kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Digitalman1tz

    Wanasaikolojia mbona kazi yenu haionekani? Matukio ya watu kujiua yanashamiri

    Wanasaikolojia ni watu ambao ni muhimu sana katika afya ya kila mtu nahii nchi huwa kila mwaka inapokea wahitimu wapya wa maswala ya saikologia lakini mimi sijawahi waona. Kila mwaka huwa tunapata idadi kubwa ya wanafunzi wanajinyonga wanakunywa sumu sababu ya kuogopa mitihani ya taifa ya...
  2. King Loto

    Kwa Kijana yeyote mwenye uhitaji wa kazi hii tafadhali nicheki

    Okay Kwema Wakuu Mi ninacho amini hali zetu haziko sawa katika haya maisha na wapo tuliotoka familia duni au tunaishi kwa rafiki au hata ndugu kwa masimango na manyanyaso makubwa. Mbali zaidi wapo wanaotakwa Kingono ili wapewe kazi kwa hawa kina dada zetu na kina kaka siku hizi japo kwa uchache...
  3. I

    Kazi ya Marketing

    Hello wana JF, Jamani kiukweli soko la ajira kwa sasa ni gumu kilichobaki vijana tujiajiri lakini tutajiajiri vipi wakati hatuna mitaji,Mtu unakuta uko mtaani mwaka wa 7 huu na cheti chako cha Business Administration au Uhasibu n.k. Sasa rasilimali pekee ambayo nafikiri ni kutumia tu akili...
  4. Erythrocyte

    Operesheni Haki yaingia Kanda ya Unguja, Freeman Mbowe kuongoza kikosi kazi cha mafunzo

    Wakuu , Tunaomba radhi sana kutokana na usumbufu wa Taarifa zetu nyingi sana kuhusiana na Operesheni haki , mtusamehe sana , hatuna namna ya kufanya zaidi ya kuwahabarisha jambo hili muhimu. Leo tena kampeni hii muhimu imefika unguja ambako Abubakar Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya mafunzo...
  5. S

    Kwa watafutaji wasio na kazi maalumu

    Habari zenu wandugu. Baada ya kupata vijana wa nne ktk tangazo langu la kwanza wale wa kuchoma ashua sasa nimekuja na hili lengo likiwa ni kuinuana na kusaidiana. Kuna laki tatu hapa mfuko wa shati ambazo si nyingi kwa mwenye nazo na pia si ndogo kwa mtafutaji. Nahitaji kijana/vijana ambaye...
  6. M

    Nafasi za kazi utumishi ajira

    27 Job Vacancies at Utumishi ajira portal. On behalf of The Mining Commission (TMC) andTanzania Civil Aviation Authority (TCAA) Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 27 vacant posts as mentioned below. TECHNICIAN II (MINING) – 9 POST TECHNICIAN II (GEOLOGY)...
  7. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Halmashauri ya Kisarawe

    Executive Officers / WATENDAJI at KISARAWE District Council July, 2021. Kisarawe is one of the six districts of the Pwani Region of Tanzania. It is bordered to the East by Dar es Salaam Region, to the north by the Kibaha District, to the east by the Mkuranga District, to the south by the Rufiji...
  8. K

    Nimetembea na mke wa jamaa aliyenifukuzisha kazi

    Jamaa alikuwa mnoko sana akawa ananichongea kwa boss ili tu kitumbua changu kiingie mchanga na kweli alifanikiwa kikaingia kwelikweli. Wakati tupo kazini mke wa jamaa alikuwa anakuja kuja kumtembelea jamaa kiasi ndiyo nikamjua shem wangu yule. Maisha ni mzunguuko baada ya kama miaka miwili...
  9. M

    Nafasi za kazi at Shanta Mining Co. Ltd – CCTV Operator 6 Posts

    Job Positions CCTV Operator 6 Posts at Shanta Mining Co. Ltd SHANTA MINING COMPANY LIMITED EMPLOYMENT OPPORTUNITY CCTV OPERATORS (6 POSTS) SCOPE OF ROLE LEVEL OF WORK: 1 ROLE TYPE: Individual Contributor. REGION/DISCIPLINE: -Tanzania BUSINESS UNIT/FUNCTION: Singida Gold Mine, Central...
  10. M

    Niliyoyaona kwa Mkapa (Lupaso) Stadium leo ambayo kama yasipofanyiwa Kazi basi yanaenda Kujirudia tena Lake Tanganyika 25 July, 2021 ni haya

