MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,483
- 20,432
Magufuli ni mtu anayesimamia maneno yake, aliwahi kusema hakutakuwa na siasa za majukwaani mpaka 2020 na kweli imetokea hivyo.
Tutakapo rudi baada ya uchaguzi hakutakuwa na siasa za maandamano kwa hiyo Lissu ajitahidi kuutumia huu muda vizuri majukwaani na sio kueleza amepigwa risasi ngapi kila siku.
Tutakaporudi huu muda hautakuwepo tena, itakuwa ni kujenga reli, barabara, madaraja, meli, kununua madawa,kulipa mikopo ya wanafunzi, kusambaza umeme vijijini nk na sio kiguu na njia kuandamana
Tutakapo rudi baada ya uchaguzi hakutakuwa na siasa za maandamano kwa hiyo Lissu ajitahidi kuutumia huu muda vizuri majukwaani na sio kueleza amepigwa risasi ngapi kila siku.
Tutakaporudi huu muda hautakuwepo tena, itakuwa ni kujenga reli, barabara, madaraja, meli, kununua madawa,kulipa mikopo ya wanafunzi, kusambaza umeme vijijini nk na sio kiguu na njia kuandamana