jamii forums

  1. YEHODAYA

    Yehodaya nawaageni jamii forums nitakuwa masomoni tutaonana Sept.2020

    Wakuu jamii forums leo ndio siku yangu ya mwisho humu nawaaga nitakuwa busy sana masomoni hamtaniona humu jukwaani hadi september 2020. Mlionikosea nawasamehe bure kwa sharti na ninyi mnisamehe bure nilipowakosea I will miss you all
  2. Kibuje

    Top 10 threads zenye wasomaji / wachangiaji wengi zaidi kwenye Jamii Forums

    Habari ya leo wanaJF, JamiiForums ina zaidi ya members 500k ambao kwa pamoja wamechangia zaidi ya threads (nyuzi) 1.3M huku posts zikiwepo zaidi ya 13M. Lengo letu kwa leo sio kufahamu idadi ya members wa JF bali ni kujua top 10 threads / nyuzi zenye wasomaji / wachangiaji wengi zaidi. Hii...
  3. Pascal Mayalla

    TV Program Alert: Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo Live on Star TV - Watch Live On Line!.

    Wanabodi, Kwa vile hili ndio bandiko langu la kwanza kulianzisha kwa mwaka huu humu jf, naomba nianze kwa kuwatakia Heri ya Mwaka Mpya. Kwa wenye access na Star TV, Mkurugenzi wa Jamii Forums, Mkuu Maxence Melo, atakuwa Live on Star TV, kuanzia saa 2:00 asubuhi hii kwenye kipindi Jicho Letu...
  4. S

    Hospitali ya Taifa Muhimbili yajibu hoja za Wana JamiiForums kuhusu vifo Hospitali ya Muhimbili-Mloganzila

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU TUHUMA ZINAZOSAMBAA MITANDAONI KWAMBA WAGONJWA WENGI WANAPOTEZA MAISHA KATIKA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI-MLOGANZILA. Dar es Salaam. 06 Januari, 2020 Kumekuwa na taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikiwemo Jamii Forum ambazo bila kuchanganua zinatuhumu kwamba...
  5. K

    HAPPY NEW YEAR WANA JAMII FORUMS

    Niwatakie Happy New Year wote. Mwaka huu uwe mwaka wa mafanikio kwa kila Mwanajamiiforums. Tujielekeze katika kuelemisha jamii na kutoa ushauri kwa kila jambo ambalo lina manufaa. Tujiepushe na matusi na udhalilishaji kwa jamii. Tupendane na kushirikiana katika kila jambo. Narudia tena HAPPY...
  6. omugabire

    Top 20 ya JamiiForums

    Top 20 ya members wenye meseji nyingi kuliko wote jamii forums 1. RUTASHUBANYUMA(JF-Expert member) Message: 169,603 2. NUMBISA( JF-Expert member) Message: 151,963 3. MSHANA JR(platnum member) Message: 127,933 4. SHUNIE(JF-Expert member) Message: 118,537 5. SHIMBA YA BUYENZE( JF- Expert...
  7. vvm

    Tunaiomba jamii forums ndani ya kai ios

    Habari, leo nimenunua kitochi janja kiukweli kipo simple na kinacover mambo mengi compare na kitochi jinga cha nokia, ili nikifahamu vizuri ilibidi nimeweka smartphone langu kubwa kwenye droo na kwakweli sijalimiss sana..Ila Kwenye hili pilau pendwa kilichomiss ni jamiiforums app, ingependeza...
  8. J

    BBC waipongeza JamiiForums, wadai ndio tegemeo pekee la habari za uhakika nchini Tanzania, wampongeza Melo na watendaji wake

    BBC wameipongeza JamiiForums kwa kuwa kimbilio la wananchi kupata habari za ukweli na uhakika Sasa Maxence Melo anahojiwa mubashara kuhusu tuzo anayoipokea nchini Marekani. Chanzo: BBC Dira ya Dunia
  9. Paula Paul

    Bookworms of JF, what's your favorite book (s) and why?

    Hi, I used to think that reading was boring until I found books that really sparked my interest. Reading became important to me because it’s fun and it teaches me new things. It keeps my mind active and inshape and it makes a difference for me if I go long periods without reading books, my mind...
  10. Ally ucher

    Udogo ni kipimo cha mafanikio???

    Mimi ni kijana wa miaka 16 ndo nimemaliza elimu ya kidato cha nne ndio nasubiri matokeo hapo mwezi January,lakini wakati nasubiri matokeo nilwapa wazo wenzangu la kufungua Eatery,sasa shda inakuja ni jinsi gani haswa tutafanya promotion on our eatery and products cause ndo tunataka tuanze tu,na...
  11. T

    Je, Elimu inayotolewa katika shule za misingi, sekondori na vyuo inawasaidiaje wanafunzi kujijengea uwezo binafsi WA kufikiri???

    Ndug wana Jf nimeileta Mada hii kusudi tuweze kuchambua, kwa kina kuhusu elimu zitolewazo shuleni na vyuoni ni kwa kiwango gani kinawasaidia wanafunzi kuwa na uwezo binafsi wa kufikiri na kuweza kkuchambua na kutatua changamoto mbalimbali wanazokutana Nazo katika maisha yao ya kila siku. Na...
  12. Madam Lucky

    Naitwa Madam Lucky

    Naitwa Madam Lucky, nipo Karagwe ni muimbaji wa gospal, youtube: Madam Lucky, instagram: Madam Lucky, facebook: Luck MamaAtukuzwe, whatsap 0769001974/0784297973. Naomba support yako mpendwa na Mungu atakubariki
  13. Aloyce Mkwizu

    THE AIM.

    Tag a friend with same aim. #jamii forums.
  14. Geza Ulole

    Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks”

    Africa SUSPENDED REALITY Tanzania’s anti-corruption government is stifling the “Swahili Wikileaks” Abdi Latif Dahir December 12, 2017 Not so rosy presidency. (AP Photo/Khalfan Said) Dar es Salaam Maxence Melo is a man who knows the insides of Tanzania’s courthouses all too well. In...
  15. Roving Journalist

    Hukumu Kesi ya Kikatiba ya Jamii Media: Mahakama yakiri Sheria Makosa ya Mitandao inahitaji kanuni

    Wakuu, Nimeona kupitia Twitter ya JamiiForums wakitoa taarifa kuwa kesho ndiyo siku ya hukumu ya Kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na Jamii Media dhidi ya Jeshi la Polisi na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa matumizi mabaya ya Sheria ya Makosa ya Mtandao. Sababu za kufunguliwa kesi...
  16. Queen V

    Maxence Melo Charged with Obstruction of Investigations and Operating a Domain Not Registered

    Jamii Forums Founder, Maxence Melo has been charged with three offences before a court in Dar es Salaam, Tanzania. The charges are: 1: Management of a domain not registered in Tanzania under Section 79(c) of the Electronic and Postal Communications Act (2010). 2: Obstruction of investigations...
Back
Top Bottom