Mkuu wa wilaya ya Songwe Simon Simalenga amewasimamisha kazi viongozi wote wa kijiji cha Saza ili kupisha uchunguzi kuhusu tuhuma za wizi wa makinikia ya dhahabu, utawala wa mabavu na kuminya uhuru wa wananchi kujieleza, malalamiko yaliyoibuliwa na wananchi kupitia vituo vya ITV/Radio One.
Simalenga ataitisha mkutano wa hadhara tarehe 4 Julai ili kuweka bayana matokeo ya uchunguzi huo baada ya kuthibitisha uhalali wa tuhuma hizo.
Niliwahi kuandika na kusema DED wa Songwe, Das, DT, na DC ni wapigaji na wameifanya wilaya ya Songwe shamba la bibi. Bado serikali haikusikia. Sikilizeni wananchi sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.