Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 5,897
- 10,358
Salaam wakuu,
Kila mwaka wenzetu Zanzibar wamekuwa wakipata visa vya vifo kutokana na ulaji holela na usio makini wa KASA. Tukiendelea kuendekeza hili suala tutajikuta kila mwaka tunapoteza nguvu kazi nyingi tena za familia moja kutokana na ulaji wa huyu kiumbe.
Ni vyema mamlaka za Zanzibar na Tanzania Bara zikapiga marufuku utumiaji wa kasa kama kitoweo, yeyote atakayebainika kuvua na kutumia kasa basi apewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine.
Kwa kuanzia, ni vyema mamlaka zikatilia mkazo sheria ya kasa kuwa nyara ya Serikali (Government Trophy) hivyo ni marufuku kuvua na kumtumika kama kitoweo.
Naamini Serikali ikiisimamia sheria hii vizuri, itasaidia kupunguza vifo vitokanavyo na ulaji kasa unaopelekea vifo vya watu hasa familia moja, eneo moja kwa wakati mmoja .
Pia soma
Kila mwaka wenzetu Zanzibar wamekuwa wakipata visa vya vifo kutokana na ulaji holela na usio makini wa KASA. Tukiendelea kuendekeza hili suala tutajikuta kila mwaka tunapoteza nguvu kazi nyingi tena za familia moja kutokana na ulaji wa huyu kiumbe.
Ni vyema mamlaka za Zanzibar na Tanzania Bara zikapiga marufuku utumiaji wa kasa kama kitoweo, yeyote atakayebainika kuvua na kutumia kasa basi apewe adhabu kali sana ili iwe fundisho kwa wengine.
Kwa kuanzia, ni vyema mamlaka zikatilia mkazo sheria ya kasa kuwa nyara ya Serikali (Government Trophy) hivyo ni marufuku kuvua na kumtumika kama kitoweo.
Naamini Serikali ikiisimamia sheria hii vizuri, itasaidia kupunguza vifo vitokanavyo na ulaji kasa unaopelekea vifo vya watu hasa familia moja, eneo moja kwa wakati mmoja .
Pia soma
- Zanzibar: Watu Watano wafariki, 12 wamelazwa baada ya kula Samaki aina ya Kasa
- Pemba: RC KAS PEMBA athibitisha Idadi ya waliofariki kwa kula KASA yafikia 6, waliofikishwa Hospital kuchunguzwa 63
- Mafia: Watu 7 wafariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa
- Kwanini watu wanakula Kasa licha ya wengine kufa kwa sumu waliyonayo?
- Elimu ya kutosha itolewe kuepusha vifo vitokanavyo na ulaji wa kasa
- Familia yapoteza watoto watano kwa kula samaki mwenye sumu
- Watu 6 wafariki dunia kwa kula samaki aina ya kasa