Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,576
- 217,940
Wakuu , Tunaomba radhi sana kutokana na usumbufu wa Taarifa zetu nyingi sana kuhusiana na Operesheni haki , mtusamehe sana , hatuna namna ya kufanya zaidi ya kuwahabarisha jambo hili muhimu.
Leo tena kampeni hii muhimu imefika unguja ambako Abubakar Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya mafunzo na majadiliano , akishirikiana na viongozi wengine , Salum Mwalimu, Benson Kigaila na John Mrema.
Leo tena kampeni hii muhimu imefika unguja ambako Abubakar Mbowe anatarajiwa kuongoza vikao vya mafunzo na majadiliano , akishirikiana na viongozi wengine , Salum Mwalimu, Benson Kigaila na John Mrema.