Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,375
- 105,199
Vijana 8 kutoka kundi la Tamaduni Music ambao wameji-organize na kuunda kikundi walichokipa jina la Kikosi Kazi Kazini (KK)
Naweza nikasema kwa ngoma mbili hizi walizotoa Kikosi Kazi zinatosha kabisa kuficha nyimbo zote walizowahi kuimba Weusi.
Hivi kama nyimbo ya SALA utaifananisha na nyimbo gani ya weusi na isipwaye?
Hapo mwezi uliopita walitamba kwa diss track yao iloyowalenga kundi la Weusi. Ifahamike kua Katika wimbo ambao uliimbwa na kundi la Weusi kulikua na meseji ambayo iliyo walenga wasanii wote wa Tamaduni.
Ni meseji ambayo ilitafsirika kwamba tamaduni ni kundi ambalo limepotea katika hip hop industry na wao weusi ndio walioshika bendera kuilinda hip hop culture moja ya line iliyo catch feelings za wasanii kutoka tamaduni ni hii "watamaduni si ndio tunaotunza hii culture"
Naweza nikasema kwa ngoma mbili hizi walizotoa Kikosi Kazi zinatosha kabisa kuficha nyimbo zote walizowahi kuimba Weusi.
Hivi kama nyimbo ya SALA utaifananisha na nyimbo gani ya weusi na isipwaye?
Hapo mwezi uliopita walitamba kwa diss track yao iloyowalenga kundi la Weusi. Ifahamike kua Katika wimbo ambao uliimbwa na kundi la Weusi kulikua na meseji ambayo iliyo walenga wasanii wote wa Tamaduni.
Ni meseji ambayo ilitafsirika kwamba tamaduni ni kundi ambalo limepotea katika hip hop industry na wao weusi ndio walioshika bendera kuilinda hip hop culture moja ya line iliyo catch feelings za wasanii kutoka tamaduni ni hii "watamaduni si ndio tunaotunza hii culture"