Sawa nini bossSawa
Tuma CV yako via ruahafreight2017@gmail.com nione kama tunaweza kufanya kazi.Mimi ni kijana nafasi ya kujitolea kwenye kampuni ya clearing and forwarding lengo ni kujifunza pia kupata ujuzi zaidi nimesomea mambo ya clearing and forwarding pamoja na information technology ngazi ya cheti ni mchapa kazi mzuri baada ya kutafuta kazi takribani mwaka wa 3 bila mafanikio sasa nimeona nijitolee huku kupata ujuzi zaidi huku.
Naombeni msahadaa wenu wana jamii furum wa kunisaidia.
Mkuu kama kuna uhitaji nitume cv pia, japo nmesoma business administration sio clearing and forwardingtuma CV yako via ruahafreight2017@gmail.com nione kama tunaweza kufanya kazi.
Asante mkuutuma CV yako via ruahafreight2017@gmail.com nione kama tunaweza kufanya kazi.
Mrejesho mkuuAsante mkuu