small mind
Senior Member
- Jun 1, 2012
- 129
- 58
Habari za mida hii.
Mimi ni kijana mjasiriamali mdogo,kwa maana ya mtaji mdogo na idadi ndogo ya wateja.Pamoja na hayo nahisi kwamba kuna fursa nyingi ambazo nashindwa kuzitumia ipasavyo kwa sababu tu ya kuwa peke yangu na kukosa support ya watu sahihi.
Hivyo basi nahitaji vijana watatu preferably mabinti wawili na kijana wa kiume mmoja Wawe na sifa zifuatazo.
Fursa ni kwa ajili ya watu watatu tu.Na mwisho wa kutuma taarifa zenu ni Jumanne ya tarehe 7 Sept 2020
Mimi ni kijana mjasiriamali mdogo,kwa maana ya mtaji mdogo na idadi ndogo ya wateja.Pamoja na hayo nahisi kwamba kuna fursa nyingi ambazo nashindwa kuzitumia ipasavyo kwa sababu tu ya kuwa peke yangu na kukosa support ya watu sahihi.
Hivyo basi nahitaji vijana watatu preferably mabinti wawili na kijana wa kiume mmoja Wawe na sifa zifuatazo.
- .Umri wao usizidi miaka 23.wawe wakazi wa Jiji la Dar es Salaam-
- Wawe na ujuzi wa masoko na kutafuta wateja-Aggressive marketers
- Wawe na interest ya kujifunza kuhusu teknolojia mbalimbali
- Wawe wanamiliki Computer Laptop yenye maungio ya internet
- Wawe wanafahamu vizuri lugha ya Kiingereza
- Wawe wavumilivu,wenye bidii na kujituma
- Wasiwe na tamaa,uvivu au uzembe
- Wawe na maono makubwa kwa maisha yao binafsi na jamii
- Wawe na uwezo wa kujieleza mbele za watu
- Wawe wepesi na wenye bidii ya kujifunza kitu kipya
- Wawe wanapenda kusoma vitabu mbalimbali.
- Wawe smart and presentable
- Wawe wanaielewa vizuri mitaa ya jiji na wanaopenda kusafiri
- Wawe outgoing and sociable
- Wawe na uwezo wa kufanya kazi indepedently
- Uzoefu hasa wa kufanya data collection ni sifa ya nyongeza
Fursa ni kwa ajili ya watu watatu tu.Na mwisho wa kutuma taarifa zenu ni Jumanne ya tarehe 7 Sept 2020