‘Lobbying’ ni kazi muhimu ya kibunge ambayo Wabunge wa CHADEMA waliishindwa

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Moja ya kazi muhimu sana ya Mbunge ndani ya bunge ni kufanya lobbying yaani kushawishi ili mradi au maendeleo flani yafike jimboni mwake na sio ulalamishi. Katika hili wabunge wengi wa upinzani walifeli sana tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma.

Wabunge wote wa Chadema waliopita walionesha failure kwa kujikita katika matukio ya kiinchi na kupinga kila kitu.

Kwa upande wa CCM Wabunge wake wengi walifanya lobbying na walifanikiwa haswa kwa kupata miradi mikubwa.
 
Uta-post sana hapa post za kijinga lakini haisaidii. Tutamchagua Lissu. Miaka 60 ya kutawala imewatosha. Tunataka mabadiliko sasa.
Moja ya kazi muhimu sana ya Mbunge ndani ya bunge ni kufanya lobbying yaani kushawishi ili mradi au maendeleo flani yafike jimboni mwake na sio ulalamishi.
Katika hili wabunge wengi wa upinzani walifeli sana tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma.

Wabunge wote wa Chadema waliopita walionesha failure kwa kujikita katika matukio ya kiinchi na kupinga kila kitu.

Kwa upande wa CCM Wabunge wake wengi walifanya lobbying na walifanikiwa haswa kwa kupata miradi mikubwa.
 
Moja ya kazi muhimu sana ya Mbunge ndani ya bunge ni kufanya lobbying yaani kushawishi ili mradi au maendeleo flani yafike jimboni mwake na sio ulalamishi. Katika hili wabunge wengi wa upinzani walifeli sana tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma.

Wabunge wote wa Chadema waliopita walionesha failure kwa kujikita katika matukio ya kiinchi na kupinga kila kitu.

Kwa upande wa CCM Wabunge wake wengi walifanya lobbying na walifanikiwa haswa kwa kupata miradi mikubwa.
Umesahau kauli ya maendeleo hayana Yana chama
 
Wewe mpuuzi maendeleo ya nchi hadi ufanye lobbying?

Nini maana ya kuwa na ilani?

Unafahamu katika kila jimbo kuna serikali za mitaa.

Nyie ndio marehemu mkapa aliwaita malofa.
 
Wewe mpuuzi maendeleo ya nchi hadi ufanye lobbying?

Nini maana ya kuwa na ilani?

Unafahamu katika kila jimbo kuna serikali za mitaa.

Nyie ndio marehemu mkapa aliwaita malofa.
Soma kazi za Seneta huko kwa mabwana zenu mabeberu
 
Wabunge wa ccm wameshindwa nini kufanya lobbying miaka 60 bado wanachi ni maskini wa kutupwa?

Ndugai ameshindwa kufanya lobbying?

Sumaye alishimdwa kufanya lobbying?

Huko kusini wamekua hadi na rais, hadi rais alishindwa kufanya lobbying?

Ujinga bado ni tatizo kubwa Tanzania. Sishangai ccm kuendelea kushinda uchaguzi pamona na kuwafukarisha watanzania kwa miaka zaidi ya 60.
 
Moja ya kazi muhimu sana ya Mbunge ndani ya bunge ni kufanya lobbying yaani kushawishi ili mradi au maendeleo flani yafike jimboni mwake na sio ulalamishi. Katika hili wabunge wengi wa upinzani walifeli sana tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma.

Wabunge wote wa Chadema waliopita walionesha failure kwa kujikita katika matukio ya kiinchi na kupinga kila kitu.

Kwa upande wa CCM Wabunge wake wengi walifanya lobbying na walifanikiwa haswa kwa kupata miradi mikubwa.
Nyi e.bado Sana! hayo mambo ya lobying Ni primitive concept,

kinachotakiwa mgawanyo wa maendeleo Uwe sawa kwa kila Jimbo ,

Wabunge kazi yao kuishauri selikali na kuisimamia iongeze mapato
yatakayotosheeleza utekelezaji wa mipango na miradi kila Jimbo kwa usawa,
 
Nyi e.bado Sana! hayo mambo ya lobying Ni primitive concept,

kinachotakiwa mgawanyo wa maendeleo Uwe sawa kwa kila Jimbo ,

Wabunge kazi yao kuishauri selikali na kuisimamia iongeze mapato
yatakayotosheeleza utekelezaji wa mipango na miradi kila Jimbo kwa usawa,
who said kwamba hiyo ni primitive concept?
umewahi kuhudhuria vikao vya bunge a kuona wageni mbalimbali wakiwasaka wabunge na mawaziri kwa ajili ya lobbying?
 
who said kwamba hiyo ni primitive concept?
umewahi kuhudhuria vikao vya bunge a kuona wageni mbalimbali wakiwasaka wabunge na mawaziri kwa ajili ya lobbying?
Silimezimwa, Sasa tutajuaje yanayoendelea huko
 
Soma kazi za Seneta huko kwa mabwana zenu mabeberu

Akili zako ni sawa na I'd yako.

Lobbying Haina umuhimu endapo maendeleo yanayakiwa yawafikie raia kwa usawa pasipo upendeleo....
Maana wote Ni walipa Kodi.

Tatizo Ni Mwenyekiti wenu kutisha wapiga kura na kufanya maendeleo kwa ubaguzi..
 
Moja ya kazi muhimu sana ya Mbunge ndani ya bunge ni kufanya lobbying yaani kushawishi ili mradi au maendeleo flani yafike jimboni mwake na sio ulalamishi. Katika hili wabunge wengi wa upinzani walifeli sana tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma.

Wabunge wote wa Chadema waliopita walionesha failure kwa kujikita katika matukio ya kiinchi na kupinga kila kitu.

Kwa upande wa CCM Wabunge wake wengi walifanya lobbying na walifanikiwa haswa kwa kupata miradi mikubwa.
Wabunge wengi wa upinzani walijikita kwenye harakati na kuivimbia serikali matokeo yake ni kukosa miradi ya maendeleo majimboni mwao. Ni sawa na kutwanga pilipili mshahara kukohoa ! Kwa mfano Mbeya mjini jiji linavumbi kiyama ! Barabara za ndani zote hazina lami nilikua huko majuzi sikuamini kama ni jiji au kitongoji ! Yote sababu ya ujeuri wa Sugu na makamanda wenzie!
 
Back
Top Bottom