The dumb Professor
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 660
- 1,401
Wataalam,
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.
Asiwadanganyeni mbwa yeyote kukaa kwa baba mkwe jau sana...Hii nyumba nayoishi masaki ni ya baba mkwe, Sasa juzi kati luku iliisha nikampigia kumuomba anunulie nyumba yake umeme,looh hayo maneno niliyomwagiwa ni heri kumwagiwa maji ya ukoko.
Sasa kwa hasira nachofanya mshahara ukitoka tu, nina mpango wa kuhama hapa nitafute ghetto la kukaa kisingle boy. Na binti yake ntamuacha.
Sijawahi kupanga hapa Tanzania na Sina experience yoyote ya vyumba huku vikoje. Maana nilipomaliza high school nkaenda kusoma nje na nimerudi juzi tu nikaanza kukaa kwa baba mkwe.
Hiyo 2M ni ya mshahara utakaotoka mwezi huu.
Sasa wakuu naombeni mnipe mbinu niipangiliaje hiyo hela nipate Kodi ya ghetto(maeneo karibu na posta/daladala moja) pia na vitu vya kuanzia ndani.
ili hata nikiingiza mrembo akipaona anase/agandie.
(Maana huyu Binti niliye naye Nina mpango wa kumbwaga nikihama kwao.)
NB:Kitanda na godoro ninavyo. Hapo hio hela ni ya Kodi na mazagazaga mengine ya kupendezesha ghetto.