Nafasi ya kazi ya Ualimu katika Masomo ya Fizikia na Kemia

pauldemasanja

Member
Oct 7, 2016
18
11
Naitwa Mwl. Paulo Yamola Masanja
Ni mhitimu wa shahada ya Ualimu wa sayansi katika masomo ya Physics na Chemistry.
Lengo kuu ni kuomba nafasi ya kazi ya kufundisha kama Mwalimu katika sekondari yenye uhitaji.
Kwa maswali na ufafanuzi zaidi, napatikana kupitia 0767582599
Email: pauldemasanja@gmail.com
(Mwenye connection au msaada zaidi usisite kunijuza)
Kazi njema
 
Naitwa Mwl. Paulo Yamola Masanja
Ni mhitimu wa shahada ya Ualimu wa sayansi katika masomo ya Physics na Chemistry.
Lengo kuu ni kuomba nafasi ya kazi ya kufundisha kama Mwalimu katika sekondari yenye uhitaji.
Kwa maswali na ufafanuzi zaidi, napatikana kupitia 0767582599
Email: pauldemasanja@gmail.com
(Mwenye connection au msaada zaidi usisite kunijuza)
Kazi njema
Umeisha-check na website ya tamisemi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom