BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
DAWASA tunawashukuru sana kwa kuanza kurejesha huduma ya Maji baada ya kukatika kwa muda mrefu huku mkieleza chanzo ilikuwa kurekebisha mitambo ya machujio ya tope. Lakini sasa kuna jipya, maji yenu yanakuja harufu kali sana ya Dawa za kutibu maji kiasi kwamba hata ladha ya maji imepotea.
Sasa swali langu hizo dawa ni salama kiasi gani kwa watumiaji? msije kutusababishia Kansa za matumbo jamani.
Pia soma:
- KERO - Wakazi wa Mbezi Beach tunapata maji ya bomba machafu, na yana harufu mbaya. Mlipuko wa magonjwa unakuja
Sasa swali langu hizo dawa ni salama kiasi gani kwa watumiaji? msije kutusababishia Kansa za matumbo jamani.
Pia soma:
- KERO - Wakazi wa Mbezi Beach tunapata maji ya bomba machafu, na yana harufu mbaya. Mlipuko wa magonjwa unakuja