Mimi nina umri wa miaka 23 mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili
Nipo dar-es-salaam
Nimepitia jkt
Nina ufaulu wa division I-9
Niko pia vizuri kwenye kutumia computer
Nilikua naomba kazi yoyote itakayoniingizia pesa maana maisha yamekuwa magumu nimesimama masomo na pia changamoto ya ada...
Kumekuwa na tuhuma nyingi sana za jeshi la polisi kuua kutesa na kupiga watuhumiwa. Lakini hatujawahi kusikia Igp au waziri Simbachawene akichukua hatua za kuwafuta kazi hawa askari wanaokiuka sheria za nchi.
Kisa cha familia moja huko mkoani Mbeya kukataa kuzika kijana wao zaidi ya mwaka...
Nikiri niliwahi kupoteza Imani na Mnyika kipindi Dr. Slaa anatimkia CCM Kwa mgongo WA kuachana na siasa. Nilidhani kijana huyu atasaliti dhamira na Imani ya Watanzania dhidi yake lakini niombe radhi nilimwazia vibaya.
Kati ya watu waliosimama Katika mazingira magumu ni huyu kijana. Alisimama...
Afya ya Rais ni muhimu.
Kazi ya Urais ni ngumu,
kiongozi wa nchi halali isipokuwa masaa mchahe sana,
wakati mwingine analala akiwa safarini,
wakati wote kiongozi anapokea taarifa mpya kutoka ndania na nje ya nchi,
Wakati wote atatakiwa kutatua changamoto au kutoa maelekezo,
yamkini asipate muda...
Mfahamu Mohamed Said mdau wa JF ambe ni JF expert Member tangu 2008
Mohamed Said Salum (alizaliwa tarehe 25 Februari, 1952, Gerezani, Dar es Salaam) ni mwandishi na mwanahistoria kutoka nchini Tanzania. Ametunga vitabu mbalimbali, lakini anafahamika zaidi kwa kitabu chake cha "Maisha na Nyakati...
Assalam aleyqum Ndugu mwana jamvi!
ningependa moja moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, anatakiwa mtu wa phamarcy kwa ngazi ya certificate eneo la kazi dar es salam..kwa maelezo zaidi na majadiliano karibu PM
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 21
Nmemaliza chuo Cha Excellence college of health and allied sciences mwaka huu
Diploma in pharmaceutical
Nlkuwa natafuta kazi ya pharmaceuticals dispenser Dar es salaam
Mwenye connection naomba ani pm
CONTACT
+255 713 438 532
Kama umesomea fani ya maabara, una vyeti stahiki, umesajiliwa na baraza na una cheti cha usajili, ni muaminifu na mchapa kazi, unahitaji kazi na uko dar nicheki PM haraka nikupe connection.
Asante.
Nimesoma degree ya Education.(Ualimu).
Nimesoma ualimu wa Historia na Kiingereza.
Natafuta kazi ya ualimu au kazi yoyote ile ambayo ni halali.
Niko tayari kwenda mkoa wowote ule hata Kigoma.
Habarini wakuu kama kichwa cha habari kinavosema mimi ni kijana mwenye miaka 22 nimesoma hadi ngazi ya certificate in community health
Natafuta kazi katika mashirika binafsi (NGO) yanayoshughulikia masuala ya kijamii hata Kwa kujitolea kwa ujumla naweza fanya kazi kama social worker pia...
Naomba nieleweke hii sasa inachosha sana leo tulikuwa ofisini posta umeme umekatika sana aese! Tunaomba maintanance inapofanyika ufanyike pia utaratibu wa kutangaza maeneo yatakayoathiriwa kutokana na matengenezo! Saizi mnakata shagarabagara, wananchi hawana tatizo na umeme kukatika ila kwa...
Mimi kijana mwenye miaka 29 natafuta kazi yeyote kuhusu elimu mi degree holder, lakini njaa haijui Mambo ya degree.
Nahitaji kazi yeyote iwe halali au haramu. Naweza fanya sales and marketing KUTOKANA na experience ya miaka 3 niliyowahi kufanya kazi Huko nyuma.
Niko morogoro
Nikisema haramu...
watu wanadai kuna kusamehewa kwa Mbowe. hakuna kusamehewa. asamehewe kwani amekosea nini? haki itendeke na ionekane imetendeka. tujue mbivu na mbichi ni zipi. kuepusha hali ya kufunika kombe mwanaharamu apite. unaposema asamehewe unatakiwa kujiuliza wa kosa gani? aachiwe huru kwa vigezo gani...
Naam kuna kakikundi kapo twiter kanaongozwa na binti wa waziri mstaafu profesa wa kijaluo, pia kuna jamaa lingine laitwa MMM na mwingine Ole mtetea na wngineo. Swali la kujiuliza hawa watu wanaojidai kupigania demokrasia mbona wao hawaheshimu uhuru wa wenzao kujieleza?.
Wanapenda maoni yao...
Habari!
Naomba mnisaidie kupata kazi wana jf, nimehitimu diploma ya masomo ya banking and finance lakini sijafanikiwa kupata kazi, ninaweza kazi za bank, assistant accountant pia nimekuwa cashier Kwa wakala wa Mabasi yaendayo kasi DAR (DART)
Nipo DAR ES SALAAM naomba mnisaidie kupata kazi...
JOBS VACANCY
Clinical Assistant at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS)
Advisor – ART Retention and Community Based Health Service Delivery (6 Posts) at MDH DECEMBER 2021
Advisor – HTS & HIV Prevention Service Delivery (6 Posts) at MDH DECEMBER 2021
Advisor –...
JOBS DAR ES SALAAM
Cargo Sales Officer (2 Posts) at ATCL December, 2021 - New!
IT Support Officer Jobs Vacancy at Watu LTD Decmber 2021
Manager – PMTCT/EID/Pediatric HIV Service Delivery (1 Post) at MDH DECEMBER 2021
PLUMBER II - POSTS at Marine Services Company Limited December 2021
ARTISAN...
Nafasi tajwa hapo juu zinahitaji watu.
Mshahara ni Tsh. 300,000.
Mahali ni Moshi Kilimanjaro.
Kama upo interested, tuma cv kwa info@starrich.co.tz
NB. Onyesha kazi uliyoomba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.