotuba hiyo inakuwa imeandaliwa nakuingizwa kwenye kamera maalum ambayo inasafirisha maandishi hayo Kwenda kwenye hivyo vioo au screen iliyozibwa na podium ili aweze kusoma bila watazamazi kuona hayo maandishi.
Teknolojia hiyo inaitwa “Teleprompter” inatumiwa sana na viongozi wa kitaifa ( Kama Rais) wakati wa kuhutubia na pia hata wasomaji wa taarifa ya habari kwenye luninga hutumia teknolojia hiyo wakati wa kusoma habari.
Thank you very much dude, hata hilo jina ndo kwanza naliskia hapaInaitwa teleprompter: A teleprompter, also known as a autocue, is a display device that prompts the person speaking with an electronic visual text of a speech or script. Using a teleprompter is similar to using cue cards.
wasoma habari wa itv,tbc, wanacho kinakaa mbele kabisa (karib na camera) , dizaini kama anakutazama wewe vile kumbe anasoma hapoThank you very much dude, hata hilo jina ndo kwanza naliskia hapa