Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Nadhani nishawahi kulileta before..
Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu...
Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary...
3-6 Months! za masomo waliyosomea
Hio hela inayotumika kuwa train vijana waweze kuwa 'wakakamavu'
Ingetumika kuwalipa Makampuni yanayoajiri vijana hawa..
Badala ya cheti cha uanajeshi unakua na cheti cha 'work experience'
Kabla hamjanipopoa tazameni hii link hapa chini
WORK PLACEMENT SYSTEM
Nadhani nishawahi kulileta before..
Ningependa kuona serikali yetu.. ina invest kwenye skills za vijana/graduates wetu...
Kwa mfano Jeshi lingefutwa, badala yake vijana watafutiwe ajira zile za temporary...
3-6 Months! za masomo waliyosomea
Hio hela inayotumika kuwa train vijana waweze kuwa 'wakakamavu'
Ingetumika kuwalipa Makampuni yanayoajiri vijana hawa..
Badala ya cheti cha uanajeshi unakua na cheti cha 'work experience'
Kabla hamjanipopoa tazameni hii link hapa chini
WORK PLACEMENT SYSTEM