Nimepata kazi serikalini, je niondoke vipi huku private?

Madam tajwa hapo juu yahusika sana.

Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Pima mambo mawili

1. Kiwango cha mshahara cha sasa na unapoenda

2. Usalama wa ajira yako ya sasa upoje.

Then fanya uamuzi
 
Je,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
Je,nisipoandika nikaaga kawaida au nikapiga sim tu nimeacha kazi vp
kama ulikuwa mfagia ofisi hapo sawaaa na pia inaonaekana bado upo mguu ndani mguu nje yani private unataka na serikalini unataka. Nenda kaage ukabidhi ofisii usiwe kama tapeli ofisi ilikuheshimu ondoka na heshima yako maana kiukweli hawawezi kukukatalia usiondokee….watu wanakufa leo kesho anapatikana wa kuwarithi itakuwa wewe
 
Madam tajwa hapo juu yahusika sana.

Nimekua sekta binafsi kwa miaka kadhaa sasa, hadi kufikia kupewa madaraka makubwa tu kazini. Natakiwa kwenda kuripoti na hapa niko najiuliza namna gani nzuri ya kuaga uongozi na wafanyakazi wenzangu.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Maisha sio kazi peke yake, Angalia na malengo yako mengine baada ya miaka kadhaa, angalia kipato unachoacha na kile unachoenda kupata, angalau uhuru wako wa kazi kwa sasa, chunguza uhuru utakaokuwa nao kwenye hiyo kazi unayotaka kuiendea, angalia mafanikio yako na malengo yako kwa sasa linganisha na miaka kadhaa baadaye, mfano mpaka sasa umeachieve nini? Baada ya miaka 3 au minne utakuwa wapi kwenye kazi hii, na hiyo utakayoenda kuifanya future yako ikoje?
KAZI POPOTE.
 
Back
Top Bottom