King Loto
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,573
- 1,344
Okay Kwema Wakuu Mi ninacho amini hali zetu haziko sawa katika haya maisha na wapo tuliotoka familia duni au tunaishi kwa rafiki au hata ndugu kwa masimango na manyanyaso makubwa.
Mbali zaidi wapo wanaotakwa Kingono ili wapewe kazi kwa hawa kina dada zetu na kina kaka siku hizi japo kwa uchache mtu sawa na mama yako anaweza kukutaka umridhishe haja yake, .........hii hutokea kwa house boy, wachoma chipsi mtaani, na wafanya usafi wa bustani. (Mambo yote haya hayapendezi na hayana heri) japo mara chache unaeza bahatika kupata mwajiri au kiongozi muelewa uwapo kazini kwako.
Wanajukwaa nisiandike sana wacha nilenge kilichonileta hapa.
Mimi ninatafuta kijana wa kazi ya kuuza vinywaji aina ya vilevi na visivyo vilevi yaani ( Bar/ Grocery attendant), nafasi moja (1)
eneo la kazi ni Moshi Kilimanjaro.
Sifa zake
1. jinsia yoyote ilimradi awe tayari kukubali mazingira ya kazi.
2. Umri wake awe na angalau miaka 18+ na asizidi miaka 40.( Awe kijana).
3. Ningependelea awe mkaaji wa Moshi, Boma Ng'ombe, Arusha, Tanga, Babati, Karatu, Singida, Same, na Mwanga.
4. Awe wazi kueleza aliwahi kuwajibika na kazi zipi huko nyuma kabla ya kupatiwa hii hapa.
5.Malazi (sehemu pakulala) nitampa mimi pamoja na Chakula.
6. Asiwe mtumiaji wa Kilevi cha aina yoyote au awe mnywaji lakini asiyekunywa kupindukia kiasi.
7. Awe ni mtu wa Kauli kwa kila mteja.
8. Awe mvumilivu na asiyejibizana na wateja (awe msikivu).
Nipo tayari kumsaidia yeyote bila kuangalia jinsia kama ni kijana wakiume tutafanya kazi vizuri tu, kama ni wakike vile vile maana hapa kuna harakati nyingi na kazi zitaongezeka kila siku zinavyo kuja.
Malipo ya Kazi.
Malipo huwa tunalipana kwa kamisheni (Jinsi mauzo yatavyo kuwa yamefanyika). Sitakuwa na mshahara wa mwezi.
Kwenye PM yako nitaomba kama unaweza kuniandikia vitu hivi, basi andika
1. Majina yako.
2. Unaishi wapi kwa sasa.
3. Umri wako pamoja na jinsia yako.
4. Kazi yako kwa sasa kama huna sema sina.
6. Una wazazi au huna.
7. Unataka mshahara wa kiasi gani?(siyo lazima useme).
8.Andika wewe ni mwenyeji wa wapi?
Taarifa hizi ukinipatia zinanisaidia mimi nisiulize maswali mengi kuhusu wewe unayeomba kazi.
Karibu PM kama una huhitaji wa kufanya kazi hii, If interested PM King Loto
Mbali zaidi wapo wanaotakwa Kingono ili wapewe kazi kwa hawa kina dada zetu na kina kaka siku hizi japo kwa uchache mtu sawa na mama yako anaweza kukutaka umridhishe haja yake, .........hii hutokea kwa house boy, wachoma chipsi mtaani, na wafanya usafi wa bustani. (Mambo yote haya hayapendezi na hayana heri) japo mara chache unaeza bahatika kupata mwajiri au kiongozi muelewa uwapo kazini kwako.
Wanajukwaa nisiandike sana wacha nilenge kilichonileta hapa.
Mimi ninatafuta kijana wa kazi ya kuuza vinywaji aina ya vilevi na visivyo vilevi yaani ( Bar/ Grocery attendant), nafasi moja (1)
eneo la kazi ni Moshi Kilimanjaro.
Sifa zake
1. jinsia yoyote ilimradi awe tayari kukubali mazingira ya kazi.
2. Umri wake awe na angalau miaka 18+ na asizidi miaka 40.( Awe kijana).
3. Ningependelea awe mkaaji wa Moshi, Boma Ng'ombe, Arusha, Tanga, Babati, Karatu, Singida, Same, na Mwanga.
4. Awe wazi kueleza aliwahi kuwajibika na kazi zipi huko nyuma kabla ya kupatiwa hii hapa.
5.Malazi (sehemu pakulala) nitampa mimi pamoja na Chakula.
6. Asiwe mtumiaji wa Kilevi cha aina yoyote au awe mnywaji lakini asiyekunywa kupindukia kiasi.
7. Awe ni mtu wa Kauli kwa kila mteja.
8. Awe mvumilivu na asiyejibizana na wateja (awe msikivu).
Nipo tayari kumsaidia yeyote bila kuangalia jinsia kama ni kijana wakiume tutafanya kazi vizuri tu, kama ni wakike vile vile maana hapa kuna harakati nyingi na kazi zitaongezeka kila siku zinavyo kuja.
Malipo ya Kazi.
Malipo huwa tunalipana kwa kamisheni (Jinsi mauzo yatavyo kuwa yamefanyika). Sitakuwa na mshahara wa mwezi.
Kwenye PM yako nitaomba kama unaweza kuniandikia vitu hivi, basi andika
1. Majina yako.
2. Unaishi wapi kwa sasa.
3. Umri wako pamoja na jinsia yako.
4. Kazi yako kwa sasa kama huna sema sina.
6. Una wazazi au huna.
7. Unataka mshahara wa kiasi gani?(siyo lazima useme).
8.Andika wewe ni mwenyeji wa wapi?
Taarifa hizi ukinipatia zinanisaidia mimi nisiulize maswali mengi kuhusu wewe unayeomba kazi.
Karibu PM kama una huhitaji wa kufanya kazi hii, If interested PM King Loto