Kyambamasimbi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 570
- 1,229
Tujikumbushe Movie Pendwa na mabanda umiza ya video wakati huo miaka ya 80-90 wa screen chogo na VHS. Nakumbuka wakati nikiwa Mbeya Kuna sehemu ilikuwa inatwa kwa Mponzi watu walikuwa wanavaa hata hewa hamna sehemu nyingine panaitwa K.K.K kwa Mzee mmoja alikuwa anaitwa Mwakilembe ya Yasini huko ili tuangalie Movie lazima ukakate nyasi za ngo'mbe unaangalia picha moja. Morogoro mjini Kuna sehemu palikuwa panaitwa Shani Cenema Yaani sio mchezo. Kumbuka movie Kama Lotha, Andha kanun, Bruce Lee, Ngoswe. Yaani japo ilikuwa shida ila tulienjoy. Wewe unakumbuka wapi?