Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020.
Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea
I will miss you all
Habari ya leo wanaJF,
JamiiForums ina zaidi ya members 500k ambao kwa pamoja wamechangia zaidi ya threads (nyuzi) 1.3M huku posts zikiwepo zaidi ya 13M. Lengo letu kwa leo sio kufahamu idadi ya members wa JF bali ni kujua top 10 threads / nyuzi zenye wasomaji / wachangiaji wengi zaidi. Hii...
Wanabodi,
Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kulianzisha kwa mwaka huu humu jf, naomba nianze kwa kuwatakia Heri ya Mwaka Mpya.
Kwa wenye access na Star TV, Mkurugenzi wa Jamii Forums, Mkuu Maxence Melo, atakuwa Live on Star TV, kuanzia saa 2:00 asubuhi hii kwenye kipindi Jicho Letu...
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA.
Dar es Salaam. 06 Januari, 2020
Kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Jamii Forum ambazo bila kuchanganua zinatuhumu kwamba...
Niwatakie Happy New Year wote. Mwaka huu uwe mwaka wa mafanikio kwa kila Mwanajamiiforums. Tujielekeze katika kuelemisha jamii na kutoa ushauri kwa kila jambo ambalo lina manufaa. Tujiepushe na matusi na udhalilishaji kwa jamii. Tupendane na kushirikiana katika kila jambo. Narudia tena HAPPY...
Top 20 ya members wenye meseji nyingi kuliko wote jamii forums
1. RUTASHUBANYUMA(JF-Expert member)
Message: 169,603
2. NUMBISA( JF-Expert member)
Message: 151,963
3. MSHANA JR(platnum member)
Message: 127,933
4. SHUNIE(JF-Expert member)
Message: 118,537
5. SHIMBA YA BUYENZE( JF- Expert...
Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza...
BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika
Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Hi,
I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind...
Mimi ni kijana wa miaka 16 ndo nimemaliza elimu ya kidato cha nne ndio nasubiri matokeo hapo mwezi January,lakini wakati nasubiri matokeo nilwapa wazo wenzangu la kufungua Eatery,sasa shda inakuja ni jinsi gani haswa tutafanya promotion on our eatery and products cause ndo tunataka tuanze tu,na...
Ndug wana Jf nimeileta Mada hii kusudi tuweze kuchambua, kwa kina kuhusu elimu zitolewazo shuleni na vyuoni ni kwa kiwango gani kinawasaidia wanafunzi kuwa na uwezo binafsi wa kufikiri na kuweza kkuchambua na kutatua changamoto mbalimbali wanazokutana Nazo katika maisha yao ya kila siku.
Na...
Africa
SUSPENDED REALITY
Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks”
Abdi Latif Dahir
December 12, 2017
Not so rosy presidency. (AP Photo/Khalfan Said)
Dar es Salaam
Maxence Melo is a man who knows the insides of Tanzania’s courthouses all too well.
In...
Wakuu,
Nimeona kupitia Twitter ya JamiiForums wakitoa taarifa kuwa kesho ndiyo siku ya hukumu ya Kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Jamii Media dhidi ya Jeshi la Polisi na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa matumizi mabaya ya Sheria ya Makosa ya Mtandao.
Sababu za kufunguliwa kesi...
Jamii Forums Founder, Maxence Melo has been charged with three offences before a court in Dar es Salaam, Tanzania. The charges are:
1: Management of a domain not registered in Tanzania under Section 79(c) of the Electronic and Postal Communications Act (2010).
2: Obstruction of investigations...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.