    1. Kuwaanzisha Erasto Nyoni na Bernard Morrison ambao leo ndiyo Wachezaji wa Simba SC waliocheza vibaya na Kuharibu zaidi badala ya Kuwaanzisha Muzamiru Yasini na Rally Bwalya Kiufundi kumeigharimu Simba SC. 2. Kumuanzisha Clatous Chama ambaye bado Kichwa chake kimetawaliwa na Kumpoteza Mke...
  11. Digital base

    Njia rahisi ya kung'arisha sink na tiles zako zenye uchafu sugu pasipo kupoteza muda na hela katika njia ambazo hazifanyi kazi

    Habari ya leo wapendwa,leo nimekuja na somo la usafi kwa wale wanao penda usafi. Vifaa. 1.Dawa ya kung'arisha masink na Tiles 2.Gloves 3.Mask 4.Viatu vya kufinika miguu. 5.Brash ngumu kubwa na ndogo. NAMNA YA KUSAFISHA Kabla huja fungua dawa vaa gloves,mask na viatu miguuni kisha...
  12. R

    Tunatafuta mshonaji wa nguo anayeishi maeneo ya Kibamba

    Ni biashara ya kutengeneza nguo aina tofauti kwa jumla na rejareja. Na tunatafuta mtu wa kusaidia na kazi tofauti za ushonaji. Sifa 1. Awe anajua kushona (sio mwanafunzi) 2. Awe mchapakazi 3. Awe anaishi maeneo karibu na Kibamba. (Kiwanda kipo luguruni, kwahiyo tunatafuta mtu aliye kuwa karibu...
  13. S

    Nahitaji kazi yoyote, nipo Morogoro

    Habari wakuu, Nahitaji kazi yoyote kwa sasa, kiwango cha elimu yangu ni shahada ya ualimu. Ila nipo tayari kufanya kazi yoyote nipo Morogoro maeneo ya Oil Com.
  14. EINSTEIN112

    Rais Samia, bodi ya mikopo(HESLB) inakuharibia kazi

    Na Thadei Ole Mushi. Bodi ya Mikopo acheni kucheza na watanzania....huyu ni mnufaika wa Bodi ya Mikopo kwenye salary slip ya mnufaika huyu inaonekana mshahara wake baada ya kukatwa 141,000 Balance ya Deni lake lilikuwa 2,727,860. Hivyo kama angelikatwa Mwezi wa Sita Tena 141,000 balance...
  15. mama D

    Serikali, Wizara, Halmashauri, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC) mkiendelea na kazi kwa mazoea mtaendelea kuwa wahujumu uchumi namba 1

    Nchi yetu imepita kwenye mabadiliko makubwa sana ndani ya miaka sita. Kumekua na mageuzi makubwa sana kiutawala na kiuchumi tangu 2015. Kukataa kwamba mfumo uliokuwepo kabla ya 2015 ulishavunjwa na hauwezi kurudishwa ni kujidanganya, kinachotakiwa ni sasa ni kutembea na mabadiliko kwa serikali...
  16. Analogia Malenga

    DC Simalenga awasimamisha kazi viongozi wa vijiji tuhuma za wizi Songwe

    Mkuu wa wilaya ya Songwe Simon Simalenga amewasimamisha kazi viongozi wote wa kijiji cha Saza ili kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za wizi wa makinikia ya dhahabu, utawala wa mabavu na kuminya uhuru wa wananchi kujieleza, malalamiko yaliyoibuliwa na wananchi kupitia vituo vya ITV/Radio One...
  17. Civilian Coin

    Hatimaye Kolabo yangu na Wanamuziki wa kike wa MAREKANI Kama video queens imekamilika. Kazi ni mpya kabisa

  18. A

    Uzuri wa kazi ya shift

    Kazi ya shift inaweza kuwa shift ya asubuhi, mchana au usiku kutokana na ratiba inayowekwa na kiongozi. Ukiwa unafanya kazi ya shift, ni rahisi sana kuwakwepa wanao kudai. Ukipigiwa simu unasema niko kazini hakuna anaejua shift yako ya leo.
  19. Analogia Malenga

    Askofu Benson Bagonza: Kuweka nchi sawa ni kazi isiyoisha

    Askofu Dkt. Benson Bagonza, Askofu Mkuu wa kanisa la KKKT Dayosisi ya Karagwe "Nampongeza mama kwa "100 kwanza". Namwombea "100 tena" zenye maono mapana zaidi" "Haki na uhuru ni misingi imara ya kuweka nchi sawa. Ukiyaahirisha unajitwisha mzigo mzito. Dai la katiba mpya lina faida kubwa kwa...
  20. Mapondo Mapoka

    Nimepata kazi serikalini, je niondoke vipi huku private?

    Madam tajwa hapo juu yahusika sana. Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu. Naombeni ushauri wenu wakuu.
Back
Top Bottom