Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,017
- 12,310
Throwback hii hapa kwaju wa demu wangu wa Mchizi Mox ft Ngwair nani alipiga verses kali na aliflow kinyamwezi
For me naenda na mwanangu Ngwair aliumiza sana humu ndani hasa kile kipande cha "niguse niku chanechane na viwembe" nakikubali sana.
Wewe kwako nani aliumiza humu ndani?
For me naenda na mwanangu Ngwair aliumiza sana humu ndani hasa kile kipande cha "niguse niku chanechane na viwembe" nakikubali sana.
Wewe kwako nani aliumiza humu ndani?