A
Anonymous
Guest
Kuna tatizo tunaomba Serikali, Jamii na hasa mamlaka husika zifahamu ili hatua zichukuliwe, ni kuhusu kero ya joto kutokana na msongamano wa watu Kivukoni Jijini Dar es Salaam.
Abiria tunaotumia vivuko tunapata shida sana wakati wa kusubiri Kivuko kwenye lounge kutokana na joto kali linalotokana na msongamano wa watu.
Nashauri waweke hata feni maana watu wanajazana sana na joto kali, feni zilizopo hazifanyi kazi, sijui hata pesa zinazopatikana zinafanyiwa nini!
Abiria tunaotumia vivuko tunapata shida sana wakati wa kusubiri Kivuko kwenye lounge kutokana na joto kali linalotokana na msongamano wa watu.
Nashauri waweke hata feni maana watu wanajazana sana na joto kali, feni zilizopo hazifanyi kazi, sijui hata pesa zinazopatikana zinafanyiwa nini!