MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Mimi nawashangaa sana hasa vijana wa CCM tuliokaa kimya tukimwacha mgombea wetu anajibizana na mgombea wa CHADEMA Tundu Lissu. Hivi tunaelewa maana ya hili? Mnaelewa mitego anayotengeneza Tundu Lissu?
Vijana wenzangu wa CCM tuache kutanguliza maslahi mbele, tumsaidie Rais na mgombea wetu ajielekeze kuwaeleza wananchi ni kitu gani atawafanyia watanzania endapo atapewa ridhaa tena.
Tuige siasa za Kikwete ambaye yeye alikua alijikita kueleza nini anatakawafanyia watanzania badala ya kumjibu Dr Slaa.
Huku ni kuingia mtegoni na kujikuta unacheza midundo ya ngoma anayoipiga mwenzako.
Hii kazi ya kumjibu Lissu ni ya kufanywa na kina Pole pole na Dr Bashiru na Heri James. Tuwe wakweli katika kushauri tuweke pembeni ushamba wetu vijana, tuache unafki ndio tutafanya siasa zitakazotufanya tubakie na dola siku zote.
Vijana wenzangu wa CCM tuache kutanguliza maslahi mbele, tumsaidie Rais na mgombea wetu ajielekeze kuwaeleza wananchi ni kitu gani atawafanyia watanzania endapo atapewa ridhaa tena.
Tuige siasa za Kikwete ambaye yeye alikua alijikita kueleza nini anatakawafanyia watanzania badala ya kumjibu Dr Slaa.
Huku ni kuingia mtegoni na kujikuta unacheza midundo ya ngoma anayoipiga mwenzako.
Hii kazi ya kumjibu Lissu ni ya kufanywa na kina Pole pole na Dr Bashiru na Heri James. Tuwe wakweli katika kushauri tuweke pembeni ushamba wetu vijana, tuache unafki ndio tutafanya siasa zitakazotufanya tubakie na dola siku zote.