MBUNGE WA JIMBO LA MOROGORO MJINI ALAANI VIKALI UKATILI ULIOFANYWA DHIDI YA MAMA MJASILIAMALI.
Mhe. Abdulaziz M. Abood Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini mapema hii leo amefika wodini Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro alipolazwa Mama Bi Aziza Juma Mjasiliamali ndogondogo mara baada ya...
Kati ya album ambayo unatakiwa kuisikiliza ukiwa na Mtoto mzuri Ghetto nakushauri uweke album ya Ed Sheeran -Divide umo ndani Albino kaimba mapenzi balaa yaani Mtoto atajikuta karopoka I love you na kapanda kitandani bila Kutumia nguvu.
Umo ndani Kuna mikwaju hatari sana kama vile
1. Perfect...
Hii Nchi sijui tunaelekea wapi.Walimu zaidi ya 100 wameenda semina ya kusimamia Mtihani wa kitaifa wa Kidato cha nne unaotaratijia kuanza November 13, 2023.
Cha ajabu karibu walimu 54 mpaka sasa hawajapata barua kujua vituo watavyosimamia huku Mafsa Elimu kata wakiwa kimya. Hao hao maafsa Elimu...
Ni yule mwanamuziki bora wa muda wote toka pande za states mwamba Christopher Maurice Brown maarufu kama Chris Brown au Breezy.
Amewashushia neema mashabiki zake kwa kuwa patia album funga mwaka kama alivyo ahidi mwenyewe kuwa mwezi wa 11.2023 ataachia na bila kusita mtaalamu Breezy kawapa...
Mfanyabiashara maarufu nchini, Mzee Azim Dewji amezungumza na vyombo vya habari kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuruhusu mjadala wa ripoti ya CAG unaoendelea bungeni kuwa mjadala wa wazi, amesema uwazi huo utasaisia wezi wa pesa za miradi kuacha tabia hiyo
Kwa upande mwingine...
Wanaukumbi.
Ukiristo hauna nafasi nchini Israeli, hatua kali kuchukuliwa kwa wale wote watakaosambaza maudhui yanayomtaja Yesu Kristo nchini Israel ni marufuku.
Sikiliza vizuri yaliyomo kwenye video hii, usinishambulie mimi nimeleta kama ilivyo
Kwa mujibu wa Shirika la Takwimu la Central...
Liberals na policies zao za kufungua dunia. Immigration policies mbovu za mataifa haya kwa kudhani kupokea watafutao maisha bora, asylum na hifadhi kwamba wata adapt na misingi ya west kumbe walikuwa wanajidanganya.
Sasa leo mzungu ni wa kuzaa watoto wawili au mmoja na pengine kutozaa kabisa...
"when you are in rome, do what romans do"
Unajua cha kushangaza kuhusu hawa jamaa ni misamamo yao. Msimamo wao mkuu huwa ni wazungu, wakristo na wayahudi ni jamii ya watu wasiofaa kabisa.
Lakini cha ajabu ni kwamba wanapopata matatizo nchi zao hizi mahala pa kwanza pa kukimbulia huwa ni...
TUNAWEKA GAMES PS4 PS3 PS2 PC XBOX GAMES 0710701361
FIFA14 PATCH 24 OFFICIAL KWA PC INAPATIKANA🔥🔥🔥
INAHITAJI RAM 4GB NA PROCESSOR KUANZIA 2...GHZ
PES 17 PATCH 24 KWA AJILI YA PC INAPATIKANA 🔥🔥🔥
PC INATAKIWA KUWA NA 4GB RAM PROCESSOR ANGALAU YA 2...GHZ ,60GB STORAGE.
PIA PES 24 YA PS4 ZA...
Ngoja nikuambie vyema mpendwa kama hautaki kuelewa basi bishana na mizimu ya nyumbani kwenu.
Hakika njia iliobaki kipindi waasisi wenu wanaijenga imani yenu na kuisambaza ilikuwa ni force na intimidation.
Kipindi Muhamad anaanzisha imani yenu aliwahakikishia imani nyingine za uyahudi na...
Wakuu unaweza kutana na pisi kali sana njia lakini inatembea na kuisimamisha tu inaeza ikachana mkeka ukaibika sana, maana saa nyingne unakuta ni mazingira yana watu.
Ofcoz inakuwaga mziki sana kuanzisha maongezi kwenye mazingira kama haya, ningependa kwa mwenye trick atusaidie.
Itikadi kali mnachekesha sana na hakuna watu wanafiki zaidi ya nyie duniani. Mnakaaga na kuwasema vibaya nchi za magharibi na kuwaita makafir lakini pale inapotokea matatizo makubwa nchini mwenu hizo zilizojaa fujo sehemu ya kwanza kukimbilia huwa ni USA, UK, Germany, France, etc.
Sasa mmejaa...
Nimeanza kusikiliza Gengetone. Naburudika, nacheka na kushangaa. Msaada wa gengetone kali kali. Natanguliza shukrani.
https://youtu.be/kfzc-JOotH0?si=UrWSjEj8YvAph9lE
Ikatokea mwanaume amemwaga manii kwenye taulo ambalo muda mchache baadae mwanamke akalitumia kukaushia uke wake.
Kuna uwezekano akapata ujauzito kupitia taulo hilo?
Kwema Wakuu!
Bila kujadili ubora na udhaifu wao yaani Makonda na Januari. Kitu pekee ambacho nimekiona ni kuwa Wananyota Kali Sana.
Moja ya dalili ambayo itakuonyesha wewe au mtu fulani ananyota kali basi ni mambo mawili tuu, Moja kusemwa Sana iwe kwa Mazuri au kwa Mabaya.
Kusemwa sana...
Kuna hizi ngoma kali mbili za hawa miamba kutoka Congo Associe ya Fally Ipupa na 100 kilos ya Ferre Gola.
Mbivu na mbichi itajulikana. Ni ngoma ya mkali gani imenyooka vizuri upande wako kati ya
Associé - Fall Ipupa
[Intro]
Assoc, associé
L'empereur Tchatcho Mbala Kashogi
Ba diamants ebele...
Huku wakisaini waraka, Wanazuoni nchini, ambao ni Wahadhiri nguli wamelaani Vikali Occupation ya Waisrael kwa Wapalestina iliyodumu kwa miaka zaidi ya 75, inatopelekea Ghasia zisizoisha huko Palestine.
Wanazuoni wanasema kuwa wameshtushwa na ukatili endelevu wa Israel kwa watu wa Palestine...
Kwa wafuatiliaji wa mitandao hasa kule X na habari za Palestine na Israel, binafsi nasoma kidogo kwa wabongo alafu naenda kwa walio karibu na eneo husika.
Ni hivi; kuna jamaa naona ni Mmarekani anaitwa Jackson Hinkle huyu jamaa anashabikia sana habari za mauaji yanayofanywa na IDF na kuna...
Top 50 war movies.
1. Saving Private Ryan (1998)
2. Apocalypse Now (1979)
3. Full Metal Jacket (1987)
4. Platoon (1986)
5. Black Hawk Down (2001)
6. Das Boot (1981)
7. The Thin Red Line (1998)
8. Paths of Glory (1957)
9. Hacksaw Ridge (2016)
10. 1917 (2019)
11. Dunkirk (2017)
12. Patton...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.