Hivi ni kamati hii ya siasa ya wilaya ya Mpwapwa (CCM )au ni ya wakati wa uchaguzi uliopita ndiyo iliyofanya Madudu? Hebu kwa weledi kabisa niambieni! Imekuwaje jimbo la uchaguzi la Mpwapwa lina madiwani hawazidi wanne?
Kwa weledi kabisa hebu kamati ya siasa niambieni kwa nini halmashauri ya...
Hili halina ubishi dunia nzima kama kiongozi ni pure typical politician maamuzi yake mara nyingi huwa ni kwa ajili ya kufurahisha kundi la watu flani kwa manufaa ya kisiasa lakini sio kwa ajili ya manufaa ya umma na huwa sio wachapa kazi.
Mfano kiongozi wa namna hiyo yupo radhi atumie pesa za...
itMbona serikali ipo kimya katika hili wimbi la sekta binafsi kuwasimamisha na kuwaachisha kazi wafanyazi kinyume Cha utaratibu na hawajui hatma ya haki zao hasa walimu wa shule binafsi.
Tanzania Automotive Technology Centre (TATC), synonymously known as “Shirika la Nyumbu”, was formally established on the 14th December 1985, through a Presidential Order, made under the Public Corporations Act 1969. TATC’s mission is to develop a reputable capacity for automotive engineering by...
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema hadi sasa jumla ya Wagonjwa waliopona ni 48 ambao ni kati ya Wagonjwa 108 waliothibitika kuwa na Ugonjwa huo, ila kwa sasa hawana dalili
Amesma, "Tuna vifo 10, na hivyo tukabakiwa na wagonjwa 274 na kati ya 11 tumeshawatolea taarifa kuwa wamepona. Ni kweli...
Ushauri wangu kuhusu Mlipuko wa Korona- Zitto
#COVID19TZA Serikali imethibitisha uwepo wa virusi vya Korona Tanzania. Utulivu ni muhimu kwani kukiwa na maandalizi ya kutosha tunaweza kukabili madhara ya mlipuko huu. Nashauri mambo 3 muhimu sana, kwa maoni yangu.
- Tunaona Nchi nyengine kukiwa...
Position: NURSING TEAM SUPERVISOR
Médecins Sans Frontières (MSF)
Job Summary
Plan, organize, and evaluate the activities concerning his/her field of action (Nursery ,….) and the team associated, according to MSF values, policies and protocols and universal health standards, in order to warrant...
Afisa Mwandikishaji wa Jimbo la Kavuu Bw. Erasto Kiwale anapenda kuwajulisha kuwa , zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura Vituoni awamu ya Pili katika Kata zote za Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe linatarajia kuanza tarehe 02.05.2020, watatumika Waandishi Wasaidizi na BVR Kit...
Mwanamke akifanya kazi bar anaweza kuwa mwaminifu? Unaweza kumuoa akawa mke mwema?
Vipi kuhusu yafuatayo
1.Kuendelea na tabia ya kuona kwamba ni jambo la kawaida kutoa penzi akapewa hela?
2.Kuwachukulia watu wote bila staha na akawaona kama wale walevi wa bar alokuwa anawahudumia?
3.Ulevi je?
Polisi wanawatafuta watu 50 waliotoroka katika kituo cha Kenya Medical Training College, mjini Nairobi kilichokuwa kinatumika kama karantini
Inadaiwa kuwa walikuwa wanapata chakula cha jioni, na mvua ilikuwa inanyesha nao wakatumia fursa hiyo kuruka uzio na kukimbia
Wengine kati ya hao...
SOS Children’s Villages is the world’s largest non-governmental organisation focused on supporting children without parental care and families at risk. Since 1949, we have been working to ensure that children grow up in a loving family environment and have their rights fulfilled.
Services SOS...
Wakuu wa Mikoa kote nchini wameagizwa kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuuza sukari kwa shilingi 4500.
Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa.
Majaliwa ameyasema hayo leo...
Ward-based pharmacist jobs available throughout the UK, with the NHS needing your help. Great pay rates up to £33.00 per hour. As the whole world takes a step back, healthcare professionals are taking a step forward. We hope you can step forward and join us today.
Step Forward | Medacs Healthcare
Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye...
Agency UNDP
Title Stress Counsellor
Job ID 30130
Practice Area - Job Family
Management - STRESS COUNSELOR
Vacancy End Date (Midnight New York, USA) 26/04/2020
Duty Station: Kasulu, Tanzania, United Republic of
Education & Work Experience: I-Master's Level Degree - 2 year(s) experience
Languages...
Vacancy title: Monitoring and Evaluation Technician [ Type: FULL TIME , Industry: Nonprofit, and NGO ,Category: Science & Engineering ]
Jobs at: Enabel
Deadline of this Job: 03 May 2020
Duty Station: Within Tanzania , Kigoma , East Africa
Vacancy – Position no: 1708
Monitoring and Evaluation...
Leo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza.
Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
Tulielezwa kuwa wenye mamlaka ya kutangaza wagonjwa wa corona nchini ni watu watatu, ambao ni waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri mkuu Kassim Majaliwa na Rais mwenyewe, John Magufuli
Upande wa Zanzibar, anayeruhusiwa kutoa ripoti yoyote ya wagonjwa wa corona, ni waziri wa afya wa huko, Hamad...
Job Title Driver, Kasulu, Tanzania, G2
Job ID 30047
Location East and Southern Africa
Full/Part Time Full-Time
Regular/Temporary Regular
Rotation This post is non-rotational.
Duty Station: Kasulu, Tanzania
Closing Date: 05 May 2020 (5 pm, New York time)
Duration: One Year (*)
Post Type...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.