Collins Munuo
Member
- Jul 29, 2021
- 10
- 6
Samahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa? ๐๐๐๐ค๐ค
japo kozi ni ngumu ๐ข pia ajira ni changamoto hasa hapa bongo lakini ukitoboa utakuja kunishukuru ๐, inakuwa tamu Sana Kama ukidhamiria kupiga shule hadi masters na kuendelea kwa sababu bsc in physics ni in general pia hata specialization zake hazina uzito kwa upande wa degree nahisi mnanielewa wale waliograduate hi kitu.Samahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa? ๐๐๐๐ค๐ค
Unakuwa Mwanafizikia ondoa shaka MkuuSamahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa? ๐๐๐๐ค๐ค
Me finalist mwaka huu namaliza nasoma hiyo kozi mdogo wangu.Samahani wakubwa Hivi hii Kozi ya Bachelor of Science in Physics pale UDOM mtu akisoma anakuwa nani maana kila nitakayemuuliza ananiambia hapo ni ualimu naomba mnisaidie hapa?
Unampiga mweleka wa hali ya juu sana. Hakuna mtu ataenda soma Nuclear Physics kwa kutokea hiyo kozi hapa nchini. Kusoma hiyo kozi moja kwa moja kunaashiria huna hela na huna ufaulu wa juu. Bila hivyo vitu Nuclear Physics kwa bongo utaisomea magazetiniBado ni changamoto sana nchi yetu.Lakini unaweza kusoma Kwa ajili ya kufanya specialization baadaye.Unaweza MEDICAL PHYSICS /NUCLEAR PHYSICS.Miongoni mwa wasomi wa nuclear Physics ni pamoja na Dr.Mohammed Gharib
USISEME JAMBO HAUNA UHAKIKA NALO;Unampiga mweleka wa hali ya juu sana. Hakuna mtu ataenda soma Nuclear Physics kwa kutokea hiyo kozi hapa nchini. Kusoma hiyo kozi moja kwa moja kunaashiria huna hela na huna ufaulu wa juu. Bila hivyo vitu Nuclear Physics kwa bongo utaisomea magazetini
Acha kumkatisha tamaa bhnaUtaenda kufanya kazi mwezini, na sayari ya Mars
Dah huu Uzi umevamiwaUkikomaa unaweza kua Albert Einstein
Sawa njoo tu ,niko social block 2 rum namba 299 utanikuta, ulizia mr Liverpool utanipata.Sasa we ku.ma nimeambiwa mnafungua 06/11. Utopolo unaosoma upo CNMS + mnalala Social.
Kijana wallah shughuli unayo.
Hakuna tatizo kabisa mkuu wala usjaliii.umefanya kosa mkuu,kumuita mtu tapeli,tena ukiwa hauna uhakika,heri ungeomba radhi tu baada ya yeye kuthibitisha sio tapeli,ni utu pia;
niwie radhi kama nimekuingilia mawazo yako;
Sawa mbabe. Tutakufikia kwa wakati.Sawa njoo tu ,niko social block 2 rum namba 299 utanikuta, ulizia mr Liverpool utanipata.
Kijana uandishi wake wenyewe wa kitoto huyo, anaandika vitu vya Kishamba halafu anajiona mjanja huyo.Kweli wewe ni MwanaUDOM halisi, lakini huyo aliyekuwa na mashaka na ww anaijua kweli UDOM SR2